Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania
Tanzania imeingia awamu ya 2 ya mpango wake wa kuhama kutoka mfumo wa analojia kwenda dijitali, kwa kuzima mitambo ya analojia katika baadhi ya miji
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Jopo lataka mitambo ya analojia iendelee kuzimwa
SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Jopo laagiza mitambo ya analojia iendelee kuzimwa
SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.
11 years ago
Michuzi
TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI

TAARIFA KWA UMMA RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye...
10 years ago
BBCSwahili09 Oct
Mitambo ya umeme kufungwa Tanzania
10 years ago
BBCSwahili04 May
Maandamano yazimwa,Israel
11 years ago
Habarileo05 Jul
UNEP yaikabidhi Tanzania mitambo ya kuhudumia majokofu
TANZANIA imepokea msaada wa mitambo na vifaa vyenye teknolojia ya kisasa ya kuhudumia majokofu, viyoyozi na mitambo ya kupozea.
11 years ago
GPL
Simba ndiyo basi tena.. yazimwa Taifa
5 years ago
CCM Blog20 May
MITANDAO YA KIJAMII YAZIMWA UCHAGUZI MKUU BURUNDI
