TCRA yahimiza malipo
KUTOKANA na kucheleweshwa kwa malipo ya ada za leseni, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewataka watoa huduma za mawasiliano nchini kulipa madeni kwa wakati. Taarifa ya Mkurugenzi Mkuu TCRA kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania03 Aug
TPA yahimiza malipo ya kielekroniki
WATUMIAJI wa Bandari ya Dar es Salaam wametakiwa kuongeza kasi ya utumiaji wa mifumo ya kielektroniki kulipia huduma zinazotolewa eneo hilo ili kuongeza ufanisi wa kazi na kuondoa ucheleweshaji wa uondoaji wa mizigo bandarini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, Kaimu Meneja wa Bandari ya Dar es Salaam, Hebel Mhanga, alisema matumizi sahihi ya njia za kielektroniki yatasaidia kwa kiwango kikubwa kuongeza ufanisi wa kazi katika bandari hiyo.
Mhanga alikuwa akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Kampuni yahimiza matumizi ya gesi
KAMPUNI ya huduma za umeme wa jua (solar) nchini, Katomu Investment Limited, imewahimiza Watanzania kupikia gesi majumbani mwao ili kuepuka gharama kubwa za kuni, mkaa na kuangamiza misitu. Akizungumza na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ekZbrFN6naU/VbjAKmz57hI/AAAAAAAHsdE/aTL1gyiXOu0/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Serikali yahimiza unyonyeshwaji wa watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-ekZbrFN6naU/VbjAKmz57hI/AAAAAAAHsdE/aTL1gyiXOu0/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Na. Eliphace Marwa – Maelezo.
Katika kuzingatia na kuboresha afya ya mtoto, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imeendelea kuwahimiza wanawake kuzingatia utunzaji na ustawishaji wa...
10 years ago
Dewji Blog08 Dec
Serikali yahimiza vijana kujitolea
Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Stella Vuzo aliyemwakilisha Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez akiongea na na Vijana (hawapo pichani) kutoka taasisi mbalimbali na mashirika yasiyokuwa yakiserikali wanaofanyaka kazi za kujitolea kwenye jamii wakati wa maadhimisho ya siku ya kujitolea kimataifa yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Siku ya Kujitolea duniani...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Tamwa yahimiza kuandika unyanyasaji
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
NEC yahimiza wananchi kutoa maoni
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema kama wananchi na wadau wanataka mfumo wa uteuzi wa wajumbe wake ubadilike, ni vema wakatoa maoni kwenye Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Mwenyekiti...
11 years ago
Tanzania Daima20 Feb
CHADEMA yahimiza wanachama kugombea uongozi
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Ukonga kimewahimiza wanachama wake kugombea uongozi katika nafasi za udiwani na uenyeviti wa serikali za mitaa katika chaguzi zijazo ili kuwaondolea kero...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/DSC_0277.jpg?width=650)
SERIKALI YAHIMIZA VIJANA KUJITOLEA
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-aYWWnrTYHnc/VfEBHervwhI/AAAAAAAB8g4/P2yB_TB7XXA/s72-c/U%2B1.jpg)
TANZANIA YAHIMIZA USHIRIKIANO KATIKAKUWASAIDIA WAKIMBIZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-aYWWnrTYHnc/VfEBHervwhI/AAAAAAAB8g4/P2yB_TB7XXA/s640/U%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-cvuAUjWLOa4/VfEBJ2pjZ0I/AAAAAAAB8hA/BcOoFgIU7y4/s640/U%2B2.jpg)