Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tamwa yahimiza kuandika unyanyasaji

Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa), kimewataka waandishi wa habari kuandika habari za matukio ya unyanyasaji wa jinsia kwa wingi ili jamii ipate ufahamu wa matukio hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

IOGT, Tamwa zielekeze nguvu vijiji kukabiliana na unyanyasaji

Mwishoni mwa mwaka jana, kati ya Novemba 25 hadi Desemba 10, dunia iliadhimisha siku ya Mtoto wa kike hasa katika kukabiliana na unyanyasaji wa kijinsia dhidi yao.

 

10 years ago

Dewji Blog

TAMWA yawataka waandishi wa habari kujikita kuripoti unyanyasaji wa kijinsia

IMG_3162

Mkufunzi Wence Mushi akitoa elimu kwa wanahabari waliokutana mkoani Iringa.

Na Fredy Mgunda, Iringa

Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.

Msisitizo huo ulitolewa na Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA) kwa waandishi wa habari wa mikoa ya nyanda za juu kusini...

 

11 years ago

GPL

ENDELEENI KUFICHUA UNYANYASAJI KWA WANAWAKE, WATOTO – TAMWA

Mkurugenzi Mtendaji wa Tamwa, Dk. Valery Msoka. Na Walusanga Ndaki
VYOMBO vya habari vimetakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo. Msisitizo huo ulitolewa mwishoni mwa wiki na chama cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (Tamwa) kwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali yahimiza Waandishi nchini kuandika habari kwa kubobea kwenye Sekta

nkamia+px

Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia.

Na Johary Kachwamba-MAELEZO, DODOMA

SERIKALI imewashauri Waandishi wa Habari nchini kuchagua na kubobea katika sekta mbalimbali maalum ili kuinua kiwango cha taaluma ya habari  na kuwapa wananchi taarifa muhimu kwa umakini zaidi katika nyanja husika ili kuleta maendeleo ya taifa.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Mhe. Juma Nkamia alipokuwa akijibu swali la msingi la Mhe. Haroub...

 

10 years ago

Dewji Blog

TAMWA yawapongeza wakazi wa Mbezi Msuguri kwa kupinga vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia

tamwa

 Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka.

Na Mwandishi wetu

CHAMA Cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), kimewapongeza wakazi wa mtaa wa Msigwa-Mbezi kwa Msuguri jijini Dar es Saaam, kwa kuchukua hatua za pamoja kulaani kitendo cha kulawiti kilichofanywa na Joachim Anset Shirima (40) kwa mtoto mwenye umri wa miaka (4).

Taarifa ilitolewa kwa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam jana na Mkurugenzi wa TAMWA, Valerie Msoka, alisema Shirima alifanya tukio hilo hivi karibuni.

Alisema tukio hilo...

 

10 years ago

Michuzi

TAMWA YATOA MAFUNZO KWA WANAHABARI WA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI JUU YA KUPAMBANA NA UNYANYASAJI WA KIJINSIA

 MWANAHABARI MKONGWE WENCE  MUSHI AKITOA ELIMU KWA WANAHABARI WALIOKUTANA MKOANI IRINGA WANAHABARI WAKIWA MAKINI KUMSIKILIZA MTOA ELIMUWANAHABARI WAKIFUATILIA NINI KINACHOENDELEA KWENYE MAFUNZO HAYO
 Na Fredy Mgunda, Iringa

Waandishi wa habari wametakiwa kuandika zaidi habari zinazohusu unyanyasaji wa kijinsia hususan dhidi ya wanawake na watoto ili kuiamsha zaidi jamii inayowafanyiwa vitendo hivyo na mamlaka husika ziweze kuchukua hatua za kisheria dhidi ya vitendo hivyo.Msisitizo huo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA yahimiza malipo

KUTOKANA na kucheleweshwa kwa malipo ya ada za leseni, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka watoa huduma za mawasiliano nchini kulipa madeni kwa wakati. Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu TCRA kwa...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yahimiza unyonyeshwaji wa watoto

Mkurugenzi wa Huduma za Kinga Dkt. Neema Rusibamayila toka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mapema hii leo jijini Dar es Salaam kuhusu maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji inayotarajiwa kuanza Agosti Mosi hadi Saba ambapo kitaifa itafanyika mkoani Dodoma.
Na. Eliphace Marwa – Maelezo.
Katika kuzingatia na kuboresha afya ya mtoto, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeendelea kuwahimiza wanawake kuzingatia utunzaji na ustawishaji wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

TPA yahimiza malipo ya kielekroniki

WATUMIAJI wa Bandari ya Dar es Salaam wametakiwa kuongeza kasi ya utumiaji wa mifumo ya kielektroniki kulipia huduma zinazotolewa eneo hilo ili kuongeza ufanisi wa kazi na kuondoa ucheleweshaji wa uondoaji wa mizigo bandarini.

Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Hebel Mhanga, alisema matumizi sahihi ya njia za kielektroniki yatasaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ufanisi wa kazi katika bandari hiyo.

Mhanga alikuwa akizungumza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani