TAARIFA YA UPOTEVU WA MAKONTENA AZAM ICD TOKA SSB Group of Companies
![](http://1.bp.blogspot.com/-J_vLJhhX6Xc/Vls18a-m9TI/AAAAAAAIJDo/SLLe_MIoVsk/s72-c/x4.jpg)
Kumekuwa na taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii kuwa kampuni ya Bakhresa inahusika na upotevu wa Makontena 349 yaliyoripotiwa hivi karibuni kuwa yametolewa bandarini bila kulipiwa ushuru. Taarifa hizo zilitolewa na Waziri Mkuu wakati wa ziara yake ya Bandari ya Dar es salaam hivi karibuni.
Uchunguzi wetu umeonyesha kuwa si kweli kuwa kuna makontena yenye bidhaa zilizoingizwa na kampuni hio ama ni miongoni mwa makontena yaliyohusika katika sakata hilo. Isipokuwa kumetokea upotevu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Maofisa 12 wa TRA mbaroni kwa upotevu wa makontena
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s72-c/mabarawa-dec19-2013.jpg)
WAFANYAKAZI SABA WA TPA MBARONI KWA UPOTEVU WA MAKONTENA MPYA 11,884 NA MAGARI 2,019... WANANE WATOROKA
![](http://2.bp.blogspot.com/-OrT7_vcdnlM/VoJ6PoavlkI/AAAAAAAIPMA/NEJFsBODF00/s640/mabarawa-dec19-2013.jpg)
11 years ago
GPLPROIN GROUP OF COMPANIES YAFANYA SHEREHE YA KUUKARIBISHA MWAKA 2014
11 years ago
Mwananchi02 Mar
TRA: Hatuna taarifa za makontena ya magogo ya magendo
11 years ago
Michuzi22 May
10 years ago
Michuzi06 Feb
10 years ago
Dewji Blog25 Sep
SSB yaimwagia TASWA mil 10/-
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA), Juma Pinto (kulia) akipokea mfano wa hundi ya Tshs. 10,000,000 kutoka kwa Meneja Mkuu wa kundi la Kampuni ya Said Salim Bakheresa (SSB), Bw. Mohamed Said Abeid kwa ajili ya sherehe za tuzo za mwanamicgezo bora. Wa tatu kulia ni Amir Mhando na Makamu Mwenyekiti Egbert Mkoko. Hafla hiyo ilifanyika jana jijini Dar.(Picha na Habari Mseto Blog),
Na. Mwandishi wetu
KAMPUNI ya Said Salim Bakheresa (SSB), imetoa sh. milioni 10 kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XCoElX7q3j2IeT5tiuUefPUOAr*u*C4UA*eK*naDvxjwjW3u89dAVaxJeE-HBCAXGvMt6yoAQJAritE0jIquj2X1*yXj0FNz/tff.jpg?width=512)
TAARIFA TOKA TFF LEO DESEMBA 20, 2014