Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TCCIA inavyorahisisha biashara nchini ili kukuza mauzo ya nje

Uchumi wa Tanzania unahitaji kuongeza mauzo ya nje ili ukue zaidi katika kipindi hiki ambapo shilingi ya kitanzania imekuwa ikiporomoka dhidi ya dola ya Marekani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BARAZA LA BIASHARA MKOA WA DODOMA LASISITIZA USHIRIKIANO BAINA YA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI ILI KUONGEZA FURSA ZA UWEKEZAJI NA KUKUZA UCHUMI WA DODOMA

Mkuu wa Mkoa Dodoma na Mwenyekiti wa Baraza la Biashara Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akitoa hotuba ya kufungua mkutano wa baraza hilo Mjini Dodoma Feb. 13,2015. Katibu Mtendaji wa Baraza la Biashara la Taifa (TNBC) Ndg. Raymond Mbilinyi akiwasilisha majukumu ya Baraza hilo katika kusaidia mabaraza ya biasara ya Mkoa na jinsi ya kukuza ushirikiano kati ya Serikali na Sekta binafsi wakati wa mkutao wa baraza la biashara la Dodoma Feb. 13, 2015. Wajumbe wa baraza la biashara Mkoa wa Dodoma...

 

10 years ago

Michuzi

Kongamano la kuhamasisha ushiriki wa Diaspora katika kukuza biashara ndogo na za kati kufanyika nchini

Kaimu Mkurugenzi Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bi. Rosemary Jairo akiongea na waandishi wa Habari kuhusu Maandalizi ya Kongamano la Diaspora (Tanzania and SMEs Partnership Conference 2015) litakalofanyika kuanzia tarehe 13-15 Agosti 2015 Jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO), Leo Jijini Dar es Salaam. Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Idara ya Diaspora kutoka Wizara ya...

 

10 years ago

Mwananchi

TCCIA: Shirikini maonyesho ya biashara

Wafanyabiashara wametakiwa kushiriki maonyesho ya kimataifa ya biashara yanayotarajiwa kufanyika mkoani hapa kati ya Oktoba 23 na 29, mwaka huu.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA EXIM YASAINI MAKUBALIANO NA TAASISI YA FEDHA YA UJERUMANI ILI KUINUA BIASHARA NCHINI.

BENKI ya Exim Tanzania imesaini makubalino ya mkopo wenye thamani ya dola za kimarekani milioni 20 (takribani 42bn/-) na kampuni binafsi ya ukopeshaji ya nchini Ujerumani, Deutsche Investitions und Entwicklungsgesellschaft  MBH (DEG), lengo likiwa ni kusaidia kuinua sekta ya biashara ndogo hapa nchini(SMEs).
Kwa mujibu wa Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya hiyo, Bw. Selemani Ponda  fedha hizo zilizo katika mfumo wa  mkopo mkubwa, zitatolewa kwa awamu mbili kwa kuzingatia maendeleo ya ukuaji...

 

10 years ago

Bongo5

Baba yake Beyonce adai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi ya ziara yao

Baba yake na Beyoncé anadai kuwa mwanae na Jay Z walisambaza kwa makusudi tetesi za talaka kukuza mauzo ya tiketi za ziara yao ya ‘On The Run’. Jay Z akimbusu mkewe Beyonce kwenye MTV VMA wakiwa na mtoto wao Blue Ivy Mathew Knowles alitoa kauli hiyo ya kushtusha alipokuwa akihojiwa katika The Roula And Ryan […]

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo linaloweza kutatuliwa na mauzo ya nje

Thamani ya Shilingi ya Tanzania imekuwa ikishuka dhidi ya Dola ya Marekani lakini wataalamu wanaona tatizo hili linaweza kupunguzwa kwa kiasi kikubwa na mauzo ya nje ya nchi iwapo yataimarishwa kiasi cha kuzidi yale ya bidhaa kutoka nje ya nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Lango la biashara Falme za Kiarabu, ni fursa ya Watanzania kukuza uchumi

Ukuzaji fursa za Kiuchumi Afrika (Agoa), ni mpango ulioanzishwa kwa minajili ya kuziwezesha nchi za Afrika kuuza bidhaa zao Marekani.

 

9 years ago

Michuzi

Dkt. Mpango awaasa Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango kufanya kazi kwa bidii ili kukuza uchumi wa nchi.

Watumishi Wizara ya Fedha na Mipango wameaswa kufanya kazi kwa weledi na kuwekeza nguvu zaidi katika ukusanyaji mapato ili kukuza uchumi wa nchi na kuifanya nchi iwe kitovu cha uchumi Barani Afrika. Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Philip Mpango alipokuwa akiongea na watendaji wa Wizara hiyo alipowasili Wizarani hapo mara baada ya kuapishwa jana Ikulu jijini Dar es salaam.  Katika mazungumzo yake na watendaji hao, Mhe. Dkt. Mpango, aliuagiza uongozi wa Wizara yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani