Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TBS yaonya wanaoghushi nembo yake

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limeonya wanaoendelea kutumia nembo yake ya ubora kwa njia ya udanganyifu na kusema kufanya hivyo ni kuwaumiza watumiaji na kuvunja sheria ya viwango.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

‘Wajasiriamali tumieni nembo ya TBS’

WAJASIRIAMALI nchini wameshauriwa kutumia nembo ya ubora TBS ili kuhakikisha ubora wa mlaji na mtumiaji wa bidhaa hizo. Ushauri huo umetolewa na Ofisa Udhibiti Ubora TBS, Prisca Kisella, wakati akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Nembo ya TBS inawanyanyua wajasiriamali wadogo nchini?

Hamasa imekuwa ikitolewa kwa walaji kutumia bidhaa ambazo zina nembo ya ubora ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS) ili kuepuka kutumia vitu vya kughushi, kama vinavyojulikana kwa wengi; feki.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yaonya watanzania kwa vifaa vya upimaji

SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) limetaka watanzania wanaotumia vifaa mbalimbali vya upimaji, kutoridhishwa na upya wake, bali wawasiliane nalo livihakiki usahihi wake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanzania kupata nembo yake ya biashara 

MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara nchini (Tan Trade), ipo katika mchakato wa kuandaa nembo ya kibiashara itakayoitambulisha na kuitangaza Tanzania katika suala zima la uwekezaji wa ndani na nje ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Google yabadili mwonekano wa Nembo yake

Google imebadili nembo yake mpya kwa ajili ya watumiaji wake

 

10 years ago

GPL

TBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM

Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile. Wanahabari wakichukua… ...

 

10 years ago

Michuzi

TBS YAELEZA MAJUKUMU YAKE KWA WAANDISHI WA HABARI DAR ES SALAAM LEO

 Kaimu Mkurugenzi wa Udhibiti Ubora wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Mary Meela (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu majukumu ya shirika hilo jinsi yanavyotekelezwa na kurugenzi ya udhibiti ubora. Kulia ni Ofisa Habari wa Idara Habari Maelezo, Frank Mvungi na Ofisa Uhusiano wa TBS, Roida Andusamile.Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Amref yabadili jina, nembo

SHIRIKA la kimataifa lisilokuwa la kiserikali la Afrika Medical and Research Foundation (Amref) limezindua rasmi jina na nembo yake mpya ambapo sasa litajulikana kama Amref Health Africa Tanzania. Uzinduzi huo...

 

10 years ago

Dewji Blog

ALAF wazindua nembo mpya

ALAF-11

ALAF-12

ALAF-16

ALAF-20

ALAF-22

ALAF CEO Speech Swa FINAL (3).doc

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani