Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANGAZO LA MSIBA NEW YORK NA ZANZIBAR WA BI AISHA HEMED


Familia ya Bwana Mohammed wa Brooklyn inasikitika kutangaza Msiba wa mama Yao Bi Aisha Hemed kilichotokea Leo Zanzibar na maziko yalikuwa leo October 07,2015.Bi Aisha Hemed ni mama Mkwe wa Bwana Mohammed na Mama mzazi wa mkewe Bi Fatma Omar wa Brooklyn.Jumuiya ya Watanzania New York na vitongoji vyake inaungana na Familia katika Msiba huu mzito wa mwanajumuiya mwenzetu.Tunasisitiza Wanajumuiya kuungana Na wanafamilia katika kuwafariji wafiwa pamoja Na kumuombea dua Mama yetu mpenzi Mwenyezi...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Tangazo la Msiba Philadelphia na New York

Mama Harriette Peace Kagaruki  (pichani) amefariki dunia huko Philadelphia tarehe 28 Apil 2014. Marehemu alikuwa anaishi Tanzania na alikuwa amekuja Marekani kuwasalimia wanawe Erick Kagaruki (Ohio) na Mary Kagaruki (Philadelphia), na ndipo alipougua ghafla na baadae kuaga dunia.  Marehemu Mama Kagaruki hakuwa mkazi wa Marekani. 
Kwa maana hiyo na kwa sababu msiba huu umetokea ghafla na kwa sababu ni Mtanzania mwenzetu tunaomba tusaidiane ili tuweze kufanikisha shughuli za msiba huu...

 

11 years ago

GPL

RAMBIRAMBI MSIBA WA DK HEMED MZIRAY

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha daktari wa tiba ya michezo, Dk. Hemed Mziray kilichotokea juzi jijini Dar es Salaam. Dk. Mziray ambaye alikuwa mfanyakazi wa Hospitali ya Manispaa ya Temeke na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Tiba ya Michezo Tanzania (TASMA) amesafirishwa kwenda kwao mkoani Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi. Msiba huo ni mkubwa katika fani ya mpira wa miguu...

 

10 years ago

GPL

MSIBA WAMSOTESHA AISHA MADINDA DUBAI

Stori: Gladness Mallya ZOEZI alilokuwa akilifanya Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Asha Baraka la kufanya mpango wa kumrudisha nchini mnenguaji Aisha Madinda amelisitisha kwa muda baada ya kupata msiba mzito wa mdogo wake na kumfanya mwanadada huyo aendelee kusota Dubai. Mnenguaji  wa Twanga Pepeta, Aisha Madinda . Akizungumza na gazeti hili, Asha alisema alipata msiba wa mdogo wake...

 

10 years ago

GPL

STEVE NYERERE AANIKA SABABU ZA KUJITOLEA MSIBA WA AISHA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema anakumbuka fadhila za marehemu Mwanaisha Mohamed Mbegu ‘Aisha Madinda’ ndiyo maana amejitoa kwa hali na mali katika msiba wake kwani anawaonea huruma watoto wake ambao aliishi nao kama kaka yao enzi za marehemu alipokuwa na uhusiano na mdau wa Muziki wa Dansi Bongo, Fikiri Madinda. Staa wa filamu za Kibongo, Steven...

 

10 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA HEMED SALUM HEMED

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar aliyefariki katika ajali ya barabarani wakati akitoka mkutanoni Makunduchi. Mazishi hayo yamefanyika Msikiti Ngamia, Kilimahewa.Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akishiriki katika mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) mkaazi wa Kinuni Zanzibar...

 

10 years ago

Bongo5

Ray C asitisha kuachia wimbo mpya kufuatia msiba wa Aisha Madinda

Rehema Chalamila aka Ray C ameamua kuahirisha kuachia wimbo wake mpya kufuatia kifo cha mnenguaji wa bendi ya Twanga Pepeta, Aisha Madinda. Ray C ameiambia Bongo5 kuwa imembidi asitishe kusambaza wimbo huo ambao ulikuwa utoke leo na usambazwe kwenye vituo vyote vya radio. “Nikiwa kama msanii kutokana na msiba wa msanii mwenzetu Aisha Madinda,” amesema. […]

 

10 years ago

CloudsFM

RAY C AAHIRISHA KUSAMBAZA NGOMA YAKE MPYA KUPISHA MSIBA WA AISHA MADINDA

STAA wa Bongo Fleva,Rehema Chalamila’’Ray C’ ameahirisha kuisambaza ngoma yake kwenye vituo vya redio kupisha msiba wa rafiki yake wa siku nyingi marehemu Aisha Madinda,ngoma hiyo inaitwa Nishum Shum tayari ipo kwenye mitandao.

Kupitia Instagram Ray C aliandika hivi...Nenda Dada yangu nenda! Nakumbuka tulikutana Kanisani Tabata ukanishuhudia Kwamba umeweza kuacha madawa ya kulevya na miguu yako imepona Kabisa kwa imani na mola na kwa maombezi ya nabii Joseph, nilipokuona ulivyokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani