TBL YAFADHILI UCHIMBAJI VISIMA BAGAMOYO
Mhandisi wa Kampuni ya Al Water Well Drillers, Mohamed Aboud (katikati), akielekeza jambo kwa mmoja ya wafanyakazi wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi ya miradi ya uchimbaji wa visima vya maji unaofafadhiliwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), katika vijiji vya Nianjema C na Mianzini B, wilayani Bagamoyo, Pwani mwishoni mwa wiki. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa TBL, Dorris Malulu.
Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorris Malulu (kulia) akielekeza jambo kwa fundi alipokuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-k-vBhZuckKE/VfWEVkWwn5I/AAAAAAAB9Fw/3j80q7gGbi8/s72-c/545.jpg)
Balozi Seif azindua mradi wa uchimbaji wa visima Chumbuni
![](http://2.bp.blogspot.com/-k-vBhZuckKE/VfWEVkWwn5I/AAAAAAAB9Fw/3j80q7gGbi8/s640/545.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QO-a0j8wd50/VfWEVo0I0jI/AAAAAAAB9F4/Y6XBcN3jQ64/s640/550.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aULyjR6BklY/VfWEVposwJI/AAAAAAAB9F0/joqgQgiFtUg/s640/553.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
TBL yakabidhi visima 20 Misungwi
WAKAZI wilayani Misungwi, Mwanza wameondokana na kero ya maji baada ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kukarabati visima 20. Visima hivyo vilizinduliwa mwishoni mwa wiki na Waziri wa Maji, Profesa...
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
![](http://3.bp.blogspot.com/-sGDd74hOiZI/VCKCLkkJ18I/AAAAAAAAAFo/CtwEZNVhxy0/s1600/TBL%2B5.jpg)
10 years ago
GPLTBL YATOA MSAADA WA VISIMA VYA MAJI ZANZIBAR NA MBAGALA
10 years ago
Dewji Blog12 Apr
TBL yatoa msaada wa sh. mil 69 za ujenzi wa visima vya maji Vituka, Mwembeladu wilayani Temeke
Ofisa Uhusiano Mwandamizi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Doris Malulu (kulia), akikabidhi mfano wa hundi ya sh Milioni 69 kwa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Vituka, Bi. Amina Rashid Simba kwa ajili ya kuchimba visima vya maji katika maeneo ya Vituka na Mwembeladu, Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam jana. Wengine katika picha ni Katibu wa Diwani Bw. Ismail Ng’ombo (wa pili kulia), Bw. Kassimu Makoa na Bi. Zubeda Ali Ligubike aliyetoa eneo la mradi huo. (Na Mpigapicha Wetu)
10 years ago
MichuziTBL YATOA MSAADA WA SH. MIL 45 ZA UCHIMBAJI KISIMA CHA MAJI ZAHANATI YA MJI MWEMA KIGAMBONI
11 years ago
MichuziTPDC YAENDESHA SEMINA KWA WANAHABARI KUHUSU UCHIMBAJI WA GESI NA MAFUTA KATIKA HOTELI YA OCEANIC BAY $ RESORT, BAGAMOYO LEO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AxjLN2ok5Ys/Vj718tQ2j2I/AAAAAAAIE2o/_Kw0TZesyPo/s72-c/unnamed%2B%252860%2529.jpg)
SBL yafadhili wanafunzi UDSM