Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tegete atamba ameanza ligi

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete ameanza tambo baada ya kufunga mabao matatu katika mechi tatu alizocheza akiwa na timu yake ya Mwadui FC ya Shinyanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

BOBBI KRISTINA AMEANZA KUONYESHA MATUMAINI

Bobbi Kristina akiwa na Nick Gordon
Mtoto wa Whitney Houston aliyezaa na Bobbi Brown, Bobbi Kristina ameanza kuonyesha dalili nzuri baada ya siku ya jumatatu kuanza kuchezasha mamcho na madaktari kusema hiyo ni dalili nzuri na ya kutia matumaini.

Bobbi Kristina alikutwa siku ya Jumamosi akiwa amenguka bafuni akiwa ameinamisha kichwa chini huku akishindwa kupumua na kudhaniwa kudhulika na madawa ya kulevya. Madaktari wameeleza kwa sasa hali yake inatia matumaini na oksigeni imeaanza kuongezeka...

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa ameanza safari, ni ndefu kiasi gani?

>“Nimefarijika sana leo kuwaona hapa marafiki zangu wengi. Ninapowatazama hadi machozi yananitoka na kwa uwezo wa Mungu tutashinda kwani nyote mnajua nia na ndoto yangu…WanaCCM msiwe na shaka, tutavuka kwa nguvu zetu... Wingi wenu huu unanipa faraja katika safari yetu na kwa kumtegemea Mungu tutashinda.”  ni kauli ya aliyewahi kuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa.

 

5 years ago

MillardAyo

Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea

Tukiwa tunasubiria game ya UEFA Champions League kati ya Barcelona dhidi ya Chelsea, usiku wa February 16 Chelsea imecheza game yake ya FA Cup dhidi ya Hull City katika uwanja wao wa Stamford Bridge. Chelsea licha ya kuwa imekuwa haifanyi vizuri katika Ligi Kuu kwa baadhi ya mechi zao kiasi cha kuhesabiwa kuwa msimu huu […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!

Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.

Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.

Kwamaneno mafupi Johari alisema;

“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kama Alivyosema, Irene Uwoya Ameanza Hivi Kuyanika Maisha Yake

Kutoka kwenye ukursa wake mtandaoni,staa mrembo Irene Uwoya ameanza hivi;

Naitwa Irene pankras uwoya...ni mtoto wakwanza katika familia ya mzeee uwoya yenye watoto 2 na mdogo wangu wakuite aitwae babu!!!nimezaliwa dodoma hospital nimeishi dodoma nikasoma shule ya msimgi mlimwa la kwanza mpaka la tatu...Wazaz wangu wakaa mishiwa Dar kikazI mama yangu akiwa ofisi ya waziri mkuu huku baba yangu akiwa pilot na pia ofisi ya nishat na madini nikaamia shule ya msingi bunge na kumaliza la...

 

9 years ago

Vijimambo

Lowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.


Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya-Mgombea Urais wa UKAWA Kupitia CHADEMA Leo atakuwa Jijini Mbeya kwa ajili ya kutambulishwa na kusaka...

 

9 years ago

Vijimambo

Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi


MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...

 

9 years ago

MillardAyo

Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita.

Ripoti iliyonifikia nikutokea Mkoa wa Geita, Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliwasili Geita jioni ya leo na akakutana na uongozi wa mkoa wa Geita, Inshu ni wananchi wanufaike na mgodi wao wa dhahabu Geita Geita Gold Mine.…kutana na sentensi zake; Makamu wa rais Mama Samia ‘Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye […]

The post Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita. appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Mwananchi

Tegete, Yanga watishana

Polisi na wadau wengine wa soka mjini Shinyanga juzi waliepusha shari baina ya mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Yanga, Jerry Tegete na shabiki wa klabu hiyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani