Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jopo lataka mitambo ya analojia iendelee kuzimwa

Profesa Nerey MvungiSERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Jopo laagiza mitambo ya analojia iendelee kuzimwa

SERIKALi imetakiwa kuendelea na awamu ya pili ya kuzima mitambo ya analojia na kwenda dijitali, baada ya kuwapo kwa mafanikio katika awamu ya kwanza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania

Tanzania imeingia awamu ya 2 ya mpango wake wa kuhama kutoka mfumo wa analojia kwenda dijitali, kwa kuzima mitambo ya analojia katika baadhi ya miji

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA KWA UMMA: RATIBA YA UZIMAJI WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAWASILIANO, SAYANSI NA TEKNOLOJIA

TAARIFA KWA UMMA RATIBA YA UZIMAJI  WA MITAMBO YA UTANGAZAJI YA ANALOJIA AWAMU YA PILI
Ndugu wananchi, napenda kuchukua nafasi hii kuwataarifu kuwa Awamu ya Pili ya Uzimaji wa Mitambo ya Utangazaji ya Analojia itaanza rasmi mwezi Machi mwaka huu. Awamu hii ya Uzimaji inaanza baada ya Serikali kujiridhisha na matokeo ya tathmini ya uzimaji wa mitambo ya utangazaji ya analojia awamu ya kwanza kwenye...

 

9 years ago

Mtanzania

Kidatu nayo kuzimwa

Tanesco-27April2015Na Mwandishi Wetu, Kidatu

SIKU moja baada ya Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kusimamisha uzalishaji wa umeme katika Bwawa la Mtera, kituo cha kuzalisha umeme cha Kidatu kilichopo mkoani Morogoro  kinategemewa kuzimwa wakati wowote baada ya kupungua kwa kina cha maji.

Bwawa la Kidatu linazalisha megawati 204 lakini hivi sasa baada ya kina cha maji kupungua linazalisha megawati 27.

Taarifa ya kuzimwa kwa mitambo ya kuzalisha umeme ya Kidatu ilitolewa jana na Meneja wa kituo hicho, Mhandisi...

 

10 years ago

Michuzi

DAWASCO YATOA TAARIFA YA KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU

SHIRIKA LA MAJISAFI NA MAJITAKA DAR ES SALAAM (DAWASCO) INAWATANGAZIA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM NA KIBAHA MKOANI PWANI KUWA MTAMBO WA KUZALISHA MAJI WA RUVU JUU UTAZIMWA KWA WASTANI WA SAA 12 KUANZIA SAA 12:00 ASUBUHI HADI SAA 12:00 JIONI KWA SIKU YA IJUMAA 20/02/2015.
MTAMBO YA RUVU JUU UTAZIMWA ILI KUMRUHUSU MKANDARASI KUFANYA SHUGHULI ZA UPANUZI WA MTAMBO.
KUZIMWA KWA MTAMBO WA RUVU JUU KUTASABABISHA MAENEO YAFUATAYO KUKOSA MAJI;
MLANDIZI, KIBAHA, KIBAMBA, KILUVYA, KONGOWE, MISUGUSUGU,...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kuzimwa kwa inatneti: Nini kitatokea iwapo mtandao utazimwa?

Intaneti huwa inazimwa mara nyingi wakati wa uchaguzi na baadhi ya nchi huwa wanafungia baadhi ya mitandao.

 

10 years ago

Bongo Movies

JOHARI: Wacha Movie Iendelee

MAPENZINI: Swala la mapenzi ni jambo binafsi, lakini linapokuja kwa watu mastaa huwa lazima lilete stori.Leo nimetua kwa mwigizaji nguli na mahili wa filamu hapa Bongo, Blandina Chagula “JOHARI”.

Ni muda mrefu sasa tangu aachane na aliekuwa mpenzi wake  wa siri Vicent Kigosi “Ray” ambae pia ni mwigizaji na muongozaji wa filamu, mwana dada Johari kwa mara ya pili sasa ametokelezea akiwa na jamaa mwingine ambae amezua maswali mengi bila majibu kutoka kwa Johari mwenye.

KIVIPI?

Takribani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mahakama yaamuru ligi ya Kenya iendelee

Mahakama kuu ya Kenya imeiruhusu kampuni inayoendesha ligi kuu ya Kandanda kuendelea mbele baada kutupa nje ombi la kuisimamisha ya FKF

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani