Jopo lataka mitambo ya analojia iendelee kuzimwa
SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Feb
Jopo laagiza mitambo ya analojia iendelee kuzimwa
SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-QRoZjGRmwLM/UwyI7rCJAuI/AAAAAAAFPc0/TiVGMypWkfQ/s72-c/New+Picture+%25281%2529.png)
TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-QRoZjGRmwLM/UwyI7rCJAuI/AAAAAAAFPc0/TiVGMypWkfQ/s1600/New+Picture+%25281%2529.png)
TAARIFA KWA UMMA RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye...
9 years ago
Mtanzania10 Oct
Kidatu nayo kuzimwa
Na Mwandishi Wetu, Kidatu
SIKU moja baada ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kusimamisha uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Mtera, kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu kilichopo mkoani Morogoro kinategemewa kuzimwa wakati wowote baada ya kupungua kwa kina cha maji.
Bwawa la Kidatu linazalisha megawati 204 lakini hivi sasa baada ya kina cha maji kupungua linazalisha megawati 27.
Taarifa ya kuzimwa kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya Kidatu ilitolewa jana na Meneja wa kituo hicho, Mhandisi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s72-c/Untitled.png)
DAWASCO YATOA TAARIFA YA KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-Li9saok6FYI/VOSNZJ89uJI/AAAAAAAHEYI/Va4rB-DLqos/s1600/Untitled.png)
MTAMBO YA RUVU JUU UTAZIMWA ILI KUMRUHUSU MKANDARASI KUFANYA SHUGHULI ZA UPANUZI WA MTAMBO.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU KUTASABABISHA MAENEO YAFUATAYO KUKOSA MAJI;
MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, KILUVYA, KONGOWE, MISUGUSUGU,...
5 years ago
BBCSwahili01 Mar
Kuzimwa kwa inatneti: Nini kitatokea iwapo mtandao utazimwa?
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
JOHARI: Wacha Movie Iendelee
MAPENZINI: Swala la mapenzi ni jambo binafsi, lakini linapokuja kwa watu mastaa huwa lazima lilete stori.Leo nimetua kwa mwigizaji nguli na mahili wa filamu hapa Bongo, Blandina Chagula “JOHARI”.
Ni muda mrefu sasa tangu aachane na aliekuwa mpenzi wake wa siri Vicent Kigosi “Ray” ambae pia ni mwigizaji na muongozaji wa filamu, mwana dada Johari kwa mara ya pili sasa ametokelezea akiwa na jamaa mwingine ambae amezua maswali mengi bila majibu kutoka kwa Johari mwenye.
KIVIPI?
Takribani...
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee