Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Telemedicine ilivyoleta mapinduzi katika tiba nchini

>Mama yako mzazi yu mgonjwa mahututi katika hospitali ya Wilaya ya Masasi. Madaktari wamelifahamu tatizo lake lakini hakuna vifaa wala wataalamu wa jinsi ya kumtibu. Anatakiwa ahamishiwe Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako kuna madaktari bingwa na vifaatiba vya uhakika. Hata hivyo safari ya kutoka Masasi hadi Dar Es Salaam, pengine yaweza... kupoteza uhai wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

DC MPYA ARUSHA AWAAMBIA MADAKTARI JINSI SERIKALI YA JPM ILIVYOLETA MAPINDUZI KWENYE SEKTA YA AFYA

Arusha, TanzaniaMKUU mpya wa Wilaya ya Arusha, Kenan Laban Kihongosi amesema Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dk. John Magufuli imeleta mapinduzi makubwa na yanayostahili kupongezwa katika sekta ya afya hapa nchini.
DC Kihongosi aliyasema hayo juzi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi  kwa madaktari na watoa huduma ya afya ambayo aliyafungua kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Arusha Iddi Hassan Kimanta.
Mafunzo hayo...

 

5 years ago

Michuzi

CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniCHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT), kimeahidi kufanya mapinduzi katika soka, kwa kuwa na timu imara itayoshiriki Ligi za ndani na nje ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...

 

5 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA YATOA MKOPO WA SHILINGI BILIONI 175,KULETA MAPINDUZI KATIKA ELIMU YA UFUNDI NCHINI

  WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako akikata utepe kuashiria uzinduzi wa magari. WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako amesema Benki ya Dunia imetoa mkopo wa  Sh. Bilioni 175 kwa Serikali ya Tanzania kwa ajili ya kuleta mapinduzi katika vyuo  vinne vinavyotoa elimu ya ufundi  hapa nchini.
Waziri Ndalichako ameyasema hayo leo Juni 3, 2020  jijini Dar es Salaam wakati akikabidhi magari manne kwa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT)...

 

10 years ago

TheCitizen

Technology facilitates telemedicine

>Upcountry cancer patients would not incur costs of travelling to the Ocean Road Cancer Institute (ORCI) in the city following the installation of a fibre optic cable network by the Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) to offer telemedicine services.

 

10 years ago

Mwananchi

Telemedicine sasa inaziunganisha Tanzania, Italia kutibu Watanzania

>Katika miaka hii ambayo teknolojia ya mawasiliano imekua, mgonjwa kufa mikononi mwa daktari kwa kukosekana ufumbuzi wa ushauri wa daktari bingwa ni kosa lisilo na msamaha. Hili linahesabika ni kosa la uzembe.

 

10 years ago

CloudsFM

MVUA ILIVYOLETA MAAFA JIJINI MWANZA

Hali halisi ilivyoonekana siku ya jana katika eneo la Mabatini jijini Mwanza mara baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha mafuriko makubwa kwa baadadhi ya maeneo na viunga vya jiji. Hii ni barabara kuu inayounga mkoa wa Mwanza na Mara.Source: G SENGO

 

11 years ago

BBCSwahili

Putin ashutumu mapinduzi nchini Ukraine

Rais Vladimir Putin wa Urusi amesema ukiukaji wa katiba ndiyo chanzo cha ghasia nchini Ukraine

 

9 years ago

Mwananchi

Maajabu ya tope la bahari katika tiba

Ilikuwa saa 4:45 asubuhi, mjini Haapsalu, Estonia, barani Ulaya. Makundi ya watu hasa wazee yalionekana yakimiminika kueleka katika jumba moja kubwa lenye vyumba vingi, bustani ya maua, bwawa la kuogelea na ukumbi wa mazoezi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani