Tanzania mwenyeji wa Mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki
![](http://2.bp.blogspot.com/-nZpy5tnpsAo/U-nKy8Z3OII/AAAAAAAF-1M/Knd-IXP3yAc/s72-c/download.jpg)
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki (BOG) utakaofanyikia jijini Dar es salaam tarehe 22 mwezi huu. Kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa jijini Dar es salaam na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (pichani) na Rais wa Benki ya PTA kwa vyombo vya habari, mkutano huo utakuwa wa siku moja. Taarifa hiyo imeeleza kuwa lengo la mkutano huo ni kujadili masuala mbalimbali ya kibenki ikiwemo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog23 Aug
Pinda afungua mkutano wa magavana wa benki ya PTA
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mkutano wa Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Biashara, Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) kwenye kituo cha Mikutano cha Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaaam August 22, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi02 Mar
Bodi ya Ligi Tanzania yafanya mkutano wake mkuu wa mwaka
Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo, kulijadiliwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na utendaji wa bodi hiyo.
Alisema kuwa moja ya vitu vilivyojadiliwa ni vurugu za zinazotokea viwanjani, maoni ya klabu kuhusu viwanja...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kkW7-bwPS9Y/Uvufu4iE3MI/AAAAAAAFMm8/mj8MXHgOYYc/s72-c/z1.jpg)
ZANZIBAR MWENYEJI WA MKUTANO WA NNE WA BODI YA UFUNDI YA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-kkW7-bwPS9Y/Uvufu4iE3MI/AAAAAAAFMm8/mj8MXHgOYYc/s1600/z1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QMoKfzrLtO8/UvufvO-JFpI/AAAAAAAFMnE/BHEXkR_kiZA/s1600/z2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bsJrlApFkKQ/UvufvUYev2I/AAAAAAAFMnA/HYpxarKIhvc/s1600/z4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Aug
Magavana wa benki ya PTA kukutana Tanzania
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu) Stephen Wasira (katikati) alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jana mjini Dodoma juu ya mkutano wa 30 utakaofanyika nchini mwishoni wiki hii. Kushoto ni Rais wa Benki ya Maendeleo ya Kusini na Mashariki ya Afrika (PTA), Admassu Tadesse na kulia ni Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba.
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Bodi ya Magavana wa Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) itakuwa mkutano wa mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/6i_isjjBFrU/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s72-c/unnamed%2B(21).jpg)
Tanzania kuwa mwenyeji wa mkutano wa wafanyabiashara kutoka Tanzania na nchi za Ghuba (GCC)
![](http://4.bp.blogspot.com/-NmgEZEn2Vg4/VLbR4vlCcBI/AAAAAAAG9YU/LPyfNyX82Y0/s1600/unnamed%2B(21).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-h1NIMfmzeOk/VLbR4paojcI/AAAAAAAG9YM/AqEwoJPRqRc/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Tanzania mwenyeji wa mkutano wa kimataifa wa Wahasibu
![](http://2.bp.blogspot.com/-gTrIchdx1Bw/VNMxsCltzJI/AAAAAAAHB4k/XdMom3xAzys/s1600/unnamed%2B(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-vIEtc_I5T6s/VNMxyCedV7I/AAAAAAAHB4s/s__sQ7vncIo/s1600/unnamed%2B(35).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-r6IueCwZf3U/VNMx985YLwI/AAAAAAAHB40/E7n9mn1kRHk/s1600/unnamed%2B(37).jpg)
10 years ago
GPLTANZANIA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA ATAF
10 years ago
Dewji Blog10 Jul
Tanzania mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa Utumishi wa Jumuiya ya Madola
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete.
Na Pius Yalula-MAELEZO-Dar es salaam
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa mkutano wa 12 wa watumishi wa umma wa nchi za Afrika ambazo ni wanachama Jumuiya ya Madola utakaonza Jumatatu ijayo jijini Dar es salaam.
Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimimwa Dokta Jakaya Mrisho Kikwete na kufungwa na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mheshimiwa Dokta Ali...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10