Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANABONGO FLEVA KUKIMBILIA SAUZ, NIGERIA TUNADANGANYANA!

Staa wa Bongo fleva, Ali Kiba. Makala: Andrew Carlos
KASI ya mastaa wa muziki wa Bongo Fleva inazidi kuongezeka kila kukicha huku kila msanii akionesha nia ya kupasua kimataifa.Mastaa wachache wa muziki huo wameweza kutambulika kwa kiasi kikubwa nje ya nchi na hii imetokana na kutoa video zenye viwango bora vya kimataifa. Miongoni mwa video hizo ni Number One (remix) ya Diamond akiwa na Davido wa Nigeria, Give Me Love ya Lady...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ

Mrisho Mpoto akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa mtangazaji wa Global TV.  Mrisho Mpoto akijibu moja ya maswali. Mtangazaji wa Global TV Online, Shovienly (Kushoto) akifanya mahojiano na Mrisho…

 

10 years ago

Bongo Movies

Wanabongo Fleva wa 5 Anaowakubali Wema Sepetu, Diamond Namba Moja!

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Wema Sepetu pamoja na kutengena na mpenzi wake Nassib Abdul ‘Diamond’ lakini alipoamua kutaja wasanii wanaofanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleva mtaliki wake huyo kampa namba moja katika wasanii watano ambao yeye anaona wanafanya vizuri katika muziki.

“Muziki umeshika kasi na kuna wasanii ambao wanafanya vinzuri kuliko wengine, kwangu Top 5 yangu 1 Nassib, wa pili ni Ashley, Ali kiba, Barnaba na wa tano ni mirrow hawa ni wasanii wanzuri wapo level za...

 

9 years ago

Mwananchi

Kalapina, Mwakalebela kukimbilia mahakamani

Waliokuwa wagombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika nchini hivi karibuni, Frederick Mwakalebela (Iringa Mjini-CCM) na Karama Masoud ‘Kalapina’ (Kinondoni ACT- Wazalendo) wamesema wanatarajia kwenda mahakamani kupinga matokeo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafichua siri ya kukimbilia Tanzania

>Hali ngumu ya maisha ndiyo inayowafanya baadhi ya wananchi kutoka nchi jirani kukimbilia Tanzania kwa lengo la kutafuta kazi na maisha mazuri, imeelezwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tamaa ya kukimbilia Ikulu sio bure!

UNAWEZA kusema kwenye msafara wa mamba lazima kenge nao wawepo! Hizi mbio za watu kutaka kuchukua ofisi kuu nchini zinalazimisha watu kufikiri tena na tena juu ya ukubwa wa ofisi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC kuwasaka waliokacha masomo kukimbilia ndoa

MKUU wa Wilaya (DC) ya Mpanda, Paza Mwamlima, amewaagiza wazazi wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mpanda Ndogo iliyoko Tarafa ya Kabungu,  wilayani Mpanda  kuhakikisha watoto wao  walioacha shule na...

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa aeleza sababu ya wasomi kukimbilia siasa

>Kwa nini siasa imegeuka kimbilio la wengi, wakiwamo wasomi Tanzania?

 

10 years ago

GPL

GAIDI JIHADI JOHN ASEMEKANA KUKIMBILIA MAFICHONI LIBYA

Jihad John (kulia) akionekana kwenye video ya ISIS akiwa na mfanyakazi wa utoaji misaada wa Uingereza, David Haines, kabla hajamuua. Picha za Jihadi John ambaye anasemekana kukimbilia Libya baada ya ISIS kubaini kwamba ametambulika kwa maadui zake. GAIDI Mohamed Emwazi maarufu kama Jihadi John ambaye ni mpiganaji wa kundi la Kiislam la ISIS anasemekana amekimbilia mafichoni Libya baada ya kufahamika utambulisho wake na kufuatia...

 

10 years ago

Michuzi

Vijana jiwekeeni malengo kabla ya kukimbilia mikopo: Kongoye

Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa Bw. Christopher Ryoba Kangoye akizungumza na ujumbe kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo walipomtembelea ofisini kwake kabla ya kukutana na vijana wa Wilaya ya Kongwa na Mpwapwa kwa ajili ya kutoa elimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Ujasiriamali, Stadi za maisha na ujuzi jana katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoa Dodoma.Mkuu wa Kituo cha Vijana Sasanda Mbeya Bw. Laurean Masele akitoa mada ya Uongozi kwa vijana wa Wilaya ya Kongwa na Mpwapwa wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani