Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamaa ya kukimbilia Ikulu sio bure!

UNAWEZA kusema kwenye msafara wa mamba lazima kenge nao wawepo! Hizi mbio za watu kutaka kuchukua ofisi kuu nchini zinalazimisha watu kufikiri tena na tena juu ya ukubwa wa ofisi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ikulu yawakatisha tamaa Ukawa

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).

NA SHABANI MATUTU

MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Salva alisema katu hatua hiyo haitaweza kusitisha Bunge hilo akiwataka warejee bungeni na kujenga hoja...

 

10 years ago

Vijimambo

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amesema zoezi la kuwakamata wazururaji katika mkoa huo limeanza rasmi leo ambapo wazururaji watakaokamatwa watapewa adhabu mbalimbali ikiwemo Kusafisha mitaro, Kusafisha barabara, kufyeka nyasi na kulima bustani.

RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.

Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa


VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...

 

11 years ago

Mwananchi

Wafichua siri ya kukimbilia Tanzania

>Hali ngumu ya maisha ndiyo inayowafanya baadhi ya wananchi kutoka nchi jirani kukimbilia Tanzania kwa lengo la kutafuta kazi na maisha mazuri, imeelezwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Kalapina, Mwakalebela kukimbilia mahakamani

Waliokuwa wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini hivi karibuni, Frederick Mwakalebela (Iringa Mjini-CCM) na Karama Masoud ‘Kalapina’ (Kinondoni ACT- Wazalendo) wamesema wanatarajia kwenda mahakamani kupinga matokeo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu,  wilayani Mpanda  kuhakikisha watoto wao  walioacha shule na...

 

10 years ago

GPL

WANABONGO FLEVA KUKIMBILIA SAUZ, NIGERIA TUNADANGANYANA!

Staa wa Bongo fleva, Ali Kiba. Makala: Andrew Carlos
KASI ya mastaa wa muziki wa Bongo Fleva inazidi kuongezeka kila kukicha huku kila msanii akionesha nia ya kupasua kimataifa.Mastaa wachache wa muziki huo wameweza kutambulika kwa kiasi kikubwa nje ya nchi na hii imetokana na kutoa video zenye viwango bora vya kimataifa. Miongoni mwa video hizo ni Number One (remix) ya Diamond akiwa na Davido wa Nigeria, Give Me Love ya Lady...

 

9 years ago

GPL

MPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ

Mrisho Mpoto akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa mtangazaji wa Global TV.  Mrisho Mpoto akijibu moja ya maswali. Mtangazaji wa Global TV Online, Shovienly (Kushoto) akifanya mahojiano na Mrisho…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani