T-SHIRT ZA USIKU WA MATUMAINI ZAGOMBEWA
ODA za t-shirt za matumaini zinazidi kupokelewa kuelekea kwenye tamasha kubwa la historia la Usiku wa Matumaini, Agosti 8, mwaka zimeanza…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo501 Nov
Kanye asimamisha taxi kupiga picha na paparazzi aliyevaa t-shirt iliyomvutia, t-shirt zanunuliwa kama njugu
Kanye West hana urafiki na paparazzi.. lakini paparazzi mmoja amemvutia rapper huyo. Kanye West akiwa na paparazzi ambaye rapper huyo aliyependa t-shirt yake Akiwa kwenye mitaa ya jiji la New York, Alhamis wiki hii ndani ya taxi, Yeezy aliamua kusimama na kushuka kumpiga picha paparazzi aliyekuwa akimpiga picha kwakuwa alipenda tu t-shirt aliyokuwa amevaa. Kanye: […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XewtWaR3V6bqMNhxRj8bTCduXyi*g-DadyLmWOV3E0*EXvLwE7bMCto4Fi9dhNaCrDrx4a*G0IAGUri-So4vzJpkMUfSMOp5/TAMASHALAUSIKUWAMATUMAINI20131.jpg?width=650)
USIKU WA MATUMAINI 2014 KUFANYIKA NANENANE
Meneja Mkuu wa Global Publishers waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini, Abdallah Mrisho (katikati) wakati akiongea na wanahabari (hawapo pichani) mwaka jana katika maandalizi ya tamasha hilo. PICHA ZOTE NA MAKTABA) GOOD news kwa wananchi wazalendo wa Tanzania ni kwamba lile tamasha kubwa la kuhamasisha matumaini linalofanyika kila mwaka, badala ya kufanyika katika Sikukuu ya Sabasaba kama ilivyokuwa mwaka jana, mwaka huu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfBdUMCI1Oc*CquB0ke-LTHFsCYdABZx0qk*j6UrjlI6EvdZhuhdh*DfkYwDGCHEgiY553rhokuDHbb3m043yOF0/tamasha.jpg)
TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 NI VITA
Umewahi kujiuliza nini kitatokea endapo waheshimiwa wabunge, Hamis Kigwangala wa Nzega na Mwigulu Nchemba wa Iramba Magharibi wakiziweka suti zao pembeni na kupanda ulingoni, nani atamkalisha mwenzake? Itakuwa vita! D.k Hamis Kigwangala mbunge wa Nzega. Basi hicho ndicho kitakachotokea kwenye Tamasha la Usiku wa Matumaini litakalotimua vumbi Agosti 8, 2014 (Nane Nane) kwenye Uwanja wa Taifa ambapo waheshimiwa hao watanyukana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfCJ2uZK1gMEHolQuCdCTaIzt5e-dfLxfPzrhMShZpLn0TQ3hH7*Cdi9goWRMzhLLeAL03etePkwwwUxRnMu1n5Q/matumaini2014.jpg?width=750)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jyfrBYwMGBUpfryplb690oGCAu5IeHY3ZAOMW41FwjXsE9hwRjW26cF9ox8MCumVNWZZ1HpgbotROnvtMgqhpbe/Billboard280cmx380cm3.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xLJQfJNYZ-yHvvtRERx0WtNBCgQ*VYajEJgEDyF1VYIMnBbBnBaHKlqlg0ZZtfesuB4VOyFXctS5s3lNwDKXM03y*7ZbXdYa/nyomi6.jpg?width=650)
NYOMI NDANI YA USIKU WA MATUMAINI 2014
Nyomi iliyokusanyika katika Uwanja wa Taifa jijini Dar kwa ajili ya Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxepGPe3FbGtGIYygjXJc2rjwqhiz5lZ1RcxCM7ilLd54yupoYimf4yr5gSgx*Qh4xxrdIFso85LLpa4tMOhD7oYw/1.jpg?width=650)
WASHIRIKI WA TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI WATAMBIANA
Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo. Mkutano ukiendelea.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8qIoio0GTJPLWWedmITXz7bQ4TDWNpoVGY4YiWWCXIeDfNahshGjf0**x6-*2isnfsFZV1-xeLaYjE2Ya6QJcnEWpJyfb-k3/TAMASHALAMATUMAINIA3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania