Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania

Tanzania imeingia awamu ya 2 ya mpango wake wa kuhama kutoka mfumo wa analojia kwenda dijitali, kwa kuzima mitambo ya analojia katika baadhi ya miji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Jopo lataka mitambo ya analojia iendelee kuzimwa

Profesa Nerey MvungiSERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.

 

11 years ago

Habarileo

Jopo laagiza mitambo ya analojia iendelee kuzimwa

SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

TAARIFA KWA UMMA RATIBA YA UZIMAJI  WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mitambo ya umeme kufungwa Tanzania

Gazeti la the Citizen nchini Tanzania limeripoti kwamba mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia maji itafungwa kutokana na viwango vya chini vya maji.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yazimwa,Israel

Polisi nchini Israel wakiwa juu ya Farasi wamekabiliana na waandamanaji kutoka makundi ya Wayahudi wenye asili ya Ethiopia.

 

11 years ago

Habarileo

UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu

Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Julius NinguTANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.

 

11 years ago

GPL

Simba ndiyo basi tena.. yazimwa Taifa

Kikosi cha  timu ya Somba SC kilichocheza dhidi ya Coastal Union. Na Hans Mloli
MATARAJIO ya Simba kupata angalau nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya kimataifa mwakani yamezidi kupotea baada ya jana kukubali kichapo cha bao 1-0 kutoka kwa Coastal Union ya Tanga, katika mechi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.…

 

5 years ago

CCM Blog

MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA UCHAGUZI MKUU BURUNDI

Wagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaImage captionWagombea saba hii leo wanawania kumrithi Pierre NkurunzizaMitandao ya kijamii imezimwa huku wananchi wakiendelea kupiga kura nchini Burundi katika uchaguzi mkuu hii leo.BBC imethibitisha kuwa mitandao ya Twitter, Whatsapp na Facebook kuwa haipatikani nchini humo.Serikali ya Burundi hata hivyo haijalizungumzia suala hilo.Vituo vya kupigia kura vimefunguliwa toka saa 12 asubuhi na vitafungwa saa 10 alasiri.Wagombea saba wanawania hii leo kumrithi Pierre Nkurunziza, hata hivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani