Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tanzania kuendele kushirikiana na GIZ

GIZ - 1

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akitoa tamko kuhusu  Siku ya Soko la Afya  iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la GIZ , itakayofanyika Oktoba 2 katika ukumbi wa Diammond Jubelee jijini Dar es salaam.

GIZ - 2

Naibu Meneja wa Miradi ya Afya wa GIZ Bw. Christian Ptleiderer akizungumza na waandishi wa habari kutoa wito kwa mashirika mengine yanayotoa huduma za afya nchini kuendelea kusaidia na kusambaza huduma zao katika maeneo yenye changamoto...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TANZANIA KUENDELEA KUSHIRIKIANA NA GIZ

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Michael John akitoa tamko kuhusu Siku ya Soko la Afya iliyoandaliwa na Wizara hiyo kwa kushirikiana na Shirika la GIZ , itakayofanyika Oktoba 2 katika ukumbi wa Diammond Jubelee jijini Dar es salaam.…

 

10 years ago

Michuzi

EAC-GIZ Sensitization Workshops to Bridge Gap in Cross Border Trade

As a way strengthening communication and sensitisation of EAC achievements and popularizing integration benefits to all East Africans, the EAC Secretariat in collaboration with GIZ will be conducting sensitization workshops at Mutukula and Sirari/Isebania borders from 16th to 17th and from 23rd to 24th April, respectively.
The sensitisation workshops, which targets small traders, young entrepreneurs and women traders, will be conducted in a participatory manner with presentations on...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania, Algeria kushirikiana zaidi

Tanzania itaanza kushirikiana na Algeria katika masuala ya kiuchumi kupitia sekta za gesi, mafuta na umeme kutokana na mafanikio makubwa yaliyofikiwa nchi hiyo kupitia rasilimali hizo.

 

10 years ago

Michuzi

FINLAND NA TANZANIA KUSHIRIKIANA KIBIASHARA

 Mkurugenzi wa biashara ya ndani mamlaka ya maendeleo ya biashara Tanzania (TANTRADE), Edwin Rutagarutwa akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu nyerere jijini Dar es Salaam  leo. Kuhusiana na  wigo wa biashara hapa nchini na nchi ya Finlan.  Mwenyekiti wa mkutano na Ushirikishaji  wa ubalozi wa Finland,Siv Ahlberg katika akizungunza  katika semina ya kibiashara iliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanzania, Canada kuendelea kushirikiana

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amesema Tanzania itaendelea kushirikiana na Canada ili kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya gesi asilia, madini na utalii nchini. Profesa Muhongo...

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania, Canada kushirikiana zaidi

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema, Tanzania itaendelea kushirikiana na nchi ya Canada katika kuendeleza mpango wa ukuzaji wa sekta ya madini nchini hususan uchimbaji wa mafuta, gesi na madini.

 

10 years ago

Michuzi

TANZANIA, JAPAN KUSHIRIKIANA SEKTA YA NISHATI

Na Veronica Simba  Wizara ya Nishati na Madini inapanga kushirikiana na Kampuni ya Mitsubishi Hitachi Power System ya Japan katika kuendeleza sekta ya nishati nchini. Kamishna Msaidizi wa Umeme wa Wizara, Mhandisi Innocent Luoga aliyasema hayo mapema leo baada ya kukutana na uongozi wa juu wa kampuni hiyo, Makao Makuu ya Wizara jijini Dar es Salaam. Mhandisi Luoga alisema katika kikao hicho, Ujumbe wa kampuni ya Mitsubishi Hitachi Power Systems Ltd uliwasilisha mapendekezo ya matumizi ya...

 

11 years ago

Habarileo

China, Tanzania kushirikiana usafiri wa anga

SERIKALI imesaini na China makubaliano ya mkataba wa usalama wa usafiri wa anga, ambao wataalamu wa masuala hayo wa China, watakuwa wasimamizi wakuu kwa kutoa msaada wa kiufundi nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani