Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZANIA IMEFANYA VIZURI UTEKELEZAJI WA MDGs-WAZIRI SIMBA

kutoka kushoto Dkt. Grace Mallya kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Bi. Grace Mwangwa Mtaalamu wa masuala ya Jinsia, Wizara ya Fedha na aliyekaa nyuma ni Bi. Constacia Gabusa Kaimu Mkurugenzi -(Jinsia) Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, wakifuatilia hotuba ya Waziri. Mhe. Sophia Simba ( Mb) Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, akielezea uzoefu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo ya Millenia ( MDGs) ni katika Mkutano...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

UMOJA WA MATAIFA LEO KUANDIKA HISTORIA NYINGINE: Anjenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani kuchukua nafasi ya Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs)

 Haya ndiyo  Malengo Mapya ya Maendeleo Endelevu (Ajenda 2030) ambayo  leo Ijumaa Wakuu wa Nchi na Serikali wanayapitisha katika Mkutano wao wa Kihistoria  Unaofanyika  Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa New York Marekani. Ajenda 2030 ambayo utekelezaji wake unaaza mwakani inachukua nafasi ya  Malengo ya Maendeleo ya Millenia( MDGs) ambayo yamefikia ukiongoni mwaka huu.  Upitishaji wa Ajenda 2030 utatanguliwa na hotuba ya Baba Mtakatifu Francis  Katibu Mkuu  wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

 

9 years ago

MillardAyo

Serikali ya Tanzania imefanya maamuzi ya kumsimamisha mwingine leo December 23

December 23 2015 imenifikia taarifa ya maamuzi yaliyoamriwa na Serikali ya Tanzania ambapo Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi ya mwendokasi DART, Bi. Asteria Mlambo amesimamishwa ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili. Tuhuma zilizotajwa kusababisha kusimamishwa kwa Mkurugenzi huyo ni ishu ya kukiukwa kwa kanuni za kumtafuta mtoa huduma wa mpito wa huduma za mabasi ya mwendokasi. […]

The post Serikali ya Tanzania imefanya maamuzi ya kumsimamisha mwingine leo December 23 appeared first...

 

11 years ago

TheCitizen

MDGs and Tanzania’s development

Dar es Salaam. On 5 February 1967 the first president of Tanzania, Julius Nyerere, unveiled the country’s socio-economic development blue print, the Arusha Declaration.

 

10 years ago

Mwananchi

Kerr: Simba bado hatujakaa vizuri

Simba imeshinda mechi zake tatu za kirafiki visiwani hapa, lakini kocha wa timu hiyo, Dylan Kerr amesema bado hajapata kikosi anachokihitaji kwa ajili ya mapambano ya Ligi Kuu Bara.

 

11 years ago

Dewji Blog

Waziri Simba azinduwa mkutano kujadili utokomezaji ukeketaji Tanzania

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan akiwasilisha mada katika mkutano huo.

Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan...

 

11 years ago

GPL

WAZIRI SIMBA AZINDUWA MKUTANO KUJADILI UTOKOMEZAJI UKEKETAJI TANZANIA‏

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.[/caption][caption Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo. Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBA AZINDUA KITINI CHA ELIMU YA MALEZI KWA FAMILIA TANZANIA

 Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Sophia M. Simba (Mb.) akikata utepe kuzindua Kitini cha Zana za Mawasiliano kuhusu Elimu ya Malezi kwa Familia, kushoto kwake ni Mhe. Dk. Pindi H. Chana (Mb) Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, kulia kwake ni Georgina Mtenga kutoka UNICEF na Anna T. Maembe Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto.  Waziri akikabidhi Kitini hicho kwa Muwakilishi wa Watoto.
Wawakilishi wa Watoto, Wazazi, Waandishi wa Habari...

 

5 years ago

Michuzi

Timu ya Wataalamu Yakamilisha Utekelezaji Maagizo ya Waziri


Sehemu ya Kiwanda (Kinu) cha Mzee Kisangani cha Kuyeyushia Madini ya Chuma kabla ya kupelekwa Kiwandani kwa ajili ya kutengeneza zana za Kilimo.Baadhi ya Wataalam wakiwa juu ya “Kinu” walikopatiwa maelezo na Mzee Kisangani (wa mwisho) kuona namna kinavyofanya kazi. Wa kwanza ni DKt. Yohana Mtoni (NDC), Prof. Sylivester Mpanduji (SIDO), Prof....

 

9 years ago

Raia Mwema

Profesa Muhongo kaanza vizuri, Waziri Kitwanga je?

KUTOKANA na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wangu, wiki mbili zilizopita nilishindwa kuwaletea mak

Evarist Chahali

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani