Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAFF yaeleza walipoishia katika kuandaa sera mpya ya filamu na miliki bunifu

Raisi wa shirikisho la filamu Mwakifamba

Rais wa shirikisho la filamu nchi Tanzania (TAFF) Simon Mwakifamba ameeleza walipoishia katika juhudi za kuandaa sera mpya ya filamu pamoja na miliki bunifu.
Raisi wa shirikisho la filamu Mwakifamba

Amesema hayo baada ya baadhi ya wadau ndani ya tasnia ya filamu kudai shirikisho hilo halijafanya chochote kwa ajili ya maendeleo ya tasnia ya filamu.

Kupitia ukurasa wake wa facebook, Mwakifanya aliandika: TAFF pamoja na vyama vyake wamefanya jitihada kubwa sana ambazo serikali ingezitekeleza nasema tungekuwa na mfumo nzuri sana wa...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Harakati za TAFF kuhusu Sera za Filamu na Miliki Bunifu

>Japo sekta ya filamu nchini ni sekta tajiri sana, lakini imekuwa haipewi kipaumbele na Serikali ingawa haiepukiki kuwa Tanzania ni moja ya nchi chache sana zenye maeneo mazuri ya kuvutia yanayofaa kabisa kwa kutengenezea filamu.

 

9 years ago

Bongo Movies

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

tasnia

TAMKO LA WASANII WAKONGWE KWA RAIS WA SHIRIKISHO LA FILAMU TANZANIA (TAFF) SIMON MWAKIFWAMBA

WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015.

Baada ya salamu hizo kwenu tumekuja hapa kwa tukiwa na ya...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatakiwa kuandaa sera za uzalishaji wa rangi

SERIKALI imetakiwa kuandaa miongozo ya kisera na kisheria kwa wazalishaji wa rangi ili wasiendelee uzalishaji wa kutumia risasi. Akizungumza jijini Dar es Saalm juzi katika maadhimisho ya wiki ya kimataifa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Rihanna akubali kuigiza katika filamu mpya

Mwelekezi wa filamu kutoka Ufaransa Luc Besson amefichua kwamba mwanamuziki mashuhuri duniani Rihanna ataigiza kwenye filamu yake ijayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Tafiti sera ya filamu yaiva

>Shirikisho la Filamu Tanzania TAFF, pamoja na vyama vingine vinane  vinavyounda umoja huo jana wamewasilisha utafiti  wa sera ya filamu nchini kwa Wizara ya Habari, Vijana, Michezo na Utamaduni.

 

10 years ago

Bongo Movies

Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu

Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment  kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi  shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.

Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;

"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...

 

10 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya JB ‘Mzee wa Swagga’ ni kopi 100% ya filamu ya kihindi

Kwa mara ya kwanza muigizaji na muongozaji mahiri wa filamu nchini ameingia kwenye skendo ya kugeza filamu ya nje na kutengeneza filamu yake iitwayo ‘Mzee wa Swagga’. Issue hiyo ilianza kujulikana kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV ambapo kwa mujibu wa mtangazaji Zamaradi Mketema, shabiki mmoja wa show hiyo alimweleza kufanana kwa filamu […]

 

10 years ago

Bongo5

Ni kweli nimekopi filamu ya kihindi — mwandishi wa filamu mpya ya JB

Mwandishi filamu za Jacob ‘JB’ Stephen, Daniel Manege amemtetea muigizaji huyo kuwa hakuwa na makosa ya kuigiza filamu ya ‘Mzee wa Swagga’ ambayo ni kopi ya filamu ya kihindi, Ladies Vs Ricky Bahl. Manege aliyeiandika filamu hiyo pamoja na zingine zikiwemo Dereva Taxi, Nakwenda kwa Mwanangu, Shikamoo Mzee, Bado Natafuta zingine, ameandika ujumbe kupitia Facebook […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani