Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Haturudi kwenye analojia’

Licha ya kukumbana na changamoto katika matumizi ya tiketi za kielektroniki, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limesema kamwe haliwezi kurudi kwenye mfumo wa kizamani.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

AUDIO: “Haturudi kwenye Bunge Maalum la Katiba” — UKAWA

ukawa1

Viongozi wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakishikana mikono mara baada ya kuongea na waandishi wa habari kutoa tamko la UKAWA kuhusu wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni. Kutoka kulia ni Profesa Safari Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi Mosena Nyambabe, Mwenyekiti wan CHADEMA Freeman Mbow, Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Wilbrod Slaa, Mbunge Sakaya na Julius Mtatiro wakiwa nje ya Makao Makuu ya CUF

Ripoti...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Haturudi

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema licha ya viongozi wa dini kuwataka warejee katika Bunge Maalum la Katiba, hawatafanya hivyo kwakuwa wameonyesha upendeleo kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wakizungumza...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tusipobembelezwa haturudi bungeni’

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wakiwa wanaendelea kufanya mikutano ya hadhara nchi nzima kudai Katiba ya wananchi, bado viongozi hao wanasisitiza kwamba kamwe hawatarudi kwenye Bunge la Malaamu la Katiba kama njia za kistaarabu za kuwaomba warudi hazitatumika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UKAWA: Haturudi bungeni

WAJUMBE  wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA kuzima analojia Tabora

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo inatarajia kuzima mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa. Akizungumza kwenye warsha iliyohusisha wadau katika Hoteli ya...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania

Tanzania imeingia awamu ya 2 ya mpango wake wa kuhama kutoka mfumo wa analojia kwenda dijitali, kwa kuzima mitambo ya analojia katika baadhi ya miji

 

11 years ago

Mwananchi

TFF, TPLB warudisha tiketi za analojia

Dar es Salaam. Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na  Bodi ya Ligi (TPLB) wamesitisha matumizi ya tiketi za elektroniki hadi msimu ujao baada ya mfumo wa kubaini tiketi halali na feki (Turnstile) kushindwa kufanya kazi vizuri.

 

10 years ago

Habarileo

Matangazo ya TV kwa analojia mwisho Machi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema ifikapo Machi mwakani hakuna mikoa ambayo wananchi wake watakuwa wakitumia antena za analojia kupata mawimbi ya matangazo ya televisheni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wadau wa mawasiliano wajadili uzimaji analojia

WATAALAMU, wadau wa mawasiliano  na maofisa kutoka nchi 25 wanachama wa Jumuia ya Madola  wanakutana jijini hapa kwa siku nne kuanzia jana kujadili harakati za uzimaji wa mitambo ya analojia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani