Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taifa njiapanda

>Wakati Taifa likijiandaa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, yamebainika mambo matatu mazito ambayo yanaliweka njiapanda , hali inayosababisha viongozi na hata wananchi kubaki na maswali lukuki wakihoji hatma ya nchi yao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Njiapanda

Kwa neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndesamburo njiapanda

Mbunge wa Moshi Mjini (Chadema), Philemon Ndesamburo ana siku 72 za kuamua kugombea tena kiti hicho au la, ili kupisha wanachama wengine watangaze nia.

 

10 years ago

Vijimambo

kura ya maoni njiapanda

Dodoma/Dar. Rais Jakaya Kikwete jana alipokea Katiba inayopendekezwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, na papo hapo kurejesha mpira kwa viongozi wa Serikali kutafuta njia za kukamilisha mchakato huo.Bunge la Katiba lilikamilisha kazi yake ya kuandika Katiba mpya Oktoba 2 kwa kukamilisha upigaji wa kura za kupitisha Rasimu ya Katiba ambayo ilitakiwa ipitishwe kwa theluthi mbili ya kura kutoka kila upande wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mchakato huo wa kupata...

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Ukawa wameniweka njiapanda

Rais Jakaya Kikwete amesema msimamo wa wajumbe wa Bunge la Katiba wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umemweka njiapanda sawa na Watanzania wengine wanaoshangaa.

 

10 years ago

Mwananchi

UN yaiweka njiapanda Afrika

>Nchi za Afrika zinakabiliwa na matatizo mengi katika kufikia vigezo vya ukusanyaji wa takwimu za Pato la Taifa (GDP) kama zilivyopendekezwa na Umoja wa Mataifa (UN) katika mkutano uliofanyika mwaka 2008.

 

10 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM sasa njiapanda

>Wakati mkutano wa mwisho wa Bunge la 10 ukiendelea, baadhi ya wabunge CCM wamebaki njiapanda kimaamuzi iwapo waendelee kuikosoa Serikali ya chama chao na kujiweka mahali pazuri kwa wapigakura wao au waifagilie Serikali bila ya kujali hatima ya ubunge wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow Njiapanda, wabunge wagawanyika

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo jana alipangua hoja zilizotolewa na Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC), kuhusu ufisadi uliofanyika katika Akaunti ya Tegeta Escrow na kuacha wananchi njia panda kwa kutokuelewa nani anasema ukweli kati yake na kamati hiyo, inayoongozwa na Zitto Kabwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City njiapanda mapinduzi

Timu ya Mbeya City ipo njiapanda kushiriki ama kutokushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar  licha ya kupewa mwaliko, ilifahamika.

 

10 years ago

Habarileo

Komba awaacha CCM ‘njiapanda’

Rais Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma wakiifariji familia ya Mbunge wa Mbinga Magharibi na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, Kapteni John Komba nyumbani kwake Mbezi kwa Komba, Dar es Salaam jana. (Picha na Ikulu).KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, John Komba kimetajwa kuwa pigo kubwa kisiasa kwa viongozi wengi ambao baadhi wameshuhudia namna walivyosaidiwa katika kampeni kwenye uchaguzi mkuu uliopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani