Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamko la wana Jangwani-Yanga

Uongozi wa klabu ya Yanga umebaini mambo mbalimbali yanayofanyika chini ya Bodi ya ligi .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Yanga sahauni uwanja kujengwa Jangwani

>Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa amepigilia msumari wa mwisho kwa kuwataka Yanga kusahau kuhusu ongezeko la eneo la kujenga uwanja wake eneo la Jangwani kwa vile sehemu hiyo ni mkondo wa maji.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Masika yametegua kitendawili uwanja wa Yanga Jangwani

KITENDAWILI ni usemi wa kifumbo unaohitaji jibu la papo kwa papo. Ni maneno ya mafumbo yanayofanya maana ya kitu isijulikane kwa urahisi. Mfano: ‘Macho’ ni jibu la ‘Popoo mbili huvuka...

 

10 years ago

Vijimambo

SIMBA YAMFUKUZISHA MAXIMO JANGWANI MARA BAADA YA KUWAPA KIPIGO CHA MAGOLI 2 KWA 0 YANGA

Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam,Baada ya kuchapwa mabao 2-0 na mahasimu wao wa soka Simba SC katika mchezo wa ‘ Hisani Nani Mtani Jembe’ siku ya Jumamosi iliyopita, klabu ya Yanga SC imeamua kufikia maamuzi magumu ya kumfuta kazi kocha Marcio Maximo na ni wazi Mholanzi, Hans Van De Pluijm atachukua nafasi hiyo. Hii ni mara ya pili kwa Yanga kumfukuza kazi kocha wao mara baada ya kufungwa na Simba. Ikumbukwe mwaka uliopita, Mholanzi, Ernie Brandts aliondoshwa baada ya kufungwa mabao 3-1...

 

10 years ago

Vijimambo

Hii Ndiyo Shughuli ya Lowassa Kesho.. Je! Hao Wana CCM Wengine Wanaotarajia Kutangaza nia Wana Nguvu ya Kutosha?


Hii ndiyo shughuli ya Lowassa kesho.. Uwanja wa Sheikh Amri Abeid utatapika kesho ...Je! Hao wana CCM wengine wanaotarajia kutangaza nia wana nguvu ya kutosha? Makongoro, Wasira, Membe, Mwigulu... Mkombozi wenu ni CHIMWAGA (NEC) tu..

 

10 years ago

Vijimambo

UZINDUZI RASMI WA KAMPENI YA WAZAZI NIPENDENI NI KESHO VIWANJA VYA MWEMBE YANGA JIJINI DAR ES SALAAM MAANDALIZI YAMEKAMILIKA WANA MUZIKI LULUKI KUTOA BURUDANI WANDUGU SAIDIA TUTANI UZINDUZI RASMI NI KESHO

 Mshauri wa masuala ya Malaria kutoka Taasisi ya Jhpiego, Jasmin Chadewa (kushoto), akitoa huduma ya kumpa dawa ya vitamini A, mtoto Rahim Simai,  viwanja vya Mwembe Yanga Dar es Salaam leo asubuhi ikiwa ni utoaji huduma wa elimu ya afya kwa wajawazito na matumizi ya dawa aina ya SP, upimaji wa malaria pamoja na matumizi ya vyandarua kama muendelezo wa huduma za afya ya mama mjamzito na mtoto kuelekea uzinduzi wa awamu ya pili wa Kampeni ya Wazazi Nipendeni utakaofanyika kesho katika viwanja...

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba wa jangwani Sahara

Wahamiaji kutoka Afrika Magharibi wanahatarisha maisha yao wakisafiri kupitia jangwa la Sahara wakitumai kuingia ulaya kupata maisha bora.

 

9 years ago

StarTV

Ukawa leo Jangwani

Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa kushirikiana na muungano wa vyama vingine vitatu vinavyounda umoja uliobatizwa jina la Ukawa, leo kinatarajiwa kuzindua kampeni zake katika viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Chama hicho kimetamba kufanya ufunguzi wa kampeni wa kihistoria.

Hatua hiyo imekuja baada ya chama hicho kuruhusiwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala, Isaya Mngurumi, kutumia uwanja huo ambao awali...

 

10 years ago

Mwananchi

Jangwani hadithi ileile

>Licha ya Jangwani kutajwa kuwa hatarishi na wakazi wake kupewa viwanja Mabwepande na kutakiwa kuhama, jana malalamiko kwa wakazi wa eneo hilo lililopo bonde la Mto Msimbazi waliendeleza malalamiko yake baada ya kuathiriwa na mvua kubwa zinazoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

Wafuasi ‘wafunika’ Jangwani

Maelfu ya wanachama na mashabiki wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), jana walifurika kushuhudia tukio la kihistoria la kusainiwa kwa makubaliano ya kushirikiana kwenye Viwanja vya Jangwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani