Tiba ya VVU yawachanganya wataalamu
Ni tukio ambalo liliwaimarisha wataalamu wa afya kwamba wamepata dawa ya kutibu watoto wachanga wanaoambukizwa Virusi Vya Ukimwi (VVU) wakati wanazaliwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo22 Jan
Wataalamu wa VVU wataka mkazo kuzuia maambukizi
WATAALAMU wa maambukizi ya Virusi Vya Ukimwi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, wamesema kama hatua hazitazochukuliwa mapema, maambukizi hayo yataongezeka. Wamesema kama hatua hizo hazitachukuliwa, asilimia 5 hadi 10 ya watoto wachanga wataambukizwa wakati wa ujauzito, asilimia 10-15 ya watoto wataambukizwa wakati wa kuzaliwa na asilimia 5-20 wataambukizwa wakati wa kunyonyeshwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s72-c/022.jpg)
Wataalamu wa tiba ya usingizi Mloganzila wahitimu mafunzo maalumu
![](https://1.bp.blogspot.com/-GXfHCFk2tdw/Xql5GcDw4OI/AAAAAAALokA/6M8S0vaTPZ0TQPHSyzjn2Ezndgvn3oX7wCLcBGAsYHQ/s640/022.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-kEqPtLnNYzA/Xql5F3NEd7I/AAAAAAALoj8/MmyKIs95BfoXkReYfXNkFuf-RydJi2XHQCLcBGAsYHQ/s640/01.jpg)
9 years ago
StarTV30 Nov
Zaidi watu 1,000 warejea kwenye tiba mkoani Singida Kupunguza Makali Ya Vvu
ZAIDI ya watu elfu moja wanaoishi na Virusi vya ugonjwa wa UKIMWI katika Halmashauri ya Wilaya ya Iramba mkoani Singida, wamerejea kwenye tiba baada ya kuacha kabisa kuhudhuria Kliniki maalum za kuwahudumia miaka mitatu iliyopita kutokana na sababu mbalimbali.
Sababu za kuacha dawa za kufubaza Virus zinatajwa kuwa ni Kikombe cha Babu wa Loliondo, unyanyapaa na wengine kudhani kuwa wamepona hivyo kuendelea kudhofika hadi walipofikiwa na mpango wa huduma majumbani unaoendesha na Shirika la...
9 years ago
StarTV01 Dec
Serikali yaombwa kutoa vifaa vya upimaji maradhi Wataalamu Wa Tiba Asili
Wataalamu wa tiba asili wameiomba Serikali kutoa usaidizi wa vifaa vya upimaji wa maradhi mbalimbali kwa lengo la kuwawezesha kutoa tiba kwa kiwango kinachokubalika.
Baadhi ya hospitali nchini zinadaiwa kuwa zimekuwa zikitoa masharti magumu kwa waganga wa tiba asili kupata vipimo kwa wagonjwa wao hali inayowafanya kujiingiza katika upigaji ramli chonganishi.
Wilaya ya Chato mkoani Geita iliyopo Magharibi mwa Tanzania baada ya kumtoa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania,umaarufu wake...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s72-c/IMG_2273.jpg)
MKUU WA WILAYA YA NKASI AZINDUA HUDUMA YA OPTION B PLUS MKOANI RUKWA (TIBA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU KUTOKA KWA MAMA MJAMZITO KWENDA KWA MTOTO
![](http://3.bp.blogspot.com/-A4ng9e8SUS4/U5RKfTJRleI/AAAAAAAAFl0/l134agmH7ms/s1600/IMG_2273.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Gw6qeKR6gFQ/Xk5VvHKPidI/AAAAAAAAIIA/vbQIXM95e688RT_3rgWlw6FAEIX6Mf5mwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200220_123924_659.jpg)
SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.
Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Bajeti yawachanganya wabunge
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Ewura yawachanganya madereva wa malori
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Matokeo yawachanganya walimu wakuu Sekondari ya Ufundi Iyunga, Tambaza