Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tarime MP mourns Mara RC, to take part in burial preps


Tarime MP mourns Mara RC, to take part in burial preps
Daily News
TARIME legislator Nyangwine Nyambari has expressed deep sorrow and sent condolences to the family and relatives of the late Mara Regional Commissioner, John Tuppa, who died suddenly on Tuesday while on official duty in Tarime District. The legislator ...

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAGUFULI ATIKISA NYAMONGO NA TARIME, MKOANI MARA

  Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM Dkt. Jonh Pombe Magaufuli akinani sera zake Nyamongo mkoani Mara.…

 

10 years ago

Habarileo

Wenyeviti Tarime wakwama kuapishwa kwa mara ya pili

WENYEVITI wapya wa mitaa na wajumbe zaidi ya 500 katika Halmashauri ya mji wa Tarime mkoani Mara, wameshindwa kuapishwa kwa mara ya pili.

 

9 years ago

Michuzi

MKAZI WA TARIME MKOANI MARA ASHINDA SHILINGI MILIONI 20 BAADA YA KUCHEZA BAHATI NASIBU YA BENKI YA I & M LTD

 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya  I&M, Baseev Mohamed (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh.milioni 20, Mkuu wa Idara ya Biashara wa benki hiyo, Svikanth T,  kwa niaba ya mteja wa benki hiyo, Jumanne Francis Mchenje wa Tarime mkoani Mara anayeishi jijini Mwanza aliyejinyakulia kitita hicho cha fedha baada ya kushinda bahati nasibu ya kwanza inayoendeshwa na benki hiyo kwa ajili ya kuongeza wateja wapya iliyofanyika Dar es Salaam jana. Katikati ni Meneja Masoko, Ruheen...

 

11 years ago

Michuzi

BREKING NYUZZZZZ: MKUU WA MKOA WA MARA MHE JOHN TUPA AFARIKI DUNIA WILAYANI TARIME LEo

Mkuu wa mkoa wa Mara, Bwana John Tupa ( pichani, enzi za uhai wake) amefariki dunia akiwa katika ziara ya kikazi wilayani Tarime mkoani Mara asubuhi hii.  Habari zilizothibitishwa zinasema Marehemu Tupa alianguka na kupoteza fahamu akiwa katika ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Tarime akipokea taarifa kabla ya kufunga mafunzo ya mgambo wilayani humo. Mara baada ya kuanguka juhudi za haraka zilifanyika na kumkimbiza hospitali ya Wilaya ya Tarime ambako alitangazwa kuwa ameshafariki mara...

 

10 years ago

GPL

PART III YA ADEBAYOR: KAKA ZANGU WALINIWEKEA KISU SHINGONI KISA FEDHA NA NIMEJARIBU MARA KADHAA KUTAKA KUJIUA

Emmanuel Adebayor katika pozi na kaka yake. Picha hii ameiweka leo Facebook. STRAIKA wa Tottenham Hotspur, Emmanuel Adebayor leo ametoa sehemu ya tatu ya historia yake ambapo ameeleza mambo mengi mazito aliyoyapitia maishani mwake. Emmanuel Adebayor akiwaTottenham Hotspur. Staa huyo mwenye miaka 31 raia wa Togo ameweka wazi kuwa mara kaka zake wawili Kola na Peter waliwahi kumwekea kisu shingoni wakitaka awapatie fedha.
...

 

9 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS AADHIMISHA KILELE CHA SIKU YA MARA (MARA DAY) BUTIAMA MKOANI MARA

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwasha Mshumaa katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kama ishara ya Kumbukumbu wakati alipofika katika Jumba la makumbusho Butiama mkoani Mara leo Sept 15, 2015 baadda ya kuadhimisha Kilele cha Siku ya Mara (Mara Day) iliyofanyika Butiama.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiweka Shada la Maua katika Kaburi ya Hayati Baba wa Taifa...

 

5 years ago

Gizmodo

Lucy's Brain Was Part Ape, Part Human

Lucy's Brain Was Part Ape, Part Human  Gizmodo'Lucy's baby' suggests famed human ancestor had a primitive brain  Science MagazineLucy had an ape-like brain  HeritageDailyEvolutionary Secrets of Fossil Brains Revealed: “Lucy” Had Ape-Like Brain, but Longer Childhood Like Humans  SciTechDailyAustralopithecus afarensis endocasts suggest ape-like brain organization and prolonged brain growth  Science AdvancesView Full coverage on Google...

 

10 years ago

GPL

PART II YA SAKATA LA ADEBAYOR NA FAMILIA YAKE; AMCHANA MDOGO WAKE AITWAYE ROTIMI, KUTOKA PART III HIVI KARIBUNI

Emmanuel Adebayor akiwa na mdogo wake Rotimi Adebayor. KAMA alivyoahidi, staa wa Klabu ya Tottenham ya England ambaye ni raia wa Togo, Emmanuel Adebayor jana ameachia sehemu ya pili inayohusu sakata lake na familia yake. Katika sehemu hii, Adebayor amemuelezea kaka yake aitwaye Rotimi. Na hivi ndivyo alivyomwaga ubuyu kupitia ukurasa wake wa Facebook ambapo ameahidi pia kutoa sehemu nyingine ya tatu hivi karibuni: Hii ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani