Tegete: Maximo hanibebi
>Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete amesema hafikirii kama atapata nafasi kikosi cha kwanza kwa kutumia ukaribu wake na kocha Marcio Maximo bali atapambana ili achezeshwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Jul
Maximo awaongezea ‘sumu’ Jaja, Tegete
Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amewapa mbinu mpya washambuliaji wake Genilson Santana Jaja na Jeryson Tegete kwa lengo la kuwawezesha nyota hao kutoa mchango unaohitajika kwenye kikosi cha timu hiyo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhhV0jaKaI6CQX8Uo1DsLiAFnU9Muybp9Bsftq97CThFMHusNIz31Dr4ibzO-1qUCGhtFcQI5s4GluYJ6kghrkj/11.gif?width=650)
Maximo awapa jeuri Tegete, Cannavaro
Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
WACHEZAJI mahiri wa Yanga, beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na straika Jerry Tegete, wamefurahishwa na ujio wa Kocha Mbrazili, Marcio Maximo katika kikosi cha Yanga na wakatamba kuwa timu yao itakuwa tishio msimu ujao.…
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Tegete, Yanga watishana
Polisi na wadau wengine wa soka mjini Shinyanga juzi waliepusha shari baina ya mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Jerry Tegete na shabiki wa klabu hiyo.
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Yanga yawatema Kaseja, Tegete
Kocha wa Yanga, Hans Van Der Pluijm amemwengua, kipa Juma Kaseja na mshambuliaji Jerryson Tegete katika kikosi chake cha wachezaji 19 kinachoondoka nchini leo kuelekea Comoro kuikabili Komorozine.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
Jaja, Tegete wang’ara
‘Wametoa gundu’. Hicho ndicho unachoweza kusema kwa Jerryson Tegete na Genilson Santos ‘ Jaja’ walipofungia Yanga kwa mara ya kwanza, wakati Simba wameendeleza rekodi ya sare jijini Mbeya na Azam wakiambulia kipigo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n9CkP9pTfMPBqpXROcsliRT1WWkbWu7ZoNuZ5Zmwb*0o60jppgcTt-BAHfN1XEt8hByleyZpDUvIj48rrYijeRS28Zgeekx5/tgt.jpg)
Mzee Tegete aivaa Yanga
Straika wa Yanga, Jerry Tegete. Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya straika wa Yanga, Jerry Tegete kuiongoza timu hiyo kuibuka na ushindi ugenini tangu kuanza kwa michuano ya Ligi Kuu Bara msimu huu ilipocheza dhidi ya Stand United ya Shinyanga, baba mzazi wa mchezaji huyo, Mzee John Tegete, ameuvaa uongozi wa klabu hiyo na kuutaka uache majungu. Tegete aliifungia Yanga mabao mawili ilipoitandika Stand United mabao 3-0,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EWMw8iXl*iV1qS3pYI5To6wSGGqSuSR7diHOxJyg7fMFNUEpHrFJjvu1APwmgEWvaFkyQBBTc5SFVAOzCYOyfAxNnCL422t5/oiooo.jpg)
Tegete, Mrwanda watemwa Yanga
Mkongwe wa Yanga, Jerry Tegete. Sweetbert Lukonge,Dar es Salaam
BENCHI la ufundi la Yanga chini ya Mdachi, Hans van Der Pluijm, limedaiwa kufanya maamuzi magumu ambayo kwa namna moja au nyingine, yatawashangaza wadau wengi wa klabu hiyo. Imedaiwa kuwa kocha huyo ambaye ameiongoza Yanga msimu huu kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara, amependekeza wachezaji saba kuondolewa kutokana na mchango yao finyu msimu mzima, akiwemo mchezaji...
9 years ago
Mwananchi24 Oct
Julio: Tegete ifunge Yanga
Kocha wa Mwadui, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ amesema mshambuliaji wake Jerryson Tegete amekuwa ‘mtaam kama Mcharo’ lakini amemtaka kuthibitisha ubora wake kwa kuifunga timu yake ya zamani, Yanga watakayokutana nayo Jumatano ijayo.
9 years ago
Habarileo25 Oct
Tegete atamba ameanza ligi
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete ameanza tambo baada ya kufunga mabao matatu katika mechi tatu alizocheza akiwa na timu yake ya Mwadui FC ya Shinyanga.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania