TPA yahimiza malipo ya kielekroniki
WATUMIAJI wa Bandari ya Dar es Salaam wametakiwa kuongeza kasi ya utumiaji wa mifumo ya kielektroniki kulipia huduma zinazotolewa eneo hilo ili kuongeza ufanisi wa kazi na kuondoa ucheleweshaji wa uondoaji wa mizigo bandarini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Hebel Mhanga, alisema matumizi sahihi ya njia za kielektroniki yatasaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ufanisi wa kazi katika bandari hiyo.
Mhanga alikuwa akizungumza...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
TCRA yahimiza malipo
KUTOKANA na kucheleweshwa kwa malipo ya ada za leseni, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka watoa huduma za mawasiliano nchini kulipa madeni kwa wakati. Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu TCRA kwa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s72-c/14.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
![](http://3.bp.blogspot.com/-35HviC9TAqM/Ux7du9KwXjI/AAAAAAAA73k/R27MSxuSLjs/s1600/14.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-06IEOzwZCuI/Ux7b0qOq_7I/AAAAAAAA72w/1q6YoyAzOpg/s1600/23.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-s1yIy1k5xzo/Ux7bvkQ1dBI/AAAAAAAA72c/jAVaxtt-edc/s1600/21.jpg)
9 years ago
MichuziNAIBU Waziri ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jaffo atoa siku 27 kwa wakurugenzi wa halmashauri nchini kuanza kutumia mfumo wa kielekroniki
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-a6F4vLoWInQ/Ux7boYTm4vI/AAAAAAAA72U/GvV1-pPLQGE/s1600/20.jpg)
BENKI YA CRDB YAZINDUA MFUMO WA KULIPIA MATIBABU KWA KUTUMIA NJIA YA KIELEKRONIKI 'KCMC TEMBO CARD'
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Serikali yahimiza vijana kujitolea
Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo aliyemwakilisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiongea na na Vijana (hawapo pichani) kutoka taasisi mbalimbali na mashirika yasiyokuwa yakiserikali wanaofanyaka kazi za kujitolea kwenye jamii wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea kimataifa yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Siku ya Kujitolea duniani...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekZbrFN6naU/VbjAKmz57hI/AAAAAAAHsdE/aTL1gyiXOu0/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Serikali yahimiza unyonyeshwaji wa watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekZbrFN6naU/VbjAKmz57hI/AAAAAAAHsdE/aTL1gyiXOu0/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Na. Eliphace Marwa – Maelezo.
Katika kuzingatia na kuboresha afya ya mtoto, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeendelea kuwahimiza wanawake kuzingatia utunzaji na ustawishaji wa...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Tamwa yahimiza kuandika unyanyasaji
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Kampuni yahimiza matumizi ya gesi
KAMPUNI ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza na...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
CUF yahimiza wanachama kuwania uongozi
CHAMA cha Wananchi (CUF) Wilaya Bukoba Mjini, mkoani Kagera, kimewataka wanachama na wakereketwa wa chama hicho kuhamasishana kukipa nguvu chama pamoja na kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi katika...