Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TANZIA: Mzee Col. Ayubu Kimbau passing away - RIP

This Sunday morning Colonel Ayubu Shomari Mohamed Kimbau has passed away.  The Wake is being held at his home in the Victoria neighbourhood of Dar es Salaam.He had been a stalwart member of our Club for many years until his health deteriorated and kept him away.   His burial is planned for tomorrow evening on the island of Mafia.The late Col. Kimbau had for many years been the Member of Parliament for CCM in Mafia, up until 2000 when he stepped down to end a distinguished political career. ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

JK aomboleza kifo cha Kanali (mst) Ayubu Shomari Mohamed Kimbau

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuombeleza kifo cha mwanasiasa mkongwe na aliyekuwa mbunge wa muda mrefu wa Jimbo la Mafia, Mkoa wa Pwani, Kanali (mst) Ayubu Shomari  Mohamed Kimbau, ambaye aliaga dunia asubuhi ya leo,  Jumapili, Agosti 30, 2015 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Katika salamu za rambirambi alizomtumia Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Eng. Evarist Ndikilo, Rais...

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MUIGIZAJI MZEE MANENTO AMEFARIKI DUNIA

Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Bado tunafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha mzee wetu huyu. Baadhi ya filamu alizocheza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: MZEE SAMUEL LUANGISA AFARIKI DUNIA JIJINI NEW YORK

Mzee Samuel Luangisa enzi za uhai wake. Jumuiya ya Watanzania New York pamoja na Familia ya Luangisa tunasikitika kutangaza kifo cha Mzee wetu Mzee Luangisa kilichotokea jana Jumatatu Mei 25,2015 saa tano asubuhi. Msiba utakuwa nyumbani kwa Bwana Peter Luangisa,374 Hawthorne Terrace, Mount Vernon. NY,10552. Uongozi wa Jumuiya New York unatoa pole kwa wafiwa na Kama ilivyo Desturi yetu wanajumuiya tuungane na wafiwa...

 

9 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE SIMON MEMBE AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA

Familia ya Membe inasikitika kutangaza kifo cha Mzee Simon Membe (pichani) wa Rondo, Mkoani Lindi, ambaye amefariki dunia jana tarehe 3 Oktoba 2015 huko Mumbai, India alipokwenda kwa ajili ya matibabu.

Mipango ya mazishi inafanywa Dar es Salaam  nyumbani kwa kaka wa Marehemu Mhe Bernard Membe (Mb) Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.

Mwili wa marehemu unatarajiwa kuwasili nchini siku ya Jumatatu mchana tarehe 5 Oktoba 2015 saa 9 alasiri.

Ibada na heshima za mwisho ‎kwa Dar es...

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: Mzee Edward Mfinanga wa Mworombo Arusha afariki dunia

Ndugu Christopher Edward Mfinanga wa Ofisi ya Waziri Mkuu anasikitika kutangaza kifo Cha Baba yao Mpendwa Mzee Edward Mfinanga kilicho tokea leo tarehe 19/5/2020 mkoani Arusha.
Mipango ya Mazishi inafanyika kwa Mworombo, Arusha. Habari ziwafikie ndugu,  jamaa, majirani  na Marafiki popote pale walipo.


BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA.
JINA LAKE NA LIHIMIDIWEAMINA

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA:MUIGIZAJI WA FILAMU NCHINI MZEE MANENTO AFARIKI DUNIA.

Taarifa zilizotufikia katika chumba cha habari ya Globu ya Jamii zinaeleza kuwa Msanii wa filamu, Mzee Manento amefariki dunia hapo jana. Globu ya Jamii bado inafuatilia kwa karibu kujua chanzo cha kifo cha Muigizaji huyu mahiri wa filamu hapa nchini.Baadhi ya filamu alizowahi kuigiza Mzee Mnento ni Hero of the church, Dar to Lagos, Fake pastor n.k Mungu ailaze Roho ya maerehemu mahali pema peponi amina.

 

5 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE IDDI SIMBA AFARIKI DUNIA JIJINI DAR ES SALAAM


Waziri wa zamani wa Viwanda na Biashara katika serikali ya Awamu ya Tatu Mzee Iddi Simba amefariki dunia leo asubuhi katika Tasaisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete jijini Dar es salaam alikokuwa akipatiwa matibabu, binti yake Sauda Simba amethibitisha.
Habari zaidi pamoja na mipango ya mazishi tutajulishana baada ya muda si mrefu

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: MZEE JOACHIM AUGUSTINO NGONYANI AFARIKI DUNIA DAR ES SALAAM

Ndugu Augustino Ngonyani, anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Joachim A. Ngonyani kilichotokea alfajiri ya tarehe 6.8.2015, Dar Es Salaam. Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake Sinza Makaburini. Mwili wa marehemu utaagwa tarehe 8.8.2015 Jumamosi saa 3 asubuhi katika kanisa la Mt.. Petro Oysterbay na baada ya hapo kusafirishwa siku hiyo hiyo kwenda Songea kwa Mazishi. Mazishi ya Mzee Ngonyani yanatarajia kufanyika siku ya Jumatatu 10.08.2015, Kijijini Kwake Parangu,...

 

10 years ago

Michuzi

TANZIA: GAZETI LA JAMBO LEO LAMPOTEZA MENEJA WAO MZEE RAMADHANI KIBANIKE


Marehemu  Ramadhani Kibanike enzi za uhai wake.Na Dotto Mwaibale


KAMPUNI ya JL Comunications inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti, imepata pigo baada ya aliyekuwa Meneja wake Mkuu Ramadhani Kibanike kufariki.


Kibanike amefariki dunia leo mchana nyumbani kwake Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam, baada ya kuugua kwa muda mrefu.


Akitoa taarifa ya kifo hicho kwa wafanyakazi wa Kampuni hiyo, Mkurugenzi wa Kampuni hiyo Theophil Makunga alisema Kibanike alikumbwa na mauti leo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani