TCRA yapokea tathmini uhamaji analojia
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imepokea matokeo ya tathmini ya uhamaji kutoka mfumo wa utangazaji wa analojia kwenda dijitali kwa awamu ya kwanza. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi19 Feb
11 years ago
MichuziJANUARI MAKAMBA AFUNGA KONGOMANO LA MFUMO WA UHAMAJI KUTOKA ANALOJIA KWENDA DIJITALI KWA AFRIKA (DBSF) 2014
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
TCRA kuzima analojia Tabora
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo inatarajia kuzima mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa. Akizungumza kwenye warsha iliyohusisha wadau katika Hoteli ya...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
TCRA kuzima analojia Singida, Tabora
MENEJA wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Kanda ya Kati Dodoma, Maria Sasabo, amesema kuanzia Machi mwaka huu watazima mitambo ya mawasiliano ya analojia katika mikoa ya Singida na Tabora....
10 years ago
GPLTCRA YAZUNGUMZIA MABADILIKO KUTOKA ANALOJIA KWENDA DIJITALI
9 years ago
Press04 Dec
Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kwa niaba ya Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana Utamaduni na Michezo jana. Tanzania imepata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano huo baada ya kuonekana kufanya vizuri katika uhamaji wa matumizi ya mfumo wa analogia kwenda digitali kwa wakati.
Mkurugenzi wa Idara...
11 years ago
Mwananchi01 Feb
‘Haturudi kwenye analojia’
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Wadau wa mawasiliano wajadili uzimaji analojia
WATAALAMU, wadau wa mawasiliano na maofisa kutoka nchi 25 wanachama wa Jumuia ya Madola wanakutana jijini hapa kwa siku nne kuanzia jana kujadili harakati za uzimaji wa mitambo ya analojia...