Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa ya Msiba wa Dr. Wilson Mboya wa University of Dares Salam Business School

Kwa masikitiko makubwa sisi wafanyakazi wa University of Dares Salam Business School (UDBS)  tunasikitika kutangaza kifo cha mfanyakazi mwenzetu  Dr. Wilson Joseph Mboya (pichani) kilichotokea usiku wa kuamkia leo tarehe 3 march 2014. 

Msiba upo nyumbani kwake chuo kikuu Dar es Salaam jirani na UDASA Club. Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwao Mbeya. 

Utaratibu  wa kuaga mwili wa marehemu utafanyika kesho tarehe 4 March 2014 Nyumbani kwake kuanzia saa sita mchana.  Nyote...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

inauguration of a new degree program, Master of Science (Applied Economics and Business) at mzumbe university, Morogoro, in collaboration with CMR University of Bangalore, India

 The Acting Vice Chancellor, Mzumbe University, Prof. Josephat Itika (right) presenting a souvenir to a the High Commissioner of India to Tanzania, Mr. Debnath Shaw during the inauguration of a new degree program, Master of Science (Applied Economics and Business) over the weekend in Dar es Salaam.  The new course to be run in collaboration with CMR University of Bangalore, India starts this month at Mzumbe’s Dar es Salaam campus college.  Looking on is the Deputy Vice Chancellor, Finance...

 

11 years ago

Michuzi

TFF YATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI KUFUATIA MSIBA WA GEBO PETER

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa zamani wa timu ya Simba na Taifa Stars, Gebo Peter kilichotokea usiku wa kuamkia leo (Juni 6 mwaka huu) katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam.
Gebo aliyezaliwa mwaka 1961, pia aliwahi kuchezea timu za Sigara ya Dar es Salaam, CDA ya Dodoma na kombaini ya Mkoa wa Dar es Salaam (Mzizima United). Hadi mauti yanamkuta alikuwa akijishughulisha na biashara, kubwa ikiwa ya vifaa vya...

 

10 years ago

Daily News

Outstanding in school, mediocre at university


Outstanding in school, mediocre at university
Daily News
WITH winds of academic performance shifting in favour of private schools in recent years, there is mounting concern as to what becomes of the students who passed with flying colours in their secondary school examinations after they join higher learning ...

 

11 years ago

Daily News

Bagamoyo school for science university college


IPPmedia
Bagamoyo school for science university college
Daily News
HOLY Ghost Fathers (East Africa Province) in Bagamoyo, Coast Region and who are also founders of Marian Schools will later this year establish a university college of allied sciences under the St. Augustine University of Tanzania (SAUT). Speaking during ...
Science varsity coming up in Bagamoyo townIPPmedia

all 2

 

10 years ago

Dewji Blog

JK atuma salam za rambirambi za msiba wa mama mzazi wa Kulwa, Dotto na Nico Mwaibale, mwili wasafirishwa kwenda Mbeya leo kwa mazishi

   Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa. IMG_9952

Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumu mama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Yale University program for high school students in Africa.

CONFIDENTIALITY NOTICE:
The information in this message is confidential and may be legally privileged. It is intended solely for the addressee. If you are not the intended recipient, any disclosure, copying, or distribution of the message, or any action or omission taken by you in reliance on it, is prohibited and may be unlawful. Please immediately contact the sender if you have received this message in error. Thank you.

From: Tim Kennedy [mailto:Tim@thehiddenharbor.com] Sent: Thursday,...

 

11 years ago

Michuzi

Salam za Nane Nane kutoka Rahman Nursery School,Segerea jijini Dar

Shule ya chekechea na madrasa  Rahman ya Segerea jijini Dar-es-salam inatoa salam za sikuu ya Nane Nane kwa wadau na waTanzania wote.Karibuni sana tupo segerea mwisho.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS DKT.JAKAYA MRISHO KIKWETE ATUMA SALAM ZA RAMBIRAMBI ZA MSIBA WA MAMA MZAZI WA KULWA,DOTTO NA NICO MWAIBALE, MWILI WASAFIRISHWA KWENDA MBEYA LEO KWA MAZISHI.

  Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya kuanza Safari ya kwenda Mbeya Wa kwanza Kulia ni Mdogo wao wa Mwisho wa Akina Mwaibale Ambwene  na wa pili kutoka kulia ni Dada yao Mkubwa wa akina Mwaibale  Mary Anyitike ambaye ni Kamishna Mkuu Msaidizi wa Skauti  Shughuli za Vijana Taifa  Mwili wa Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mfumumama yao Dotto, Kulwa na Nico Mwaibale ukiwa unaandaliwa tayari kwa kuombewa,...

 

11 years ago

Michuzi

Taarifa ya Msiba

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) anasikitika kutangaza kifo cha Mfanyakazi wa Wakala Mhandisi Charles M. Madinda kilichotokea ghafla leo jumamosi tarehe 8/3/2014 katika hospitali ya Amana – Ilala Dar es Salaam. Habari ziwafikie Wafanyakazi wote wa TANROADS, Wizara ya Ujenzi na Taasisi zake zote pamoja na ndugu, jamaa na marafiki popote pale walipo.
Marehemu anatarajiwa kuzikwa nyumbani kwake Morogoro siku ya Jumanne tarehe 11/3/2014. Marehemu ataagwa kesho Jumapili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani