Tanzania kujifua kanda ya 5
Tanzania imeteua wachezaji wa timu ya taifa ya mpira wa wavu wa ufukweni kufuzu Kanda ya 5 kwa wanawake Afrika.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s72-c/3.jpg)
TIMU YA TANZANIA "TAIFA STARS" YAENDELEA KUJIFUA
![](http://4.bp.blogspot.com/-LLaakZ_okyw/VVXYjs6Te0I/AAAAAAABZZg/BeRSsFY--kw/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2osnNF70-B0/VVXYlpCK9rI/AAAAAAABZZs/j7ofU4yPoa4/s640/8.jpg)
Kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars Mart Nooij amesema vijana wake wanaendelea vizuri na mazoezi, ikiwa leo ni siku ya pili kufanya mazoezi baada ya ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Djf6zSwIyD8/U_HRnCChxaI/AAAAAAAGAcI/qNfQAmdP1dw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
VIJANA WAZIDI KUJIFUA KWA ROBO FAINALI YA DANCE 100% INAYODHAMINIWA NA VODACOM TANZANIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Djf6zSwIyD8/U_HRnCChxaI/AAAAAAAGAcI/qNfQAmdP1dw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nAi5BEOGJog/U_HRou9KPJI/AAAAAAAGAcQ/gwrDW7AcFJE/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEzPwdpAAsg/U_HRndmhBdI/AAAAAAAGAcM/KKTwKLRM5CU/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Utambulisho wa gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa
KAMPUNI ya Free Media imetambulisha gazeti la Tanzania Daima Kanda ya Ziwa. Hafla hiyo ilifanyika jijini Mwanza mwishoni mwa wiki katika Hoteli ya Villa Park na kudhaminiwa na kampuni inayotengeneza...
11 years ago
Habarileo24 Jan
Tanzania, Afrika Kusini kuimarisha kanda maalum za uwekezaji
TANZANIA na Afrika Kusini zimeingia makubaliano ya kuunda vikosi kazi kuimarisha mamlaka za ukanda maalumu za uwekezaji katika nchi hizo. Hatua hiyo imekuja baada ya ujumbe wa maofisa kutoka Serikali ya Afrika Kusini kutembelea Mamlaka ya Ukanda Maalum ya Uwekezaji (EPZA) jana jijini Dar es Salaam.
10 years ago
MichuziTANZANIA MWENYEJI WA MKUTANO WA MABENKI YA AKIBA DUNIANI (WSBI) KANDA YA AFRIKA
10 years ago
Dewji Blog18 Aug
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel akutana na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani
Miss Kanda ya Kati Dorice Mollel katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe Philip Marmo nje jengo la ubalozi wa Tanzania jijini Berlin alipotembelea ubalozi huu akiwa kwenye program ya mwezi mmoja, na wenzake 8 (hawapo pichani) kutoka Chuo cha kumbukumbu ya Mwl. Nyerere.
Baada ya kutembelea ofisi za ubalozi wa Tanzania jijini Berlin, Mhe. Marmo aliwaelezea historia ya ushirikiano baina ya Ujerumani na Tanzania ambapo nchi hiyo imekuwa miongoni mwa wadau wa maendeleo...
10 years ago
GPLMTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI