TANESCO kukomesha kero ya umeme Dar
SHIRIKA la Umeme (TANESCO), linajenga vituo vikubwa vitano vya kupozea umeme jijini Dar es Salaam ili kukomesha tatizo la kukatikatika umeme katika jiji hilo. Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZtJoWbimGMo/VFI7fe-6JiI/AAAAAAAGuM8/RtH8C5jZBRM/s72-c/download.jpg)
TANESCO KUMALIZA KERO YA UMEME DAR KESHO NOVEMBA MOSI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZtJoWbimGMo/VFI7fe-6JiI/AAAAAAAGuM8/RtH8C5jZBRM/s1600/download.jpg)
Na Mwene Said
Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limesema usumbufu wa kukatika kwa umeme uliojitokeza wiki moja iliyopita limetokana na usafi wa visima vya mafuta na kwamba hadi kufikia kesho hali itarudi kawa kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukaguzi wa mtambo wa kuchuja umeme Tandika, jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Bw.Felchesmi Mramba (pichani) alisema usumbufu huo ulitokana na Kampuni ya Pan Afrika kufanya usafi kwenye visima vyake vya...
9 years ago
Habarileo20 Sep
ACT-Wazalendo kukomesha kero ya maji
CHAMA cha ACT- Wazalendo kimejipanga kutatua kero ya maji kwa wananchi vijijini ili kuwakomboa kinamama wanaopata shida ya kutafuta maji kwa kuanzisha Mamlaka ya Maji Vijijini.
11 years ago
Habarileo12 Feb
Wakazi 200 Dar waitaka TANESCO ishushe bei ya umeme
UMOJA wa wakazi zaidi ya 200 wa Dar es Salaam wametoa siku kumi kwa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), pamoja na vyombo vingine vya maamuzi, kubatilisha maamuzi yake juu ya bei mpya ya umeme na irejeshwe bei iliyokuwepo.
10 years ago
MichuziSHIRIKA LA UMEME TANESCO LAIBIWA NYAYA ZA UMEME KITUO CHA KIPAWA
11 years ago
Mwananchi24 Dec
Tanesco yapandisha bei ya umeme
10 years ago
Habarileo22 Mar
Mitambo ya umeme ‘yaitafuna’ Tanesco
MITAMBO ya kufua umeme inayotumia mafuta kwa ajili ya kufua umeme nchini, imetajwa kuwa kikwazo katika maendeleo ya Taifa, kutokana na kutumia rasilimali fedha za kigeni nyingi katika kuzalisha nishati hiyo nchini, ambayo ingeweza kutumika katika maendeleo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwKT9OO7kEfljf2VdFI7EeN8ZoqyEvWomoVKe5cQLnKXmh1Nz3J3ydV9lABlZNAZDdqPy6XzEc*uUARlBdN81vbo/Kawawa.jpg?width=650)
NAMTUMBO: WANANCHI WALIA NA KERO YA UMEME, MADARASA, MAJI NA BARABARA
11 years ago
Habarileo11 Aug
Tanesco yatambulisha kifaa cha umeme
SHIRIKA la Ugavi wa Umeme (Tanesco) mkoani hapa limetambulisha kifaa kipya ambacho ni mbadala wa kutandaza nyaya za umeme kwa maandalizi ya kupata umeme wa shirika hilo kwa wafugaji wa kuku pamoja na wananchi wanaojenga chumba kimoja ama viwili.