Bodi ya Ligi Tanzania yafanya mkutano wake mkuu wa mwaka
MKUTANO Mkuu wa Mwaka wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), pamoja na klabu za Ligi Kuu na Ligi Daraja la Kwanza, uliofanyika Februali 28, mwaka huu, umejadili mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja msimu ujao wa Ligi Daraja la kwanza kupata udhamini.
Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo, kulijadiliwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na utendaji wa bodi hiyo.
Alisema kuwa moja ya vitu vilivyojadiliwa ni vurugu za zinazotokea viwanjani, maoni ya klabu kuhusu viwanja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9H65FIMd4Ao/VmmGlFR8oTI/AAAAAAAILeY/9HZZBSyQt6g/s72-c/1.jpg)
KAMISHENI YA WACHEZAJI TANZANIA (KAWATA)YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA KATIKA UKUMBI WA KITUO CHA UTENGAMANO WELEZO MJINI ZANZIBAR
Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) wamewataka Viongozi wa Mashirika ya Vyama vya Michezo Tanzania kusaidiana na wanamichezo mbalimbali ili kufikia hadhi ya kimataifa .
Hayo yameelezwa na na Katibu mtendaji wa TOC Jamal Nassor Adi huko Kituo cha Utengamano Welezo Zanzibar wakati alipokua akifungua Mkutano mkuu wa mwaka wa Kamisheni ya Wachezaji Tanzania . Amesema lengo kuu la mkutano huo ni kuhamasisha na kuamsha ari kwa Wachezaji ili kuweza...
10 years ago
MichuziAFYA SACOS YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA.
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya Swala Energy yafanya tafrija na wadau baada ya mkutano mkuu wa mwaka AGM
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Swala Energy Ltd, David Ridge akizungumza na Wadau wa Swala wakati wa tafrija mchapalo(cocktail) iliyofanyika jijini Dar Es Salaam mwishoni mwa wiki, Tafrija hiyo ilifanyika baada ya mkutano mkuu wa mwaka wa kampuni hiyo AGM.
Katibu wa kampuni ya Swala Energy Ltd, Yohana Mganga (katikati) akiongea na meneja uendeshaji wa Swala Frank Whitehead (kushoto) na Meneja miradi mipya Neil Taylor wakati wa tafrija mchapalo (cocktail).
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
9 years ago
Michuzi03 Jan
JUMUIYA YA KUKUSANYA ZAKA NA SADAKA ZANZIBAR (JUZASA) YAFANYA MKUTANO MKUU WAKE.
![UD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD1.jpg)
![UD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nZpy5tnpsAo/U-nKy8Z3OII/AAAAAAAF-1M/Knd-IXP3yAc/s72-c/download.jpg)
Tanzania mwenyeji wa Mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki
![](http://2.bp.blogspot.com/-nZpy5tnpsAo/U-nKy8Z3OII/AAAAAAAF-1M/Knd-IXP3yAc/s1600/download.jpg)
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Tanzania inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano wa 30 wa mwaka wa Bodi ya Magavana wa Benki (BOG) utakaofanyikia jijini Dar es salaam tarehe 22 mwezi huu. Kwa mujibu wa taarifa ya pamoja iliyotolewa jijini Dar es salaam na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile (pichani) na Rais wa Benki ya PTA kwa vyombo vya habari, mkutano huo utakuwa wa siku moja. Taarifa hiyo imeeleza kuwa lengo la mkutano huo ni kujadili masuala mbalimbali ya kibenki ikiwemo...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-reqLNMAe2ek/VGINwMa4acI/AAAAAAAGwk0/enT_-KZRQxM/s72-c/image.jpeg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA MAJAJI WA MAHAKAMA TANZANIA WAENDELEA KUFANYIKA JIJINI MWANZA
Mkutano huo ulifunguliwa na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe.Dr.Asha Rose Migiro kwa niaba ya Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Kauli Mbiu ya Mkutano wa Mwaka huu ni "KUJITATHMINI KAMA NJIA BORA YA KUIBORESHA MAHAKAMA".Pamoja na mambo mengine Mkutano wa Mwaka huu Wah. Majaji wamepata nafasi ya kujadili mambo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s72-c/nmb+2.jpg)
BENKI YA NMB YAFANYA MKUTANO ELEKEZI KWA WADAU WAKE JIJINI MWANZA
![](http://1.bp.blogspot.com/-xg6hK-Zr4Ac/Uxcex32nxGI/AAAAAAAFRNQ/FtqRHhIqWD0/s1600/nmb+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4xt32SZvy-0/Uxce0tyUEmI/AAAAAAAFRNY/ZtygEb0c7bY/s1600/nmb+7.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10