TANGAZO LA MSIBA NEW YORK NA ZANZIBAR WA BI AISHA HEMED
Familia ya Bwana Mohammed wa Brooklyn inasikitika kutangaza Msiba wa mama Yao Bi Aisha Hemed kilichotokea Leo Zanzibar na maziko yalikuwa leo October 07,2015.Bi Aisha Hemed ni mama Mkwe wa Bwana Mohammed na Mama mzazi wa mkewe Bi Fatma Omar wa Brooklyn.Jumuiya ya Watanzania New York na vitongoji vyake inaungana na Familia katika Msiba huu mzito wa mwanajumuiya mwenzetu.Tunasisitiza Wanajumuiya kuungana Na wanafamilia katika kuwafariji wafiwa pamoja Na kumuombea dua Mama yetu mpenzi Mwenyezi...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ynq7GV_Qzss/U2Z3BzYhEJI/AAAAAAAFfWk/t0WkZq4_Y18/s72-c/unnamed+(55).jpg)
Tangazo la Msiba Philadelphia na New York
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ynq7GV_Qzss/U2Z3BzYhEJI/AAAAAAAFfWk/t0WkZq4_Y18/s1600/unnamed+(55).jpg)
Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu...
11 years ago
GPLRAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lYnNv0-ng5AvHnRkKe3-aWYbVWCkbembUiUsOc*opJ5sWkU6JVqIVtNmKaBklIVTrz*sm02ZkNDHwJKoZKDHUdnfdlknGnIx/MADINDA.jpg)
MSIBA WAMSOTESHA AISHA MADINDA DUBAI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScu3MyqRzM-UBaGU0X5Qj8APzZ89ce5Z2TdXRyWKSsZr0NHo5Kdqi8DTO80BqWWXziR4POG4NdY1WO0Dn6wYRipF/steve.jpg)
STEVE NYERERE AANIKA SABABU ZA KUJITOLEA MSIBA WA AISHA
10 years ago
VijimamboMAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED
10 years ago
Bongo517 Dec
Ray C asitisha kuachia wimbo mpya kufuatia msiba wa Aisha Madinda
10 years ago
CloudsFM18 Dec
RAY C AAHIRISHA KUSAMBAZA NGOMA YAKE MPYA KUPISHA MSIBA WA AISHA MADINDA
STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’ ameahirisha kuisambaza ngoma yake kwenye vituo vya redio kupisha msiba wa rafiki yake wa siku nyingi marehemu Aisha Madinda,ngoma hiyo inaitwa Nishum Shum tayari ipo kwenye mitandao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...