Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajawazito wajifungulia kwenye vichaka

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, wanalazimika kujifungulia njiani na vichakani kutokana na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Diwani wa Kata ya Makanda, Antony Lyamunda, alisema wajawazito hao hujifungua wakati wakienda katika Zahanati ya Makanda.
“Kijiji cha Chonde tangu nchi hii ipate uhuru hakijawahi kuwa na kituo chochote cha afya, kwa hiyo baadhi ya wananchi wanalazimika kutumia mitishamba...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wajawazito wajifungulia kwenye mitumbwi

>Ni safari yenye karaha iliyotumia takriban wiki nzima kutoka Morogoro hadi kijiji cha Mlimba, lengo ni kufuatilia ukweli kwamba wajawazito wengi hujifungulia kwenye mitumbwi wakati wakivuka mto Kihansi wakipelekwa katika zahanati ya kijiji cha Chita, tarafa ya Mngeta wilaya ya Kilombero kufuata huduma ya afya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wajawazito wajifungulia kwenye tenga Mkuranga

WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chamgoi, Kata ya Mkamba, wilayani Mkuranga, Pwani, wamekuwa wakijifungua njiani kwenye matenga kutokana na kukosa kituo cha afya. Hayo yalibainika juzi kijijini hapo, baada ya Kamati...

 

9 years ago

Habarileo

Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani

LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Vodacom yawakumbuka wajawazito

WAJAWAZITO 225,000 wanaotumia mtandao kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom wamejiunga na huduma ya ujumbe mfupi wa uzazi salama chini ya mpango wa Healthy Pregnancy, Healthy Baby (HPHB). Mpango...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Umasikini unaua wajawazito’

MUUGUZI Mkuu wa Wilaya ya Biharamulo, mkoani Kagera, Revocatus Dominick, amesema kina mama wengi wamekuwa wakipoteza maisha wakati wa kujifungua, kutokana na umasikini wa vipato. Dominick alitoa kauli hiyo alipozungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,wajawazito hulala na wakunga?

Wakunga wa kiume huwadanganya wanawake wajawazito katika makaazi ya mijini kufanya tendo la ngono kabla ya kujifungua.

 

10 years ago

Habarileo

DC awaokoa wanafunzi wajawazito

BAADHI ya wanafunzi walioacha masomo, baada ya kupata ujauzito wilayani Rufiji mkoani Pwani, wameelezea kujutia makosa hayo na kumuomba Mkuu wa Wilaya kuwasaidia warudi shuleni.

 

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI KWA WAJAWAZITO

WIKI iliyopita tuliona jinsi fangasi wanavyoambukiza na kusababisha madhara mbalimbali sehemu za siri.
Leo tunakwenda mbele zaidi kwa kuangazia akina mama wenye ujauzito ambao hupata fangasi hawa kutokana na kubadilika kwa mfumo wa homoni mwilini na kupungua kwa kinga ya mwili. Hata hivyo, ieleweke kuwa si kila mjamzito hupatwa na maambukizi haya ya fangasi wa Candida albicans.
Matumizi ya dawa za kupanga uzazi  maarufu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Wajawazito acheni dawa za kienyeji’

KINA mama wilayani hapa wametakiwa kuacha kutumia dawa za kienyeji ili kuendeleza uchungu wa kujifungua pindi wanapokuwa wajawazito. Wito huo ulitolewa mjini hapa jana na Mratibu wa Afya ya Uzazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani