Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA HOTTEST MODELS COMPETITION YAJA

Neema  Modelling  Agency, wanakuletea  TANZANIA  HOTTEST  MODELS  COMPETITION. Ni    shindano  la  kumtafuta  mwanamitindo  wa  kike , mwenye   mvuto  kuliko  wote  TanzaniaSIFA  ZA  WASHIRIKI.1.    Awe  msichana  mwenye  umri    usio pungua  miaka  kumi  na  nane  na  usio  zidi miaka  thelathini.2.    Elimu  ya  kuanzia  kidato  cha  nne  na  kuendelea.3.    Uwezo  wa  kuzungumza  kwa  ufasaha  lugha  za  Kiswahili  na  kiingereza.4.    Awe  maridadi na  mwenye  mvuto5.    Awe  raia  wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania Top Models ilivyoandika historia

DESEMBA 7, mwaka huu, iliandikwa historia mpya katika fani ya uanamitindo hapa nchini, pale shindano la Tanzania Top Models lilipofanyika kwa mara ya kwanza. Shindano hilo limeasisiwa na Tanzania Top...

 

10 years ago

Bongo5

Herieth Paul (Tanzania) aongoza orodha ya models 10 wa Afrika wanaofanya vizuri duniani

Mrembo wa Tanzania mwenye makazi yake jijini New York, Marekani, Herieth Paul ameongoza orodha ya models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi kimataifa. Orodha hiyo imetolewa na mtandao wa Africa News. Mfahamu zaidi Herieth kwa kutazama mahojiano tuliyofanya naye mwishoni mwa mwaka jana. Warembo wengine waliopo kwenye orodha hiyo kuanzia namba mbili ni: 2.Maria Borges […]

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz atoa sababu za wasanii wa Tanzania kutumia models wa nje kwenye video zao

Ommy na model wa ndagushima

Ommy Dimpoz ni kati ya wasanii wa Bongo ambao wameshoot video zao kadhaa nje ya Tanzania kwa kutumia waongozaji pamoja na video models wa nje.

Ommy na model wa ndagushima
Ommy Dimpoz na model wa ‘Ndagushima’ Sofia Skvortsova

Wengi wanaamini upo uwezekano wa wasanii kuamua kusafiri na models kutoka nyumbani kama ambavyo husafiri na dancers wao kwenda kushoot video nje, lakini Ommy Dimpoz ana sababu za kwanini hushindwa kufanya hivyo.

“Mara nyingi models wa nje wako proffesional wanaweza kucheza character zote ambazo...

 

10 years ago

Michuzi

Tanzania College Star Music competition

 Tanzania College Music Star ni shindano la kutafuta vipaji vya kuimba muziki wa kizazi kipya kwa wanafunzi wa vyuo vikuu Tanzania, Tumeanza na huu mchakato tokea mwezi wa 12 mwaka jana tumefanya audition mara mbili na tukapata top 5 kutoka vyuo vyote jijini mbeya. Finali itafanyika wiki hii tarehe 23/05/2015 VibeMaishaClub Mbeya na kutakuwa na special appearance kutoka kwa mtangazaji na mjasiliamali maarufu Tanzania Kutoka Born2shine a.k.a Bdozen  Nelson kutoka Mbeya university of science...

 

9 years ago

Bongo5

Kwanini wasanii wetu siku hizi wanawatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania? — Jacqueline Wolper

wolper

Mwigizaji wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper ameamua kushare na followers wake wa Instagram kitu ambacho kimekuwa kikimsikitisha, kuona wasanii wa bongo wakiwatumia zaidi video models wa nje ya Tanzania na kuwaacha wa hapa.

wolper

Hiki ndicho alichoandika Wolper;

“Jamani wapenzi wangu naombeni niwaulize ktu kimoja …kuna madada zetu wengi hapa Tanzania na wakaka wengi wazuri nawakivaa au kuvalishwa wanapendeza ila Tatizo uwezo tuu…lengo la haya maneno ni kuuliza na muwatag pia hawa wanaofanya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yaja na ‘Hello Tanzania’

KAMPUNI ya simu za mikononi ya Vodacom Tanzania imeanzisha promosheni mpya iliyopewa jina ‘Hello Tanzania’ ambayo inamuwezesha mteja kuzungumza bure kwa dakika moja. Akizungumza na Tanzania Daima juzi, Mkuu wa...

 

10 years ago

Michuzi

HOSTS TANZANIA MAKE IMPRESSIVE START IN EAC MILITARY NETBALL COMPETITION


Tanzania’s towering Goal Shooter (GS) Mwanaidi Hassan prepares to slot home one of her many attacks as they mauled Burundi 113-10.
---------------------------- Hosts and defending champions Tanzania made a flying start in the eighth edition of the EAC military netball competition with smashing 113-10 win over Burundi at the JKU ground in Zanzibar yesterday.
Tanzania’s towering Goal Shooter (GS) Mwanaidi Hassan was a thorn in Burundi’s defence .Burundi’s Goalkeeper Mutoni Bertiel was completely...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Models 10 wa video za muziki Tanzania waliofanya vizuri/wanaovutia zaidi 2014/2015

Kwa miaka mingi wanawake wamekuwa wakitumika zaidi kupendezesha video za muziki duniani. Kazi hiyo imewawezesha baadhi ya video queens kuwa mastaa kwa kazi hiyo tu. Hii ni orodha yetu ya warembo 10 waliofanya vizuri zaidi kwenye video za wasanii wa Tanzania kwa mwaka 2014/2015. 1. Maggie Vampire – Wanawake wa Dar – Wakazi Kwa wahudhuriaji […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani