Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASKRABBIT YAKIRI KUDUKULIWA



KWA UFUPI: TaskRabbit imekua muhanga wa uhalifu mtandao – IKEA, Imethibitisha. Hii ni katika muendelezo wa Programu tumishi (Applications) na huduma zingine za kimtandao kuingiliwa na wahalifu mtandao ambapo taarifa za watu zimejikuta katika mikono isiyo salama.---------------------------------

TaskRabbit iliyo anzishwa mwaka 2008 na Bi. Leah Busque iliyokua na madhumuni ya kutoa ajira zisizo rasmi kwa watu ambapo ilinunuliwa na IKEA mwaka 2017. Imekua ikitoa huduma zake kwa kujitegemea ndani...





Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Simu bilioni moja za Android zimo hatarini kudukuliwa.

Zaidi ya vifaa bilioni moja vya Androiod vimo katika hatari ya kudukuliwa kwasababu havilindwi na app za usalama au waangalizi wa usalama wake ambao wamesema hayo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yakiri uhaba wa mitamba

SERIKALI imesema kuna uhaba wa upatikanaji wa mitamba nchini. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Kaika Telele, alipojibu swali la Mbunge wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Samsaung yakiri Tv zake zimedukua

Samsung imekiri kuwa runinga zao zimekosea kwa kutuma sauti za wateja wake bila ya kuzibana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

RT yakiri kuchemsha riadha taifa

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Suleiman Nyambui, amekiri mbio za taifa kufanyika chini ya kiwango kutokana na kukosa maandalizi mazuri, hivyo kuwepo kwa dosari kiasi cha kushusha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yakiri kuua raia

Marekani imekiri, kwa mara ya kwanza kuhusika na mapigano ya anga dhidi ya kikosi cha kiislamu yaliyopelekea baadhi ya raia kuuawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Facebook yakiri kosa la 'udukuzi'

Facebook imekiri kuwa ilikosa kwa kuchunguzxa taarifa za watumiaji wa mtandao huo bila idhini yao

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yakiri kutekeleza shambulizi Texas

Kundi la Islamic State limekiri kutekeleza shambulizi katika shindano la vibonzo vya kumkejeli mtume Mohammed katika jimbo la Texas

 

10 years ago

BBCSwahili

Nepal yakiri kulemewa na janga

Serikali ya Nepal inasema kuwa imelemewa na kiwango cha janga lililosababishwa na tetemeko la ardhi siku ya Jumamosi.

 

10 years ago

BBCSwahili

IS yakiri kushambulia misikiti Yemen

Kundi la Islamic State linasema kuwa wapiganaji wake waliendesha mashambulizi ya kujitoa mhanga kwenye misikiti nchini Yemen.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani