Swissport yatangaza ongezeko la faida la asilimia 73
Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Swissport Tanzania Bw. Gaudence Temu (Katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kampuni yake mara baada ya mkutano mkuu wa kampuni hiyo kumalizika uliofanyika jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Pamoja nae kulia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Swissport, Bw. Juan Jose Andres Alvez na Bw, Jeroen L. de Clercq ambaye ni Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo nchini Kenya.
KAMPUNI ya Swissport Tanzania Plc imepata ongezeko la...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSwissport yapata ongezeko la faida kwa asilimia 17
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yatangaza ongezeko la asilimia 35 la faida ya kabla ya kodi
11 years ago
Mwananchi05 May
Sekta ya anga yawapa faida Swissport
10 years ago
Mwananchi16 Mar
Ongezeko la ndege lazaa faida
9 years ago
MichuziFAIDA BENKI YA EXIM YAKUA KWA ASILIMIA 69
5 years ago
MichuziWanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Benki ya Exim yapata faida kabla ya kodi ya asilimia 9 katika robo ya tatu 2014
Meneja Fedha Mwandamizi Benki ya Exim, Bw. Issa Hamisi (wapili kulia) akizungumza na waandishi (hawapo pichani) juu ya utendaji wa kifedha wa benki hiyo katika robo ya tatu ya mwaka ambapo faida ya benki ya kabla ya kodi imekua kwa asilimia 9 mpaka shilingi bilioni 5.4 ikilinganishwa na kipindi hicho mwaka jana, jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkaguzi Mkuu wa Hesabu wa Benki, Bw. George Binde, Mkuu wa Hazina, Bw. George Shumbusho (wapili kushoto) Meneja Utafiti na Chambuzi za...
5 years ago
MichuziBENKI YA NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 48 MWAKA 2019: ONGEZEKO LA ASILIMIA 45% KULINGANISHA NA GAWIO LA MWAKA 2018
9 years ago
MichuziAsilimia 49 kati ya asilimia 100 ya uchunguzi wa DNA yaonyesha baba si mzazi halali wa mtoto
Asilimia 49 kati ya asilimia 100 ya matokeo ya uchunguzi wa makosa ya vinasaba (DNA) yanayowasilishwa katika ofisi ya Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali kwa mwaka yanaonyesha kuwa baba si mzazi halali wa mtoto katika kesi hizo.
Hayo yamesemwa na Mkemia Mkuu wa Serikali, Profesa Samwel Manyele alipokuwa akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kufungua mkutano wa wadau wa wakala wa afya ya mazingira leo jijini Dar es Salaam.
“Kesi zinazopokelewa katika...