Tamaa ya kukimbilia Ikulu sio bure!
UNAWEZA kusema kwenye msafara wa mamba lazima kenge nao wawepo! Hizi mbio za watu kutaka kuchukua ofisi kuu nchini zinalazimisha watu kufikiri tena na tena juu ya ukubwa wa ofisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Ikulu yawakatisha tamaa Ukawa
![Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/ukawa-viongozi.jpg)
Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanaunda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA).
NA SHABANI MATUTU
MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Salva Rweyemamu, amesema hata kama viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakikutana na Rais Jakaya Kikwete, hakuna kitakachobadilika kuhusu mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Salva alisema katu hatua hiyo haitaweza kusitisha Bunge hilo akiwataka warejee bungeni na kujenga hoja...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Q88NTbag_ZM/VY-Lm1PmvTI/AAAAAAADttI/NC4iAMUxfPQ/s72-c/10443449_10153457084468792_2795356054749601673_n.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MYVMPXToyPo/XosF3lO9mjI/AAAAAAALmKA/WwY_1xFKCfM5Vrd_7EuBqxuf8hbS769MQCLcBGAsYHQ/s72-c/8ba0de48-9951-4996-88cf-d4ed5b2c2a4c.jpg)
RC MAKONDA ASEMA WATAKAOKAMATWA KWA UZURURAJI WATAPEWA ADHABU ZA KUSAFISHA MITARO NA MAZINGIRA NA SIO KULA UGALI WA BURE MAHABUSU.
RC Makonda amesema kama kuna watu walidhani watapelekwa mahabusu na kula Chakula cha bure wasahau kabisa jambo hilo.
Mhe. Makonda ametoa kauli hiyo wakati wa Uzinduzi wa Shoppers Supermarket ya Mlimani City ambapo ameonyesha kufurahishwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s72-c/lusinde.jpg)
Vijembe Vya Kisiasa Vyatawala Bungeni......Lusinde Asema Dr Slaa Hafai Kuwa Rais Maana Ikulu Sio Wodi Ya Wagonjwa
![](http://4.bp.blogspot.com/-xBLFndPJyOQ/VVQ6GEYIN6I/AAAAAAAAtwo/55_2WoYu1AU/s640/lusinde.jpg)
VIJEMBE vya kisiasa jana vilichukua sehemu kubwa ya mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea, ambapo mvutano mkubwa ulikuwa kati ya Serikali na vyama vya upinzani nani amechoka.
Akizungumza bungeni kwa vijembe, Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde (CCM), alisema hoja ya kambi rasmi ya upinzani kuwa Serikali imechoka, inawezekana ni kweli ila haikuwekwa vizuri.Alifafanua kuwa Serikali imefanya kazi kubwa ya kukopesha wanafunzi, kutoa huduma ya afya, kujenga barabara kusambaza...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Wafichua siri ya kukimbilia Tanzania
9 years ago
Mwananchi05 Nov
Kalapina, Mwakalebela kukimbilia mahakamani
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa
MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu, wilayani Mpanda kuhakikisha watoto wao walioacha shule na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xkVCMRT4uG*LTfmFks30*xxf89TDOgSc1cpFKiIJA2hO9LEOvaBSf*fpqpodw7I*dWpGguyN4Q8ed7baVeAhOPPm0CgORzaP/ALIKIBA500.jpg?width=650)
WANABONGO FLEVA KUKIMBILIA SAUZ, NIGERIA TUNADANGANYANA!
9 years ago
GPLMPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ