TFF YAIRUKA KIMANGA TAARIFA YA CHAMA CHA MAKOCHA TAFCA
![](http://3.bp.blogspot.com/-msTQVlup6hg/VVb7soOVRbI/AAAAAAAHXik/fF9HNFkqGIc/s72-c/download%2B(3).jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, limesema taarifa iliyoandikwa na Gazeti moja la tarehe 15, Mei 2015 yenye kichwa cha habari “Nkurunziza ameweka picha mbaya katika soka” haina uhusiano na TFF. Katika taarifa hiyo katibu wa chama cha makocha nchini (TAFCA), Michael Bundala amenukuliwa akihusisha masuala ya mpira na hali ya kisiasa nchini Burundi. TFF imesikitishwa na kauli hii na inajitenga nayo. Kwa kua aliyetoa kauli hii ni mwanafamilia ya mpira wa miguu nchini, uongozi wa TFF...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Nov
Mwakibinga aruka kimanga kutoa siri za TFF kwa Ndumbaro
9 years ago
Vijimambo26 Oct
TAARIFA YA CHAMA CHA MAPINDUZI
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wB149r0b5pk/U8e3E2J29AI/AAAAAAAClqE/WSMyZAVZrLI/s72-c/MMGM4299.jpg)
TAARIFA KUTOKA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wB149r0b5pk/U8e3E2J29AI/AAAAAAAClqE/WSMyZAVZrLI/s1600/MMGM4299.jpg)
Jana tarehe 16/07/2014 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ilifanya kikao cha kawaida cha siku moja mjini Dar es salaam. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete.
Pamoja na mambo mengine kikao hicho kilipokea taarifa ya mazungumzo yanayoendelea kati ya CCM kwa upande mmoja na CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kwa upande wa pili.
Mazungumzo hayo yanayosimamiwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Jaji Francis Mutungi yana lengo la kuangalia kwa kina ni kwa nini...
10 years ago
Michuzi08 Aug
10 years ago
MichuziUJUMBE WA CHAMA CHA FRELIMO CHA MSUMBIJI WAKUTANA NA BAADHI YA WAJUMBE WA CHAMA CHA MAPINDUZI ZANZIBAR
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
TFF YAFUNGUA KOZI YA MAKOCHA WA VIJANA
Akifungua kozi hiyo, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema ili nchi/Taifa lifanikiwe katika soka ni lazima kuwekeza katika mpira wa watoto na vijana ambao makocha hao ni sehemu ya uwekezaji huo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-AqE7PsJYFdI/VY0kXctFiUI/AAAAAAAHkNQ/wrvxjJ1mqP8/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
11 years ago
Mwananchi31 Mar
TFF tunahitaji makocha wa timu za Taifa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Qz1CjUJ7cak/XtypC_AA9pI/AAAAAAAC6_8/UQZvGS7FqCsUQZmjwJLL8Fj7YcNVI7s1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1htsB4KygPM/VcOqHDXrMeI/AAAAAAAHuuE/TH_PzWFuxIg/s72-c/Aos1P4V98yiLlV52uH06cG3Nc81GUEg3pB9ikMxSbiDg.jpg)
TAARIFA YA CHAMA CHA CUF KUFUATIA MWENYEKITI WAO KUTANGAZA KUJIUZULU LEO JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-1htsB4KygPM/VcOqHDXrMeI/AAAAAAAHuuE/TH_PzWFuxIg/s400/Aos1P4V98yiLlV52uH06cG3Nc81GUEg3pB9ikMxSbiDg.jpg)
Sisi kama Chama tumezipokea taarifa hizo na tunayaheshimu maamuzi yake. Ni haki yake ya kikatiba na haki ya kidemokrasia kufanya maamuzi anayoyaona yana maslahi kwake.
Bila shaka, Profesa Ibrahim Lipumba amekifanyia kazi kubwa Chama chetu katika miaka 16 ambayo...