Wajawazito wajifungulia kwenye mitumbwi
>Ni safari yenye karaha iliyotumia takriban wiki nzima kutoka Morogoro hadi kijiji cha Mlimba, lengo ni kufuatilia ukweli kwamba wajawazito wengi hujifungulia kwenye mitumbwi wakati wakivuka mto Kihansi wakipelekwa katika zahanati ya kijiji cha Chita, tarafa ya Mngeta wilaya ya Kilombero kufuata huduma ya afya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Wajawazito wajifungulia kwenye vichaka
WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chonde, Kata ya Makanda wilayani Bahi, Mkoa wa Dodoma, wanalazimika kujifungulia njiani na vichakani kutokana na kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Diwani wa Kata ya Makanda, Antony Lyamunda, alisema wajawazito hao hujifungua wakati wakienda katika Zahanati ya Makanda.
“Kijiji cha Chonde tangu nchi hii ipate uhuru hakijawahi kuwa na kituo chochote cha afya, kwa hiyo baadhi ya wananchi wanalazimika kutumia mitishamba...
10 years ago
Tanzania Daima06 Sep
Wajawazito wajifungulia kwenye tenga Mkuranga
WAJAWAZITO katika Kijiji cha Chamgoi, Kata ya Mkamba, wilayani Mkuranga, Pwani, wamekuwa wakijifungua njiani kwenye matenga kutokana na kukosa kituo cha afya. Hayo yalibainika juzi kijijini hapo, baada ya Kamati...
9 years ago
Habarileo05 Jan
Wanawake wengi bado wajifungulia majumbani
LICHA ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kutoa huduma bure za afya kwa wajawazito, ni asilimia 12.4 tu ya wanawake wanajifungulia katika hospitali za serikali.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s72-c/balim1.jpg)
JJ BUDA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI
![](http://4.bp.blogspot.com/-DVs5mN1CRms/VHlqNyHUwGI/AAAAAAAG0Eo/47HeetPerqA/s1600/balim1.jpg)
Na Mwandishi wetu,Mara.
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha JJ Buda kutoka Nyarusurya Mkoani Mara kimeibuka na ubingwa katika fainali za Mkoa za mashindano yambio za mitumbwi chini ya udhamini wa bia ya Balimi Extra Lager zijulikazo kama “Balimi Boat Race 2014” na hivyo kikundi hicho kuzawadiwa pesa taslimu Shilingi 900,000/= pamoja na kuwakilisha Mkoa wa Kagera kwenye fainali za Kanda zinazotarajiwa kufanyika Desemba 6 mwaka huu jijini Mwanza.
Nafasi ya pili ilichukuliwa na kikundi cha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq8xR0teUk-XkEfPaA4FRw4KJpz3xstsbFZdK9Mf7VqBFdGeRjeUfYk8Op0noFq*jPrimowv2JI21z7RngASbe*y/22.jpg?width=650)
NICHORAUS NGOROMA MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI UKEREWE
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hvwfYsr9XIg/VFdqbayBWfI/AAAAAAAGvSI/EToIdZx3KgM/s72-c/unnamed1.jpg)
KIKUNDI CHA ELIUD PROSPER MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI KAGERA
![](http://1.bp.blogspot.com/-hvwfYsr9XIg/VFdqbayBWfI/AAAAAAAGvSI/EToIdZx3KgM/s1600/unnamed1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-x437eKGA3Cc/VFdqbnJXYKI/AAAAAAAGvSM/5Vo99VpXfHk/s1600/unnamed2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-9LRo8ufQmQ0/VFdqi1O5I5I/AAAAAAAGvSY/BOn_AGck0Rs/s1600/unnamed3.jpg)
KIKUNDI cha Wanaume wapiga kasia cha Eliud...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
ZOEZI LA UOPOAJI WA MIILI KATIKA AJALI YA MITUMBWI ZIWA TANGANYIKA LASITISHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-ySdVWq-YR30/VDz08xfx2II/AAAAAAAGqdo/uvb42TWAlbM/s1600/unnamed%2B(46).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-laDMM-_ZONY/VDz0x66UPsI/AAAAAAAGqdg/kaPw_F3vEaw/s1600/unnamed%2B(45).jpg)
SEREKALI ya Mkoa wa Kigoma imesitisha zoezi la uopoaji wa miili ya ajali ya mitumbwi miwili ya maharusi iliyotokea tokea hivi karibuni katika Ziwa Tanganyika kwenye kijiji cha Kalalangabo kilichopo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s72-c/unnamedb5.jpg)
KIKUNDI CHA COSTANTINE LUSALAGE MABINGWA MBIO ZA BALIMI MITUMBWI MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-XgSa81S57LY/VGCJrNr75zI/AAAAAAAGwWs/M13dGQ9kOD0/s1600/unnamedb5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zlQTHP9zpeE/VGCJqEV2QbI/AAAAAAAGwWY/RkF3Q2otk78/s1600/unnamedb2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5Xdd0nvX7w8/VGCJrQSosDI/AAAAAAAGwWw/KXqrG3BzRdA/s1600/unnamedb6.jpg)
10 years ago
Dewji Blog29 Sep
Tigo yadhamini Mabaharia watoto 10 kuwakilisha Tanzania Mashindano ya Mitumbwi Afrika
Meneja wa mawasiliano wa Tigo Bw. John Wanyancha akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), kutangaza udhamini wa kampuni ya Tigo safari ya timu ya Taifa ya watoto waendesha mitumbwi inayoelekea nchini Morocco kushiriki mashindanoya wakimbiza mitumbwi mwezi ujao.
Na Mwandishi wetu
Tigo Tanzania imetangaza udhamini wake kwa timu ya taifa ya watoto wadogo waendesha mitumbwi, timu ambayo inaundwa na mabaharia watoto 10 waliochaguliwa na shirikisho la mitumbwi midogo ya watoto...