Tanzania inavyojiandaa kuendesha sekta ya gesi
Uzalishaji, usafirishaji na utumiaji wa nishati ya gesi asilia ni moja ya teknolojia mpya hapa nchini ambayo kwa miaka mingi haikupewa kipa umbele katika vyuo mbalimbali nchini kwa sababu haikuwa inalingana na mazingira halisi ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s72-c/1.jpg)
TPDC kuendesha utafiti wa mafuta na gesi kwa ndege
![](http://2.bp.blogspot.com/-kzUCb3C_nXY/VkmOYuDS_mI/AAAAAAAIGIs/SVqkgk3btrg/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xcuuqUANnn4/VkmOYvXeVrI/AAAAAAAIGIo/bJvMzV7Cgcc/s640/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
WMA na mkakati wa kuinua sekta ya gesi
MIONGONI mwa majukumu ya Wakala wa Vipimo (WMA)ni kuhakikisha kuwa vipimo vyote vinavyotumika katika sekta za biashara, afya, usalama na mazingira vinakuwa sahihi. Baada ya serikali kufanya mabadiliko ya sera...
11 years ago
Mwananchi26 Dec
Watanzania wakiwezeshwa sekta ya gesi wanaweza
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Usimamizi makini, suluhu mchakato sekta ya gesi
JUNI 10 mwaka huu Benki Kuu ya Tanzania (BoT)iliandaa mafunzo ya siku moja yaliyozungumzia faida zitokanazo na gesi asili kwa viwanda vya hapa nchini. Mafunzo hayo yalikuwa maalum kwa ajili...
11 years ago
MichuziNORWAY YADHAMIRIA KUWEKEZA LINDI KATIKA SEKTA YA GESI NA UVUVI
10 years ago
MichuziWANACHI WA LINDI NA MTWARA WAJADILIANA UWAZI KATIKA SEKTA YA MAFUTA NA GESI
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YATAKA SEKTA BINAFSI ISHIRIKISHWE KUSAMBAZA GESI ASILIA
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kushirikisha sekta binafsi katika usambazaji wa gesi asilia nchini ili kuongeza kasi yake, hivyo kuinufaisha jamii ipasavyo.
Hayo yalibainishwa jana, Machi 14, 2020 na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dunstan Kitandula wakati akifanya majumuisho baada ya Wajumbe wa Kamati husika kutembelea baadhi ya makazi ya wananchi wa Dar es Salaam, waliounganishiwa gesi asilia kwa matumizi ya kupikia.
Alisema kuwa...
10 years ago
MichuziTPDC yakutanisha wadau kujadili sekta ndogo ya Mafuta na Gesi, Bagamoyo
BOFYA HAPA KWA PICHA...
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Planet Core yaangalia fursa ya uwekezaji sekta ya elimu, mafuta na gesi Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizungumza na Ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya Uwekezaji ya Planet Core ya Nchini India hapo Nyumbani kwake Mazizini nje kidogo ya Mji wa Zanzibar.Kati kati ni Mwenyekiti wa Timu ya Uongozi wa Planet Core Bwana Deepak Balaji na Kulia ni Rais wa Taasisi hiyo Bwana Dilip Kulmarni.
Na Othman Khamis Ame
Taasisi ya Kimataifa inayojihusisha na Miundo mbinu ya Elimu, Madini, mafuta na Gesi, nishati na mawasiliano ya Planet Core kutoka...