Wajawazito wajifungulia kwenye tenga Mkuranga
WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chamgoi, Kata ya Mkamba, wilayani Mkuranga, Pwani, wamekuwa wakijifungua njiani kwenye matenga kutokana na kukosa kituo cha afya. Hayo yalibainika juzi kijijini hapo, baada ya Kamati...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Wajawazito wajifungulia kwenye vichaka
WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, wanalazimika kujifungulia njiani na vichakani kutokana na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Diwani wa Kata ya Makanda, Antony Lyamunda, alisema wajawazito hao hujifungua wakati wakienda katika Zahanati ya Makanda.
“Kijiji cha Chonde tangu nchi hii ipate uhuru hakijawahi kuwa na kituo chochote cha afya, kwa hiyo baadhi ya wananchi wanalazimika kutumia mitishamba...
11 years ago
Mwananchi03 May
Wajawazito wajifungulia kwenye mitumbwi
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani
LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.
10 years ago
Elected To Caf Executive Committee08 Apr
Tenga re
Goal.com
Goal.com
Council of East and Central Africa Football Association chairman Leodegar Tenga has retained his seat in the Executive Committee of African Football Confederation during continental Annual General Congress held in Cairo, Egypt on Tuesday. Tenga of ...
CECAFA's Tenga retains CAF seatNew Vision
Tenga Re-Elected to CAF ExcoAllAfrica.com
all 6
10 years ago
Mwananchi09 Apr
TFF yampongeza Tenga
9 years ago
TheCitizen22 Sep
Tenga leaving Cecafa with some advice
11 years ago
Mwananchi21 Jul
SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi
9 years ago
Mtanzania21 Nov
Gaffar amrithi Tenga Cecafa
NA ZAITUNI KIBWANA
HATIMAYE Mutasim Sirelkhatim Gaffar wa Sudan, amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), baada ya kupata kura sita kati ya 10 katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika jana mjini Addis Ababa, Ethiopia.
Katika uchaguzi huo, Mwenyekiti aliyemaliza muda wake, Leodegar Tenga, alijitoa dakika za mwisho kutetea nafasi yake baada ya kuliongoza baraza hilo katika vipindi viwili.
Katika uchaguzi huo, mgombea mwingine ambaye ni bosi wa zamani...
11 years ago
Tanzania Daima07 May
Tenga akabidhiwa jukumu zito TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limemteua Rais aliyepita wa Shirikisho hilo, Leodegar Tenga, kuwa Mwenyekiti wa Mfuko wa Maendeleo ya Mpira wa Miguu Tanzania (TFF Development Trust Fund), ambao umezimiwa...