TETESI ZA SOKA ULAYA
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionMshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang akifanya mashambulizi katika mechi dhidi ya BurnleyMshambuliaji wa Arsenal na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang, 30, alimuahidi marehemu babu yake kuwa atachezea Real Madrid. (Sun)Gunners pia wanakabiliwa na pigo jingine la kumkosa beki wa RB Leipzig wa miaka 21-Mfaransa Dayot Upamecano baada ajenti wake kusema kuwa huenda asihame kutokana na janga la coronavirus. (Sport 1, via Metro)Tetesi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili24 Feb
Tetesi za soka Ulaya Jumatatu tarehe 24.02.2020: Tetesi za uhamisho wa Zlatan, Smalling, Mkhitaryan, Phillips, Kostic
5 years ago
CCM Blog05 May
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO

5 years ago
CCM Blog25 Jun
TETESI ZA SOKA ULAYA 25.06.2020

5 years ago
CCM Blog16 May
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMAMOSI 16.05.2020



5 years ago
CCM Blog15 May
TETESI ZA SOKA ULAYA IJUMAA 15.05.2020

5 years ago
CCM Blog08 May
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO IJUMAA

5 years ago
CCM Blog15 Jun
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMATATU 15.06.2020

5 years ago
CCM Blog19 May
TETESI ZA SOKA ULAYA JUMANNE 19.05.2020

Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionGonzalo Higuain
Juventus wanaweza kuuza wachezaji kadhaa akiwemo kiungo wa Bosnia Miralem Pjanic, 30 na mshambuliaji wa Argentina Gonzalo Higuain, 32, msimu huu kama sehemu ya sera mpya ya kifedha ili kuisaidia klabu kukabiliana na atahri za kiuchumi zilizosababishwa na janga la corona. (Daily Mail)Kiungo wa Bayer Leverkusen Kai Havertz anapaswa kukataa nafasi ya kwenda Liverpool na badala yake ajiunge na Borussia Dortmund, anashauri mchezaji wa...
5 years ago
CCM Blog26 May
TETESI ZA SOKA ULAYA LEO JUMANNE 26.05.2020

