TANGULIA TYSON, HAUTASAHAULIKA
![](http://api.ning.com:80/files/a5b4X5Lcvi2NR1VzKfrEcqX*GOOMAEcED3OoKk8iqVcHG7LHwzPzuINkIpB7d3Eqdv6*9u5*pMq9cKYxAKRnr-sIFNShvCF*/tyson.jpg)
FILAMU ya Girlfriend iliyotengenezwa mwaka 2003, ambayo wadau wote wanakubaliana kwamba ndiyo iliyolipua moto wa watengeneza sinema wa Kitanzania, inabaki kuwa ndiyo filamu iliyomuweka rasmi George Otieno Okumu ‘Tyson’ kwenye ramani ya filamu za Kibongo na kumpa heshima kubwa. Marehemu George Otieno Okumu ‘Tyson’ enzi za uhai wake. George Tyson, Mkenya aliyekuwa akifanya shughuli zake hapa nchini...
GPL
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Pigano kati ya Deontay Wilder na Tyson Fury II: Mike Tyson ana muunga mkono Fury
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Tangulia Mandela, fikra zako zitaishi kwa wanyonye
WIKI iliyopita Afrika na dunia kwa ujumla ilipokea kwa mshituko taarifa za kifo cha rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini, shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi, Nelson...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-pFC97wJAN8g/VWg2gzypW9I/AAAAAAAALX8/iJFBWXEMPQU/s72-c/villa%2B3.jpg)
TANGULIA KWA AMANI SHEIKH OMAR ALHADY ULIYEDUMU SIKU 10 TU MADARAKANI!
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/vila-5.jpg)
Sheikh Omar Alhady
Mwenyekiti mpya wa Villasquad, Sheikh Omar Alhady amefariki dunia juzi katika hospital ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la figo.Rais mstaafu wa awamu ya pili, Alhaj Ally Hassan Mwinyi aliongoza mazishi yaliyofanyika jana jijini Dar es salaam.Sheikh omary alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa klabu katika mkutano mkuu wa wanachama uliofanyika mwezi huu tarehe 17 na amedumu kwa siku kumi tu (10) tangu achaguliwe.
![](http://2.bp.blogspot.com/-pFC97wJAN8g/VWg2gzypW9I/AAAAAAAALX8/iJFBWXEMPQU/s640/villa%2B3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lu8a2-fLGRkAZWwTTuFQsaDyGtmDhbXgBaxSZwVKurx7T-cWUAXnf5zWRXQDDdGrB0v7Hk0KdBeV1F03UFIq1mUDCkYlD9iS/TYSON.jpg)
MASTAA WASUSIA 40 YA TYSON
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
RC aongoza mamia kumuaga Tyson
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa (RC), Said Meck Sadik, jana walijitokeza kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni kutoa heshima za mwisho kwa...
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Tyson Fury 'atarambishwa sakafu'
11 years ago
GPL31 May
GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vKR8mtf*1cqo7BcoUgAAEetY6pDPuQrQKqNTkZZZj7qajJLTD*OPoYO7NZSQzfmiPhlKHtJVO95Ybh5i0DjrWkUoo2LxZYo5/TYSON.jpg)
MATUKIO 4 MSIBANI KWA TYSON
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s72-c/tyson.jpg)
UPDATES ZA MSIBA WA GEORGE TYSON
![](http://1.bp.blogspot.com/-r2zeSO-Tf9Q/U4zPDPXg7sI/AAAAAAAFnTg/9-1OF86EeEg/s1600/tyson.jpg)
Mwili utakuwepo nyumbani hapo mpaka siku ya Jumatano Juni 4,ambapo mwili utapelekwa kwenye viwanya vya Leaders Club,Kinondoni kwa ajili ya shughuli ya kuaga mwili na ibada fupi.
Baadae mwili utapelekwa kwenye Uwanja wa ndege wa Mwalimu J.K.Nyerere tayari kwa kusafirishwa kwenye jijini Nairobi nchini Kenya kwa...