AFYA SACOS YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA.
Mwenyekiti wa Afya Sacos Othman Mussa Juma akitoa hutuba ya ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Ushirika huo uliofanyika Ukumbi wa Ecrotanal Mjini Zanzibar. Wajumbe wa Mkutano huo walizimia kuongeza Akiba ya shilingi elfu 30 kutoka elfu 10 kwa mwezi ili kuzidi kujikwamua na Umaskini.
Mgeni Rasmi wa Mkutano huo ambaye ni Mkurugenzi wa Bohari kuu ya Madawa Zanzibar Zahran Ali Hamad akifungua mkutano mkuu wa mwaka wa Ushirika wa Afya Sacos. Katika Mkutano huo aliwaomba kuzidisha mashirikiano miongoni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi02 Mar
Bodi ya Ligi Tanzania yafanya mkutano wake mkuu wa mwaka
Kaimu Mtendaji wa Bodi hiyo Fatma Shibo, alisema kuwa katika mkutano huo, kulijadiliwa mambo mengi ikiwa ni pamoja na utendaji wa bodi hiyo.
Alisema kuwa moja ya vitu vilivyojadiliwa ni vurugu za zinazotokea viwanjani, maoni ya klabu kuhusu viwanja...
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Kampuni ya Swala Energy yafanya tafrija na wadau baada ya mkutano mkuu wa mwaka AGM
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Swala Energy Ltd, David Ridge akizungumza na Wadau wa Swala wakati wa tafrija mchapalo(cocktail) iliyofanyika jijini Dar Es Salaam mwishoni mwa wiki, Tafrija hiyo ilifanyika baada ya mkutano mkuu wa mwaka wa kampuni hiyo AGM.
Katibu wa kampuni ya Swala Energy Ltd, Yohana Mganga (katikati) akiongea na meneja uendeshaji wa Swala Frank Whitehead (kushoto) na Meneja miradi mipya Neil Taylor wakati wa tafrija mchapalo (cocktail).
Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9H65FIMd4Ao/VmmGlFR8oTI/AAAAAAAILeY/9HZZBSyQt6g/s72-c/1.jpg)
KAMISHENI YA WACHEZAJI TANZANIA (KAWATA)YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA KATIKA UKUMBI WA KITUO CHA UTENGAMANO WELEZO MJINI ZANZIBAR
Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) wamewataka Viongozi wa Mashirika ya Vyama vya Michezo Tanzania kusaidiana na wanamichezo mbalimbali ili kufikia hadhi ya kimataifa .
Hayo yameelezwa na na Katibu mtendaji wa TOC Jamal Nassor Adi huko Kituo cha Utengamano Welezo Zanzibar wakati alipokua akifungua Mkutano mkuu wa mwaka wa Kamisheni ya Wachezaji Tanzania . Amesema lengo kuu la mkutano huo ni kuhamasisha na kuamsha ari kwa Wachezaji ili kuweza...
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAFANYA MKUTANO MKUU WA 19 WA WANAHISA WAKE JIJINI ARUSHA
10 years ago
MichuziADC YAFANYA MKUTANO WA HADHARA KUWATAMBULISHA WAGOMBEA WA URAIS KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
9 years ago
Michuzi03 Jan
JUMUIYA YA KUKUSANYA ZAKA NA SADAKA ZANZIBAR (JUZASA) YAFANYA MKUTANO MKUU WAKE.
![UD1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD1.jpg)
![UD2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/UD2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma azindua mkutano Mkuu wa 32 wa mwaka wa TPHA
Picha ya pamoja ya baadhi ya washiriki wa mkutano Mkuu wa 32, wa mwaka wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (TPHA) muda mfupi baaada ya kuzinduliwa rasmi na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi Chiku Gallawa (katikati) waliokaa mbele. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[DODOMA] Mkutano wa 32 wa Chama cha Afya ya Jamii Tanzania (Tanzania Public Health Association-TPHA) umezinduliwa rasmi leo Novemba 30.2015 mjini hapa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Chiku Gallawa...
11 years ago
MichuziWaziri wa Afya afungua Mkutano Mkuu wa 15 wa Prinmat 2014
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s72-c/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA JUMUIYA YA WAZANZIBARI SCANDINAVIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-fR3vK4S-maU/VUu5euE6pwI/AAAAAAABuH0/Mdd5HxJ7prE/s640/8%2BMwekiti%2Bwa%2BJumuia%2Bya%2BWaznzibari%2BScandinavia%2Bndugu%2BIdarus%2B%2BA%2BSharif%2Bakifunguwa%2Bmkutano%2Bwa%2Bmwaka%2B%2Bwa%2BJumuiya.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qu4VZ4R77fU/VUu5oIdWZhI/AAAAAAABuH8/19B8BKAqdio/s640/7%2BMjumbe%2Bmaalum%2Bndugu%2BMussa%2BBauchawa%2Bjumuiya%2BGoZanzibar%2B(%2B%2BGerman)%2Bakitoa%2Bmaeleze%2B%2Bkuhusu%2Butekelezaji%2Bwa%2Bmiradi%2Bna%2Bmikakati%2Bmbali%2Bya%2B%2Bjumuiya%2Bhiyo%2Bkwa%2Bzanzibar.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-niX8VtEXgKQ/VUu6g2HbtdI/AAAAAAABuJU/w3uuU4pccqU/s640/1%2BPicha%2Bya%2Bpamoja%2Bya%2Bwana%2BJumuiya%2BScandinavia%2Bna%2BUjumbe%2B%2Bkutoka%2BOfisi%2Bya%2BRais%2BIkulu%2BZanzibar%2Bna%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2B%2BSweden..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-RRYtqWGCeoA/VUu5qdqPJuI/AAAAAAABuIE/02cUl3rEPf8/s640/Bw.Jakob%2BMsekwa%2B%2BOfisa%2Bwa%2BUbalozi%2Bwa%2BTanzania%2BSweden.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10