Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tenga leaving Cecafa with some advice

The Council for East and Central Africa Football Associations (Cecafa) president Leodegar Tenga says he will not seek re-election when the regional body holds its general election in November.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Gaffar amrithi Tenga Cecafa

leodegar-tengaNA ZAITUNI KIBWANA

HATIMAYE Mutasim Sirelkhatim Gaffar wa Sudan, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), baada ya kupata kura sita kati ya 10 katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana mjini Addis Ababa, Ethiopia.

Katika uchaguzi huo, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Leodegar Tenga, alijitoa dakika za mwisho kutetea nafasi yake baada ya kuliongoza baraza hilo katika vipindi viwili.

Katika uchaguzi huo, mgombea mwingine ambaye ni bosi wa zamani...

 

10 years ago

Election

CECAFA, TFF Hail Tenga for CAF Re


CECAFA, TFF Hail Tenga for CAF Re-Election
AllAfrica.com
THE Tanzania Football Federation (TFF) president Jamal Malinzi, has hailed his predecessor, Leodegar Tenga for retaining his seat in the Executive Committee of African Football Confederation (CAF). Malinzi also extended his congratulatory message to ...
TFF joyful as Tenga retains CAF position.IPPmedia

all 2

 

10 years ago

TheCitizen

CECAFA: Azam FC eye Cecafa Cup semis

>Azam FC head coach Joseph Omog is earning fame as one of the best strategists and planners of the game.

 

9 years ago

Dewji Blog

Cecafa yatangaza ratiba ya Cecafa Senior Challenge Cup, Tanzania uso kwa uso na Somalia!

cecafa__logo

Na Rabi Hume

Shirikisho la soka Afrika Mashariki (CECAFA), limetoa ratiba ya mashindano ya Cecafa Senior Challenge Cup yanayotarajiwa kuanza kutimua Novemba 21 nchini Ethiopia.

Mashindano ya mwaka huu yamejumuisha nchi 11 wakiwa wenyeji na moja ikiwa kama mgeni mwalikwa ambayo ni nchi ya Malawi ambayo imeingia katika kundi C ikiwa na nchi zingine za Sudan na Sudan Kusini.

Mashindano hayo yanatarajiwa kuanza kuchezwa tarehe 21 mwezi huu ambapo mchezo wa ufunguzi utakuwa kati ya;

 

10 years ago

Elected To Caf Executive Committee

Tenga re


Goal.com
Tenga re-elected to Caf Executive Committee
Goal.com
Council of East and Central Africa Football Association chairman Leodegar Tenga has retained his seat in the Executive Committee of African Football Confederation during continental Annual General Congress held in Cairo, Egypt on Tuesday. Tenga of ...
CECAFA's Tenga retains CAF seatNew Vision
Tenga Re-Elected to CAF ExcoAllAfrica.com

all 6

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yampongeza Tenga

Rais wa TFF, Jamal Malinzi amempongeza Leodegar Tenga kwa kuchaguliwa tena kuendelea kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

 

11 years ago

Mwananchi

SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi

Unapotaja historia ya soka katika Tanzania, yatatajwa majina mbalimbali likiwamo la Said Hamad El Maamry, mmoja wa watu wenye historia ndefu katika soka ya Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

El Maamry hakupenda Tenga ang’atuke

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) Said El Maamry amesema alipenda rais aliyemaliza muda wake TFF, Leodegar Tenga kuendelea kuongoza shirikisho hilo kwa vile alilifikisha mbali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito wajifungulia kwenye tenga Mkuranga

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chamgoi, Kata ya Mkamba, wilayani Mkuranga, Pwani, wamekuwa wakijifungua njiani kwenye matenga kutokana na kukosa kituo cha afya. Hayo yalibainika juzi kijijini hapo, baada ya Kamati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani