TAARIFA KAMILI KUHUSU UGOMVI WA WATANGAZAJI WA XXL, DJ FETTY,MCHOMVU NA B DOZEN
Mara nyingi huko mitaani watu hugombana katika familia,huenda baba akampiga mama hadi kumjeruhi vibaya na pengine hata kumsababisha ,na inawezekana mama huyo alikuwa akipiga makelele ya kuomba msaada na pengine watu walisikia na hawakutoa msaada,Ugomvi uliotokea siku ya Jumatano kwenye XXL Clouds Fm Radio kati ya watangazaji wa kipindi hiki halikuwa tukio la uhalisia kuhamsisha amani katika kampeni ya kuhamasisha Amani,kwa chochote utakachokiona na kuhatarisha amani toa taarifa kwenye vyombo...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi02 Jul
BREKING NYUUZZZZZ: WATANGAZAJI DJ FETTY NA ADAM MCHOMVU WA CLOUDS FM WASIKIKA WAKIZICHAPA LIVE REDIONI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGahsFOt3DIb3I2OKaTWDqBlln0eCjiLEqrKQ4VYZ5aHUhkVTp610Wgj3p5F5pa0AI7mY37oW8andFgwJ5biHjWF/XXL.jpg)
UGOMVI XXL HAUKUWA HALISIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bTQ94SQ5wOL3n6l5QQrwBVk4ZgVZcHk21l-0wNxmuQn5S02T2*j0t2VvOlpjVothZ8R1E3FjrNvieB6YZpZc*VIi5Rmimy-e/ray.jpg?width=450)
RAYMOND MSHANA AMECHUKUA MIKOBA YA B12, MCHOMVU NA DJ FETTY
9 years ago
Bongo521 Nov
Baada ya kusikika tena kwenye XXL, DJ Fetty ajibu kama amerejea rasmi Clouds
![Fetty2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Fetty2-300x194.jpg)
Ijumaa ya November 20 ilikuwa ni siku ya furaha kwa wasikilizaji wengi wa Clouds Fm hasa wa kipindi cha burudani XXL, baada ya kupata surprise ya kumsikia tena mtangazaji maarufu na anayependwa Fatma Hassan maarufu kama DJ Fetty kwenye kipindi hicho, ikiwa ni miezi miwili imepita toka alipotangaza kuacha kazi ya utangazaji September 15 mwaka huu.
Wengi wao walicomment kwenye akaunti zake za mitandao ya kijamii kuelezea furaha yao, na kwasababu hakusema kama amerudi rasmi kutangaza au laa,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-zXn9yhvvcVk/VBvztdypjgI/AAAAAAAAhYc/sdBkFMBAFrI/s72-c/Idris.jpg)
TAARIFA KAMILI KUHUSU JAMAA ATAKAYEIWAKILISHA TANZANIA KWENYE NYUMBA YA BIG BROTHER AFRICA MWAKA HUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-zXn9yhvvcVk/VBvztdypjgI/AAAAAAAAhYc/sdBkFMBAFrI/s640/Idris.jpg)
10 years ago
Bongo Movies18 May
Maoni:Unamshauri Nini Aunt Ezekiel Kuhusu Ugomvi na Wema?
Kwa kuangalia historia ya Wema Sepetu na Aunt Ezekiel ni zaidi ya marafiki ambao walikuwa maswahiba walioshibana kiasi kwamba hakuna mtu anaeweza kujua kama leo watakuwa maadui. Na urafiki huu ulikomaa zaidi pale Madame Wema alipokuwa amerudiana na Diamond Platinumz kiasi kwamba hata safari za nje za Wema na Diamond na Aunt nae alikuwa anasafiri na hatukujua alikuwa anasafiri kwa gharama ya nani.
Kwa ukaribu huu wa Wema na Diamond kulimfanya Dogo wetu Moses Iyobo kupata bahati ya mtende...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Ali Kiba: Atoboa kuhusu 'mapenzi' na Lulu,ugomvi na Diamond-2
9 years ago
Dewji Blog28 Oct
Taarifa kamili ya kuahirishwa kwa uchaguzi Zanzibar iko hapa
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha.
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
TUME ya uchaguzi Zanzibar (ZEC) , imefuta na kuhairisha matokeo yote ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kutokana na kujitokeza kwa kasoro mbali mbali za ukiukaji wa sheria na kanuni za uchaguzi Zanzibar.
Akizungumza na waandishi wa habari Mwenyekiti wa tume hiyo, Jecha Salim Jecha alisema kuwa kutokana na kasoro mbali mbali zilizojitokeza katika uchaguzi huu na kusababisha vikwazo mbali mbali...