RC aongoza mamia kumuaga Tyson
MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa (RC), Said Meck Sadik, jana walijitokeza kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni kutoa heshima za mwisho kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Pinda aongoza mamia kumuaga Makame
10 years ago
Habarileo23 Aug
Pinda aongoza mamia kumuaga Jaji Makame
MAMIA ya watu wakiwemo viongozi wa nyanja mbalimbali nchini, jana walijitokeza kuuaga mwili wa Jaji mstaafu, Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam, huku sifa za utendaji wakati wa utumishi wake zikitawala shughuli hiyo.
9 years ago
Mtanzania08 Oct
Bilal aongoza mamia kumuaga Mchungaji Mtikila
TUNU NASSOR NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, jana ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), marehemu Mchungaji Christopher Mtikila.
Akizungumza baada ya jeneza la mwili wa Mchungaji Mtikila kuwasili kwenye Ukumbi wa Karimjee, Dk. Bilal alisema Mchungaji Mtikila alikuwa mtu jasiri na aliyependa kushirikiana na wenzake na kuheshimu mawazo ya wengine.
Alisema mchango wake, ulionyesha...
11 years ago
Habarileo28 Feb
Kikwete aongoza mamia kumuaga Balozi Kazaura
RAIS Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal jana waliongoza mamia ya viongozi wa Serikali, mabalozi wa nchi mbalimbali na wanataaluma, kuaga mwili wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura.
11 years ago
CloudsFM05 Jun
11 years ago
CloudsFM05 Jun
H BABA AUGUA GHAFLA, ASHINDWA KUMUAGA TYSON
STAA wa Bongo Fleva,Hamis Baba ameugua ghafla jana na kuanguka wakati akijiandaa kwenda kuaga mwili wa aliyekuwa muandaaji wa filamu za Kibongo,marehemu Geogre Otieno Tyson katika viwanja vya Leades,Kinondoni,Dar.
Aidha msanii alisema kuwa baada ya hali hiyo kumtokea alikimbizwa hospitalini. Kupitia Account yake ya Instagram aliandika hivi… Naumwa sana nilikuwa najiandaa kwenye kumuaga mwenzetu Tyson nikasikia kizunguzungu nikaanguka… hapa nipo hospitalini…
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-vbocQnQ_MuE/VTajVcJSRdI/AAAAAAAAaRM/Q78C7p2jJws/s72-c/3.jpg)
MAMIA YA WAOMBOLEZAJI WAJITOKEZA KUMUAGA BIBI MAGDALENA PETRO MAGIGE
![](http://4.bp.blogspot.com/-vbocQnQ_MuE/VTajVcJSRdI/AAAAAAAAaRM/Q78C7p2jJws/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9HxmP-xhXoE/VTajazjiYZI/AAAAAAAAaR0/pkEnrMjR5tw/s1600/6.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-37TR_8uDgPk/VTajcEdcgLI/AAAAAAAAaSE/Exz2PmAxq_E/s1600/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3hKjGaQJdkY/VTajdSgl9DI/AAAAAAAAaSQ/jF09JfPkk7s/s1600/9.jpg)
9 years ago
Habarileo08 Oct
JK aongoza maelfu kumuaga Mchungaji Mtikila
RAIS Jakaya Kikwete ameongoza mamia ya waombolezaji pamoja na viongozi wa kitaifa, katika kumuaga Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila aliyekufa kwa ajali hivi karibuni mkoani Pwani.
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Mamia wajitokeza viwanja vya Leaders Club Jijini Dar kumuaga Mhariri Edson Kamukara
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa Mhariri wa Kampuni ya Mwanahalisi, Edson Kamukara wakati ulipowasili viwanja vya Leaders Club Dar es Salaam jana asubuhi, kwa ajili ya kuagwa. Kamukara alifariki dunia juzi na mazishi yake yanatarajia kufanyika nyumbani kwao Muleba mkoani Kagera.
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Reginald Mengi (katikati), akiwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk.Wilibrod Slaa kwenye...