Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pinda aongoza mamia kumuaga Jaji Makame

MAMIA ya watu wakiwemo viongozi wa nyanja mbalimbali nchini, jana walijitokeza kuuaga mwili wa Jaji mstaafu, Lewis Makame kwenye viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam, huku sifa za utendaji wakati wa utumishi wake zikitawala shughuli hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Pinda aongoza mamia kumuaga Makame

Waziri Mkuu Mizengo Pinda ameongoza mamia ya waombolezaji kuuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Kwanza wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(Nec), Jaji Mstaafu Lewis Makame.

 

10 years ago

Michuzi

MH. PINDA AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA JAJI MAKAME

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu, Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia) kabla ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na kutoa heshima za mwisho kwa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, marehemu Jaji Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014. Kulia nI jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na jaji Mkuu Mohamed Chande Othman (kulia) na Mawaziri...

 

10 years ago

Dewji Blog

Pinda aongoza waombolezaji kutoa heshima za mwisho kwa Jaji Makame

PG4A2667

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimian na Mawaziri Wakuu, Wastaafu, Frederick Sumaye na Jaji Joseph Warioba (wapili kulia)  kabla ya kuzungumza kwa niaba ya serikali na  kutoa heshima za mwisho kwa Mwenyekiti Mstaafu wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,  marehemu Jaji Lewis Makame kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam August 22, 2014. Kulia ni jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed  Chande Othman. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

PG4A2677

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akisalimiana na jaji Mkuu Mohamed...

 

11 years ago

Tanzania Daima

RC aongoza mamia kumuaga Tyson

MAMIA ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa (RC), Said Meck Sadik, jana walijitokeza kwenye viwanja vya Leaders Kinondoni kutoa heshima za mwisho kwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Bilal aongoza mamia kumuaga Mchungaji Mtikila

LTUNU NASSOR NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal, jana ameongoza mamia ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam kuaga mwili wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), marehemu Mchungaji Christopher Mtikila.

Akizungumza baada ya jeneza la mwili wa Mchungaji Mtikila kuwasili kwenye Ukumbi wa Karimjee, Dk. Bilal alisema Mchungaji Mtikila alikuwa mtu jasiri na aliyependa kushirikiana na wenzake na kuheshimu mawazo ya wengine.

Alisema mchango wake, ulionyesha...

 

11 years ago

Habarileo

Kikwete aongoza mamia kumuaga Balozi Kazaura

RAIS Jakaya Kikwete na Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal jana waliongoza mamia ya viongozi wa Serikali, mabalozi wa nchi mbalimbali na wanataaluma, kuaga mwili wa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Balozi Fulgence Kazaura.

 

10 years ago

GPL

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME

Mama Salma Kikwete akimsindikiza Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame kuweka udongo kwenye kaburi la mumewe. Mama Salma Kikwete akitoa salamu ya pole kwa wafiwa mara baada ya shughuli ya utiaji udongo kaburini kukamilika.…

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama Salma Kikwete aongoza mazishi ya Jaji Mstaafu Lewis Makame, Tanga

IMG_8851

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.

IMG_8853

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimfariji Mama Mary Mbaga Makame, mjane wa Marehemu Jaji Lewis Mhina Makame mara baada ya kuwasili kijijini Tongwe, wilayani Muheza  kwa ajili ya mazishi tarehe 23.8.2014.

IMG_8869

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiaga mwili wa Marehemu Jaji Lewis Makame kijijini...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE AONGOZA SHUGHULI YA MAZISHI YA JAJI LEWIS MAKAME KIJIJINI KWAKE HUKO TONGWE - MUHEZA

 Mama Salma Kikwete akimsindikiza Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame kuweka udongo kwenye kaburi. Mama Salma Kikwete akiwa na  Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary Makame  Mama Salma Kikwete akitoa salamu ya pole kwa wafiwa mara baada ya shughuli ya utiaji udongo kaburini kukamilika. Mjane wa Marehemu Jaji Lewis Makame, Mama Mary akiweka shada la maua kwenye kaburi la mume wake Marehemu Jaji Lewis Makame wakati nwa ibada ya mazishi iliyofanyika huko Tongwe katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani