Tegete atamba ameanza ligi
MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Jerry Tegete ameanza tambo baada ya kufunga mabao matatu katika mechi tatu alizocheza akiwa na timu yake ya Mwadui FC ya Shinyanga.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo03 Feb
BOBBI KRISTINA AMEANZA KUONYESHA MATUMAINI
![](http://img2.timeinc.net/people/i/2013/news/130722/bobbi-kristina-600.jpg)
Mtoto wa Whitney Houston aliyezaa na Bobbi Brown, Bobbi Kristina ameanza kuonyesha dalili nzuri baada ya siku ya jumatatu kuanza kuchezasha mamcho na madaktari kusema hiyo ni dalili nzuri na ya kutia matumaini.
Bobbi Kristina alikutwa siku ya Jumamosi akiwa amenguka bafuni akiwa ameinamisha kichwa chini huku akishindwa kupumua na kudhaniwa kudhulika na madawa ya kulevya. Madaktari wameeleza kwa sasa hali yake inatia matumaini na oksigeni imeaanza kuongezeka...
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Lowassa ameanza safari, ni ndefu kiasi gani?
5 years ago
MillardAyo10 Mar
Giroud ameanza kazi tayari akiwa Chelsea
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Refund: Ujio Mpya, Johari Ameanza Kutimiza Ahadi Yake!
Mrembo na muigizaji wakike wa filamu mwenye kipaji cha hali ya juu, Blandina Chagula “Johari” ameanza kutimiza ahadi yake aliyoitoa kwaka jana kuwa mwaka huu ni mwaka wa kazi tu.
Ameanza na hii, ingawa hakuweka wazi ni lini hasa itaingia sokoni, filamu yake hii mpya inayokwenda kwa jina la Refund ambayo pamoja nae,wakali kama Juma Chikoka ‘Chopamchopanga’ na Haji Adam na wengine wengi wameshiriki kwenye filamu hii.
Kwamaneno mafupi Johari alisema;
“Kama nilivyoahidi mashabiki wangu 2015...
10 years ago
Bongo Movies07 May
Kama Alivyosema, Irene Uwoya Ameanza Hivi Kuyanika Maisha Yake
Kutoka kwenye ukursa wake mtandaoni,staa mrembo Irene Uwoya ameanza hivi;
Naitwa Irene pankras uwoya...ni mtoto wakwanza katika familia ya mzeee uwoya yenye watoto 2 na mdogo wangu wakuite aitwae babu!!!nimezaliwa dodoma hospital nimeishi dodoma nikasoma shule ya msimgi mlimwa la kwanza mpaka la tatu...Wazaz wangu wakaa mishiwa Dar kikazI mama yangu akiwa ofisi ya waziri mkuu huku baba yangu akiwa pilot na pia ofisi ya nishat na madini nikaamia shule ya msingi bunge na kumaliza la...
9 years ago
VijimamboLowassa Ameanza Kutengeneza Ajira Za Vijana Mapema. Ona Mbeya Wanavyouza.
Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya Kikundi cha ulinzi cha Chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA maarufu kama Red Brigade kikipita eneo la Soweto mkoani Mbeya -
![](http://4.bp.blogspot.com/-EjYkHz0b4aY/Vc3K1fpeIZI/AAAAAAAAJoY/X45MgjUSHbY/s640/attachment.php.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-DN8yziF5F0M/Vc3K2LCdA-I/AAAAAAAAJog/F1PLFIRCQ58/s640/fhsdhrsd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vLcedGZfw6Y/Vc3K0wWx11I/AAAAAAAAJoU/V_Gkl_XnHws/s640/hfdh.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-9F6o9JYPcCo/Vc3K2wm_6JI/AAAAAAAAJos/78x1trYNk8c/s640/hnsjg.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BxCZTe36RTY/Vc3K3HyHf1I/AAAAAAAAJow/uyPNqT-P5KI/s640/jg.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s72-c/_MG_8367.jpg)
Magufuli ameanza kazi: Amtosa Chenge hadharani huko Mjini Bariadi
![](http://2.bp.blogspot.com/-9nSRfdG0qAI/VfbJyRLS05I/AAAAAAAALIE/L16uUCur-NA/s640/_MG_8367.jpg)
MAGUFULI AMTOSA CHENGE BARIADI.Katika kile ambacho wachunguzi wa mambo ya kisiasa wamekiita tukio la kimapinduzi na mwanzo wa mabadiliko mapya ndani ya CCM, Mgombea wa Urais kwa ticket ya CCM Dr. John Magufuli amefanya kile ambacho Rais Jakaya Kikwete na Edward Lowassa wameshindwa, kumtosa Andrew Chenge hadharani.Mwanasheria huyo mkuu wa zamani ambaye anahusika kwenye kashfa mbalimbali zilizozikumba taifa hili, ambaye ndio alikuwa mratibu wa kampeni za Urais za Edward Lowassa alipokuwa CCM...
9 years ago
MillardAyo04 Jan
Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita.
Ripoti iliyonifikia nikutokea Mkoa wa Geita, Makamu wa rais wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan aliwasili Geita jioni ya leo na akakutana na uongozi wa mkoa wa Geita, Inshu ni wananchi wanufaike na mgodi wao wa dhahabu Geita Geita Gold Mine.…kutana na sentensi zake; Makamu wa rais Mama Samia ‘Wakati nilipopita kwenye kampeni nilipita kwenye […]
The post Mama Samia nae ameanza kazi, leo kaanza na haya baada ya kupita Geita. appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Tegete, Yanga watishana