Tatizo ni Kikwete au CCM?
NILIWAHI kuhoji katika moja ya andiko langu miezi kadhaa iliyopita nikitaka kujua dhamira ya Rais Jakaya Kikwete iko wapi katika mchakato huu wa Katiba mpya. Nilisema kuwa Rais Kikwete ni...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*qlVZiDayE6lY4xUsmqS4YkFZgXqpTg1BGYxKAFKejVpX2zPJ5S0YDZAeXN0TsmjWiH5jtu*G7vjaDAr-sLWqWC/kinana.jpg?width=650)
SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM
11 years ago
Habarileo24 Mar
Kikwete: Tatizo la maji Handeni litakwisha
RAIS Jakaya Kikwete amesema licha ya kwamba amebakiza mwaka na miezi minane kabla ya kuondoka madarakani, atahakikisha tatizo la maji wilayani Handeni linapatiwa ufumbuzi wa kudumu.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Uzalishaji wa mbegu bora tatizo - Rais Kikwete
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Tatizo letu ni kubwa zaidi ya CCM
MTU aliye makini ataweza kutambua haraka kwamba tatizo letu ni kubwa zaidi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM). Nami pia ninashawishika kufikiri kwamba tatizo si CCM, bali ni la Watanzania wote....
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Kwa CCM tatizo si CHADEMA ni Mbowe
NDUGU wasomaji, ninapenda sana kuwapa pole kwa kifo cha shujaa wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi Nelson Ndlahla Mandela. Kila gazeti, runinga na redio zimeelezea wasifu wake kiasi cha...
10 years ago
Dewji Blog09 Jan
Ridhiwani kikwete aahidi kutatua tatizo la umeme, maji Kiwangwa,Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete (kulia), akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa ujenzi kutoka Kambi ya Mzinga ya JWTZ, Aloyce Mayunga (kushoto) alipokwenda kukagua ujenzi wa maabara ya Shule ya Sekondari ya Kiwangwa wakati wa ziara ya kikazi ya katika Kata ya Kiwangwa, wilayani Chalinze, Pwani jana Aliwataka wajenzi hao kujenga maabara hayo kwa kuzingatia viwango. Katikati ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Bagamoyo, Saleh Mpimbwi.
Ridhiwani Kikwete...
10 years ago
MichuziWatanzania wengi hawana uelewa kuhusu tatizo la usonji - Mama Salma Kikwete
Watanzania wengi hawana uelewa wa tatizo la usonji (Autism) kwa watoto hivyo basi uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika ili watu watambue tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma kikwete wakati akiongea na Prof. Andy Shih ambaye ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa Mambo ya kisayansi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Autism Speaks katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) zilizopo jijini Dar es...
10 years ago
GPLDKT NCHIMBI ASEMA CCM HAINA TATIZO LA KIMUUNDO WALA MFUMO
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZSu4J_XV1L4/default.jpg)