Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taharuki yatanda Ukraine

Hali ya wasiwasi imetanda eneo la Crimea kufuatia kuuawa kwa afisa mmoja wa kijeshi kwa kupigwa risasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hali ya taharuki yatanda Bangui

UN inasema usalama katika mji mkuu wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati umeendelea kuzorota, huku taharuki ikitanda kati ya walinda amani na wapiganaji wa kikristo Anti -Balaka.

 

10 years ago

Habarileo

Taharuki yatanda wizi wa watoto Dar

Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman KovaTAARIFA za kuwepo watu wanaoteka na kuua watoto wadogo zimesababisha taharuki kubwa katika Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, hali ambayo mamlaka zinazohusika na usalama wa raia, zimeombwa kueleza undani wa matukio hayo.

 

9 years ago

Mtanzania

JK azua taharuki

Pg 4 oct 15NA MWANDISHI WETU, DODOMA

RAIS Jakaya Kikwete, amezua taharuki baada ya kutaja idadi kubwa ya wapiga kura waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kuliko waliotajwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

Akizungumza mjini Dodoma jana wakati wa kilele cha sherehe za mbio za Mwenge wa Uhuru na maadhimisho ya Kumbukumbu ya Kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere, Rais Kikwete alisema Watanzania wanaotarajia kupiga kura kwa upande wa Tanzania Bara ni milioni 28 na...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi yatanda nchini Misri

Misururu ya ghasia nchini Misri yatanda ,siku moja tu kabla ya kuanza rasmi kwa kampeni za uchaguzi wa urais mwezi huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Hofu ya mapigano yatanda Kilwa

20130419_095310Na Bakari Kimwanga, Aliyekuwa Kilwa

HOFU ya mapigano kati ya wakulima na wafugaji imetanda wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kile kilichodaiwa kuwa ni uvamizi unaofanywa na wafugaji kwa kuingiza mifugo yao mashambani na kuharibu  vyanzo vya maji.

Hatua hiyo inatokana na wafugaji waliopewa eneo la malisho kushindwa kuandaa malambo kwa ajili ya kunyweshea mifugo yao.

Wakizungumza na timu ya waandishi wa habari wa za mazingira waliokwenda katika Kijiji cha Hoteli Tatu, kwa ajili ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Hofu ya mabomu yatanda Njombe

Njombe. Wakazi wa Mji wa Njombe, jana walikumbwa na taharuki kutokana na mabomu ya machozi yaliyopigwa na Polisi kwa lengo la kutawanya waandamanaji waliokuwa wanapinga mauaji ya mkazi mmoja anayedaiwa kupigwa risasi na askari na mwingine kujeruhiwa.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Hofu Ukawa kuvunjika yatanda

MWENYEKITI mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), James Mbatia, amewataka viongozi na wanachama wa umoja huo kuheshimu makubaliano yaliyomo kwenye mwongozo waliotiliana saini mwaka jana.

Mbatia alitoa angalizo hilo baada ya kuwepo kwa viashiria kwa baadhi ya vyama ndani ya umoja huo kwenda kinyume na walichokubaliana hasa kuachiana majimbo kwa wagombea wabunge na udiwani.

Wiki hii kumekuwapo taarifa katika baadhi ya majimbo kwamba kuna vyama ndani ya Ukawa vimeweka wagombea...

 

11 years ago

GPL

MABOMU ZENJI, HOFU YATANDA

Stori: Mwandishi Wetu, Zanzibar HOFU kubwa kubwa imetanda kwa wananchi wa Zanzibar kufuatia kulipuka kwa bomu lililosababisha kifo cha mtu mmoja hivi karibuni katika eneo la Stone Town, Dajarani mjini humo. Mtoto mdogo ambaye amejeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea maeneo ya Stone Town, Dajarani huko Zanzibar. Tukio hilo ni la pili kwa mwaka huu, baada ya Februari mabomu mawili yaliyotengenezwa kienyeji… ...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Khofu yatanda Uchaguzi Mkuu

Ikiwa zimebaki siku 14 kufikia kilele cha siku ya uchaguzi mkuu 2015, hali ya khofu na woga umeanza kuwaingia wananchi wa Tanzania. Pande zote za Tanganyika na Zanzibar kwa pamoja wananchi wake wamingiwa na khofu ya […]

The post Khofu yatanda Uchaguzi Mkuu appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani