Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajawazito wajifungulia kwenye tenga Mkuranga

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chamgoi, Kata ya Mkamba, wilayani Mkuranga, Pwani, wamekuwa wakijifungua njiani kwenye matenga kutokana na kukosa kituo cha afya. Hayo yalibainika juzi kijijini hapo, baada ya Kamati...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Wajawazito wajifungulia kwenye vichaka

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, wanalazimika kujifungulia njiani na vichakani kutokana na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Diwani wa Kata ya Makanda, Antony Lyamunda, alisema wajawazito hao hujifungua wakati wakienda katika Zahanati ya Makanda.
“Kijiji cha Chonde tangu nchi hii ipate uhuru hakijawahi kuwa na kituo chochote cha afya, kwa hiyo baadhi ya wananchi wanalazimika kutumia mitishamba...

 

11 years ago

Mwananchi

Wajawazito wajifungulia kwenye mitumbwi

>Ni safari yenye karaha iliyotumia takriban wiki nzima kutoka Morogoro hadi kijiji cha Mlimba, lengo ni kufuatilia ukweli kwamba wajawazito wengi hujifungulia kwenye mitumbwi wakati wakivuka mto Kihansi wakipelekwa katika zahanati ya kijiji cha Chita, tarafa ya Mngeta wilaya ya Kilombero kufuata huduma ya afya.

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani

LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.

 

10 years ago

Elected To Caf Executive Committee

Tenga re


Goal.com
Tenga re-elected to Caf Executive Committee
Goal.com
Council of East and Central Africa Football Association chairman Leodegar Tenga has retained his seat in the Executive Committee of African Football Confederation during continental Annual General Congress held in Cairo, Egypt on Tuesday. Tenga of ...
CECAFA's Tenga retains CAF seatNew Vision
Tenga Re-Elected to CAF ExcoAllAfrica.com

all 6

 

10 years ago

Mwananchi

TFF yampongeza Tenga

Rais wa TFF, Jamal Malinzi amempongeza Leodegar Tenga kwa kuchaguliwa tena kuendelea kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF).

 

9 years ago

TheCitizen

Tenga leaving Cecafa with some advice

The Council for East and Central Africa Football Associations (Cecafa) president Leodegar Tenga says he will not seek re-election when the regional body holds its general election in November.

 

11 years ago

Mwananchi

SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi

Unapotaja historia ya soka katika Tanzania, yatatajwa majina mbalimbali likiwamo la Said Hamad El Maamry, mmoja wa watu wenye historia ndefu katika soka ya Tanzania.

 

9 years ago

Mtanzania

Gaffar amrithi Tenga Cecafa

leodegar-tengaNA ZAITUNI KIBWANA

HATIMAYE Mutasim Sirelkhatim Gaffar wa Sudan, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), baada ya kupata kura sita kati ya 10 katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana mjini Addis Ababa, Ethiopia.

Katika uchaguzi huo, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Leodegar Tenga, alijitoa dakika za mwisho kutetea nafasi yake baada ya kuliongoza baraza hilo katika vipindi viwili.

Katika uchaguzi huo, mgombea mwingine ambaye ni bosi wa zamani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tenga akabidhiwa jukumu zito TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemteua Rais aliyepita wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund), ambao umezimiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani