‘Haturudi kwenye analojia’
Licha ya kukumbana na changamoto katika matumizi ya tiketi za kielektroniki, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limesema kamwe haliwezi kurudi kwenye mfumo wa kizamani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog01 Aug
AUDIO: “Haturudi kwenye Bunge Maalum la Katiba” — UKAWA
Viongozi wakuu wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) wakishikana mikono mara baada ya kuongea na waandishi wa habari kutoa tamko la UKAWA kuhusu wito wa Viongozi wa Dini wa kurudi Bungeni. Kutoka kulia ni Profesa Safari Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi Mosena Nyambabe, Mwenyekiti wan CHADEMA Freeman Mbow, Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi James Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Wilbrod Slaa, Mbunge Sakaya na Julius Mtatiro wakiwa nje ya Makao Makuu ya CUF
Ripoti...
11 years ago
Tanzania Daima01 Aug
UKAWA: Haturudi
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) umesema licha ya viongozi wa dini kuwataka warejee katika Bunge Maalum la Katiba, hawatafanya hivyo kwakuwa wameonyesha upendeleo kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Wakizungumza...
11 years ago
Mwananchi25 May
‘Tusipobembelezwa haturudi bungeni’
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
UKAWA: Haturudi bungeni
WAJUMBE wa Bunge Maalumu, wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamesema hawatarudi bungeni na badala yake kuanzia kesho wataanza mikutano ya hadhara nchi nzima kuwaeleza wananchi juu ya hila...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
TCRA kuzima analojia Tabora
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), leo inatarajia kuzima mitambo ya kurusha matangazo ya televisheni ya mfumo wa utangazaji wa analojia mkoani hapa. Akizungumza kwenye warsha iliyohusisha wadau katika Hoteli ya...
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Mitambo ya analojia yazimwa Tanzania
11 years ago
Mwananchi05 Feb
TFF, TPLB warudisha tiketi za analojia
10 years ago
Habarileo03 Dec
Matangazo ya TV kwa analojia mwisho Machi
MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema ifikapo Machi mwakani hakuna mikoa ambayo wananchi wake watakuwa wakitumia antena za analojia kupata mawimbi ya matangazo ya televisheni.
11 years ago
Tanzania Daima12 Feb
Wadau wa mawasiliano wajadili uzimaji analojia
WATAALAMU, wadau wa mawasiliano na maofisa kutoka nchi 25 wanachama wa Jumuia ya Madola wanakutana jijini hapa kwa siku nne kuanzia jana kujadili harakati za uzimaji wa mitambo ya analojia...