Tamasha la Jambo Festival kutikisa Arusha
JIJI la Arusha litatikiswa na tamasha kubwa la sanaa na utamaduni la kimataifa litakalojumuisha ngoma za asili, mavazi ya asili, muziki wa asili, mavazi na vyakula maarufu kama Jambo Festival....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzitamasha la sanaa na utamaduni la kimataifa Jambo festival kufanyika jijini arusha
Jiji la Arusha litatikiswa na tamasha la sanaa na utamaduni la
kimataifa maarufu kama Jambo festival litakalojumuisha ngoma za asili,mavazi ya asili ,muziki wa asili,mavazi na vyakula ,tamasha hilo litatikisa viunga vya jiji la Arusha ambalo ni kitovu cha utalii.
Takribani watu 3000 kutoka sehemu mbali mbali...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Pql0LVpK4fQ/VXFfNy_KezI/AAAAAAAAd98/4UO_hAm8RL0/s72-c/jambo.jpeg)
TAMASHA LA JAMBO FASHION AFFAIR KUFANYIKA LEO ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Pql0LVpK4fQ/VXFfNy_KezI/AAAAAAAAd98/4UO_hAm8RL0/s320/jambo.jpeg)
TAMASHA la Jambo Fashion Affair linatarajia kufanyika leo Jijini hapa na kushirikisha wabunifu wa ndani pamoja na wasanii kutoka Jijini Arusha na mikoa mbalimbali. Akizungumzia maandalizi ya tamasha hilo linafanyika leo, Augustine Namfua ambaye ni Mwenyekiti wa Jambo Festval alisema wamaejiandaa vizuri kuhakikisha wananchi wataohudhuria wanapata burudani ya ubunifu wa mavazi sambamba na muziki. Alisema wabunifu mbalimbali watakuwepo kama An Nisa, Fatma Naeem, Martin Kadinda ,Wanyoke Lewis,...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dn62sERyKm4/VBnTeq6mOXI/AAAAAAAAb7k/Pv-QhqUNIK0/s72-c/kitendawili.jpg)
FILAMU KUTOKA PROIN PROMOTIONS LIMITED ZAFANIKIWA KUPITA MCHUJO WA KUONYESHWA KATIKA TAMASHA LA ARUSHA FILM FESTIVAL 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-dn62sERyKm4/VBnTeq6mOXI/AAAAAAAAb7k/Pv-QhqUNIK0/s640/kitendawili.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jsyk0UuV4iw/VBnTM3x1MZI/AAAAAAAAb7c/7vUIiRASIBw/s640/network-dvd-face.jpeg)
Tamasha la Arusha Film Festival ni tamasha la kimataifa ambalo linatarajiwa kufanyika kwa Mara ya Tatu mfululizo, ambapo litaanza tarehe 20 mpaka 27 Mwezi wa tisa (september) Jijini Arusha.
Arusha Film Festival 2014...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/xEh6B1KdSWQG*md2kY-BgxXdooLvFQn4NTxYcZhOK1oYfYIgyzdmsH*Dng5ZrUG2aTZmYp3J5LaSfd1n0Z71fhsCUKOOXuLf/tamasha.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014, INJILI KUTIKISA TAIFA
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t263lNfBSJA/VmPGyG2khaI/AAAAAAAIKYw/JV04Ez5PWCQ/s72-c/4.jpg)
Rebeca Malope kutikisa Diamond Tamasha la Krismasi
![](http://3.bp.blogspot.com/-t263lNfBSJA/VmPGyG2khaI/AAAAAAAIKYw/JV04Ez5PWCQ/s400/4.jpg)
Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama muimbaji huyo atakuwa jukwaa moja na wenzake Sarah K wa Kenya na Ephraim Sekeleti wa Zambia ambao watafikisha shukrani za Watanzania baada ya kufanya uchaguzi Mkuu kwa amani na...
11 years ago
Mwananchi09 Jul
Mabomu yazidi kutikisa Arusha
9 years ago
Bongo507 Sep
Jambo Squad wafungua mgahawa Arusha
10 years ago
Dewji Blog27 May
YAMOTO Band kutikisa jiji la Arusha Jumamosi hii
Bendi maarufu ya Yamoto yenye makazi yake jijini Dar es salaam inayoundwa na vijana wanne jumamosi Mei 30 inataraji kutumbuiza katika jiji la Arusha katika onyesho la Usiku wa wanawake maarufu
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na mratibu wa onyesho hilo,Faustine Mwandago alisema kuwa bendi hiyo inataraji kupamba onyesho hilo ambalo wahudhuriaji wote watavalia vazi jeupe.
Alisema kuwa onyesho hilo litasindikizwa na wanawake maarufu kam Vera Sidika na Miss Tanzania 2015,Lilian Kamazima...
10 years ago
Dewji Blog13 Nov
Tigo, Original Komedi na Wasanii kibao kutikisa jiji la Mwanza kwenye tamasha la Welcome Pack jumamosi hii
Meneja wa Bidhaa wa Tigo Bw. Edwin Mgoa akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza tamasha kubwa la Tigo welcome pack litakalofanyika uwanja wa ccm Kirumba jijini Mwanza Jumamosi ya wiki hii, tamasha hili litaweza kuwapa wananchi fursa ya kupata maelezo ya kina kuhusu huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni ya Tigo.
Msanii wa kundi la Original Komedi Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja akitoa vionjo kwenye mkutano wa waandishi wa habari(hawapo pichani) kwa ajili...