Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SUPER SUNDAY, LA LIGA KESHO JUMAPILI

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Sunday Oliseh kuinoa Super Eagles

Timu ya Taifa ya Nigeria Super Eagles imempa kibarua cha ukocha kiungo na nahodha wake wa zamani Sunday Oliseh

 

10 years ago

Dewji Blog

Super Sunday live on DStv’s SuperSport

SuperSport-logo-1-e1348796998243

This weekend provides SuperSport’s football fans with the chance to enjoy two of the biggest rivalries in world football that could also have a huge impact on the fortunes of the clubs involved.

Liverpool host Manchester United at Anfield on Sunday having gone unbeaten in the Premier League for three months since their visit to the Theatre of Dreams last December turned into a nightmare 3-0 loss.

Hours later, the latest chapter in the story of Spain’s El Clasico will be written when Real...

 

10 years ago

Vijimambo

9 years ago

Dewji Blog

‘Skylight Sunday Bonanza’‬ ndio habari ya mujini jumapili ya leo ndani kiota cha Escape One

DSC_0464

Rapa Mkongwe wa muziki wa dansi wa Skylight Band, Joniko Flower akiwasebenesha sehemu ya mashabiki wao Jumapili iliyopita kwenye Skylight Sunday Bonanza‬ kiota cha Escape One Mikocheni jijini Dar es Salaam

Waimbaji wa Bandi ya Skylight, Leah pamoja na  Suzy wakiwapa raha mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) ndani ya kiota cha Escape One jumapili iliyopita sasa leo sio siku ya kukosa njoo ujionee mambo mapya kutoka kwenye bandi ya Skylight.


Ukafika muda wa kuzungusha mduara na kuona...

 

10 years ago

Vijimambo

MKUTANO WA CUF KESHO JUMAPILI JIMBO LA KITOPE

The Civic United Front (CUF-Chama Cha Wananchi) kinawatangazia na kuwaalika wazanzibari wote kushiriki katika Mkutano wa hadhara wa aina yake, ulioandaliwa na Chama hicho siku ya Jumapili, tarehe12/04/2015.
Mkutano huo utafanyika katika Jimbo la Kitope, kiwanja cha Kitope Kipandoni kuanzia saa nane mchana hadi saa kumi na mbili jioni(8:00-12:00) na kuhutubiwa na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
Tukumbuke kwamba Jumapili ya tarehe 12/04/2015 ni siku maalum, katika...

 

10 years ago

GPL

YANGA KUIVAA AZAM UWANJA WA TAIFA KESHO JUMAPILI

Kikosi cha Young Africans Sports Club. Pazia la Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara litafunguliwa kesho kwa mchezo wa Ngao ya Jamii kwa Young Africans kucheza na timu ya Azam FC kwenye dimba la Uwanja wa Taifa kuanzia majia ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki. Young Africans ambayo imekua na rekodi ya kufanya vizuri katika michezo ya Ngao ya Jamii, itashuka dimbani kupambana na wana lambalamba Azam FC huku ikiwa na...

 

11 years ago

Michuzi

MAZISHI YA MPENDWA WETU NI KESHO JUMAPILI MAKABURI YA KINONDONI

Carol Mbilinyi enzi ya uhai wake
KWA WENZANGU WANA PAZI,  DADA YETU CARO MWAISELAGE MBILINYI ANAZIKWA KESHO TAREHE 9 MARCH 2014  SAATISA MCHANA KWENYE MAKABURI YA KINONDONI JIJINI DAR ES SALAAM. KABLA YA HAPO SHUGHULI ZA MISA ZITAFANYIKA KANISA LA KILUTHERIL  UKONGA.
 TUJITAHIDI KUMSINDIKIZA DADA  YETU KWENYE SAFARI YAKE YA MWISHO.
KWA TAARIFA ZAIDI TUNAWEZA KUMPIGIA SIMU KAKA YAKE DR. JULIUS MWAISELAGE KWENYE NO. 255754764412 , MUNGU AILAZE ROHO YAKE MAHALI PEMA...

 

10 years ago

Michuzi

MABONDIA KUZIPIGA KESHO JUMAPILI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA

 Bondia Francis Miyeyusho (kushoto)  akitunishiana misuli na Emilio Norfat ambao watazipiga kesho Jumapili October  5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane.--------------------------------------------   MABONDIA mbalimbali watazipiga siku ya Jumapili kwa ajili ya mpambano wa ubingwa ambapo bondia kutoka mkoa wa Tanga Tanzania Alen Kamote 'Rasta'' atazipiga na Osgood Kayuni wa Malawi kugombea ubingwa wa Dunia wa UBO kg 61.Hiyo ndio siku ya kufurahia kwa wakazi wa Tanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani